Hiyo story haina muendelezo, hapo ndo mwisho😄Ukamjibu vip sas
Eeeh, hatariUmenikumbusha juzijuzi nilienda hospital kuchoma sindano daktari akanambia njoo nikuchome huku nimekupakata ili isiume😂
😃😃 ulikubali kupakatwa??Umenikumbusha juzijuzi nilienda hospital kuchoma sindano daktari akanambia njoo nikuchome huku nimekupakata ili isiume😂
Ni sahihi. Wengi wanawaendekeza.Mm daktar alienyoa kiduku kavaa bana suruali sijui busy na simu ntamfokeaa hatoamin n achakunifanya atakosaa
Kwanza kidaktar kidogo dogo No plz Aniachee nife Asinihudumie
Hapo ndo mwisho, story haina muendelezo Mkuu😂😃😃 ulikubali kupakatwa??
Nishajiongeza..Hiyo story haina muendelezo, hapo ndo mwisho😄
😄Jibu ulilochagua sio SahihiNishajiongeza..
NshakulewaHapo ndo mwisho, story haina muendelezo Mkuu😂
Matokeo ya generationZ Hayo🤣🤣🤣🤣
Fani inakwenda kuangamia kama ile ya ualimuHawa madaktari wa siku hizi ni kama wamevamia fani?
Haswa haswa hawa vijana walioajiriwa karibuni, hawajui maadili ya kazi wala hawajui kuhudumia wagonjwa...
Umenikumbusha juzijuzi nilienda hospital kuchoma sindano daktari akanambia njoo nikuchome huku nimekupakata ili isiume[emoji23]
Benki piaSi kwamba natetea ila hio ipo kila mahali, hata maofisi yenu ukifika utakuta vidada visecretary vinajivuta, vinajishaua, vimekunja mdomo kama vile vinalipwa millioni 10 kumbe laki3 tuu
aiseeUmenikumbusha juzijuzi nilienda hospital kuchoma sindano daktari akanambia njoo nikuchome huku nimekupakata ili isiume😂
My God. Hopeless generationUmenikumbusha juzijuzi nilienda hospital kuchoma sindano daktari akanambia njoo nikuchome huku nimekupakata ili isiume😂
Ulikubali?Umenikumbusha juzijuzi nilienda hospital kuchoma sindano daktari akanambia njoo nikuchome huku nimekupakata ili isiume😂