Kwanini macho na masikio ni kwenye mechi ya Yanga na siyo Simba

Hatua ya pili tu watu wanaongozana kama manyumbu kwenda kushuhudia , vipi mkivuka robo fainali si mtampeleka rais na baraza zima la mawaziri?

Mashabiki wa timu kubwa daima wanaanza kusafiri na timu baad ya kufika ¼, ½ na fainali tofauti na hapo ni vikundi vya ushangiliaji tu na wapenzi waliopo katika nchi husika. ...
 
Yote tisa Yanga wako vzr ktk Content hasa hii safari ya kigali, wameifanya content kiasi ambacho hadi wewe umeleta mada humu
 
Viongozi wa Yanga wamejitafuta na wamejipata, wamegundua Yanga ina mashabiki, wapenzi na wanachama wengi nje na ndani ya nchi.
Walichofanya ni kuweka nguvu na akilizao kuhamasisha mechi yao na kukataa kabisa kuiongelea Simba katika hamasa zao na mashabiki wame itika.
Matokeo yake Simba imebaki katika uhalisia wake na mambo yake.
Kama yanga wataendelea na utaratibu huu wa kutoitaja Simba katika hamasa zao basi Simba watakua na wakati mgumu ku push ajenda zao.
Simba walikua wanatembelea nyota ya yanga katika kubishana vitu vya kipuuzi.
 
Wazee wa min Bus...
 
Wazee wa propaganda..kwanza hayo na macho na masikio ulioyapima ww wapiiiiiii....wengine mbona hatuna hyo habari...
 
Ok, najaribu kuona hili usemalo kwa simba ,huku JF
 
Kwani mechi ya simba inachezewa wapi?
 
Rage ajengewe sanamu
 
Yanga ni timu ya wananchi! Hivyo inastahili kabisa kuongelewa na kila mwananchi wa nchi hii ukiwemo wewe uliyegikia mpaka hatua ya kuanzisha uzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…