Sinoni
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 6,581
- 11,572
Hatua ya pili tu watu wanaongozana kama manyumbu kwenda kushuhudia , vipi mkivuka robo fainali si mtampeleka rais na baraza zima la mawaziri?
Mashabiki wa timu kubwa daima wanaanza kusafiri na timu baad ya kufika ¼, ½ na fainali tofauti na hapo ni vikundi vya ushangiliaji tu na wapenzi waliopo katika nchi husika. ...
Mashabiki wa timu kubwa daima wanaanza kusafiri na timu baad ya kufika ¼, ½ na fainali tofauti na hapo ni vikundi vya ushangiliaji tu na wapenzi waliopo katika nchi husika. ...