Kwanini madada wa CRDB wamepunguza maringo?

Rejea Uzi wako wa kusaidia wasichana wazuri wa chuo, ama kweli una kaofsi ka kuuza sambusa sio bure,
 
hakuna shida mtu wangu! Hata mimi nakulaga (in Kenyan voice)
Wadada wengi (siyo wote)ni wauzaji wa **** (uchi) na wanaume tuliowengi ni wanunuaji wazuri sana so ukiona unahongwa usijidanganye maana unanunuliwa wewe tu unabadilisha maneno
Ya papuch
ume pata lunch kwanza?
takuchemeaaaa kwa bibi
Mm najua una taka sema unaogopa..mm siondoki nayo nkimaliza una ondoka nayo mwenyewe
chitakiiii
Acha uoga ..njoo uku uchukue askilimu ya maziwa
Mapepo, maporomoko, you bushes
 
Wanawake hawawezi kuisoma namba,na ndo maana huwa mnatuharibia sana kura.........ila mtapasua sana misamba
 
hahahahahahaahah
 
Crdb wamefungua academy yao pale mikocheni ambapo kila staff anapaswa kujifunza customer care. Kuna wahindi wanafundisha pale walinidokeza kuwa in few months wanaintransform crdb kuwa best bank in Tanzania. Yaweza kuwa sababu, ila pia na uchumi umebana lazma wabembeleze deposit. Kuhusu wadada kuwa na hali ngumu sijui kwa kuwa hata benki yoyote ishukeje salary haishuki. Mm naendelea kuimba hatunywi sumu hatijinyongi ccm mbele kwa mbele! Ah ah KILA MTU ANAISOMA NAMBA!!
 
Issue gani tena? Mimi nilikua kushusha engine wiki 2 zilizopita
Neno kushusha Engine maana yake ni kutoa mimba kubwa.... sasa ndo unamaanishaa umechomoaaa mimba kubwa au...?????
 
Neno kushusha Engine maana yake ni kutoa mimba kubwa.... sasa ndo unamaanishaa umechomoaaa mimba kubwa au...?????
Hujakua ukikua utaelewa! Kamuulize mama yako kama kushusha engine ni nini!?
Ni kweli nimeshusha na nafurahia kushusha salama.
 
Sio utani, huwa wakikaa kwenye vile vidirisha wanaona kama wameibeba dunia na kila anayekuja ni kenge tu kazi nzuri na za maana ni za kwao tu duniani.
 
Hujakua ukikua utaelewa! Kamuulize mama yako kama kushusha engine ni nini!?
Ni kweli nimeshusha na nafurahia kushusha salama.
Km ulimaanisha kujifunguaa.. hukutumia lugha nzurii... next time tumia maneno ya busara... unajua wewe n mtu mzima kbsaa aisee.. neno kushusha engine ni kutoaa mimba... afu huwez ukamwitaa mtoto wako engine.. yaan mtoto wako awe engine dahhh si vyema kbsaaa.....
 
Kwaiyo unataka kuniambia mfano Mwanaume akikwambia kushusha Mashine ni kufanya nini......!?? Kama hujui kaa kimya niliyemwambia ameelewa, utu uzima wangu huu nimesikia mengi na siwez kuongea baya la kunidharirisha mwenyewe, hivi kama kushusha engine ni kutoa kimba na kuchomoa utaitaje?
 
Yote sawa kuchomoa na kushusha Engine. .. narudia tena mtoto wako sio engine. .. futa kauli kbsaa tena mtake radhii
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] kwa Sperm zipi ulizochangia mpaka uka Punic kiasi hicho?
Imeniuma sana malaika wa MUNGU kuitwa Engine. ...!! Kwel kwel mtoto wako ni engine kwel.. kichanga...!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…