kwanini mademu wanasikia kiu

kwanini mademu wanasikia kiu

Asante Bubu nimekuelewa,unajua tena haya mambo ya kuwa na mwanaume mmoja au kuanza haya mambo ukubwani,huwezi jua tofauti,kumbe kuna watu wako hivyo mmmmh,itabidi nitafute nifanye experiment manake siku za ujana wangu zinaisha hivi hivi...............lol
 
Hata dakika kumi hapana,na sidanganyi.....i mean it!

hako ka dakika kumi lazima katakuwa kalikuwa kanaugua kisukari, kisonono au kana marazi ya mifupa. kapeleke zahanati iliopo karibu kabla hakajakufia kifuani kwako.
 
Ni PM basi maana mimi nina tatizo hilo.....

Naogopa mimi,dakika 45??????si nitakuwa kuzimu...........natafuta wa kuanza nae 10,15,20,25.......nikishapata uzoefu wa hadi dakika 40 ntaku-PM paka mweusi,ila itabidi niandike na neno langu la mwisho kabisa na niage,nisije fia kwako.....................lol
 
Naogopa mimi,dakika 45??????si nitakuwa kuzimu...........natafuta wa kuanza nae 10,15,20,25.......nikishapata uzoefu wa hadi dakika 40 ntaku-PM paka mweusi,ila itabidi niandike na neno langu la mwisho kabisa na niage,nisije fia kwako.....................lol

sloli bati shua! ahahhaa
 
hako ka dakika kumi lazima katakuwa kalikuwa kanaugua kisukari, kisonono au kana marazi ya mifupa. kapeleke zahanati iliopo karibu kabla hakajakufia kifuani kwako.

Haumwi chochote,kila baada ya miezi sita tunaenda full check up,hana tatizo lolote na nimekaa nae for for years.......lol
Nshashtuka hii JF itanifanya nimuangalie kwa jicho la pili,yaelekea nakosa mengi,yaani hapa na-imagine paka mweusi kifuani for 45 minutes,WOW
 
Naogopa mimi,dakika 45??????si nitakuwa kuzimu...........natafuta wa kuanza nae 10,15,20,25.......nikishapata uzoefu wa hadi dakika 40 ntaku-PM paka mweusi,ila itabidi niandike na neno langu la mwisho kabisa na niage,nisije fia kwako.....................lol

Haumwi chochote,kila baada ya miezi sita tunaenda full check up,hana tatizo lolote na nimekaa nae for for years.......lol
Nshashtuka hii JF itanifanya nimuangalie kwa jicho la pili,yaelekea nakosa mengi,yaani hapa na-imagine paka mweusi kifuani for 45 minutes,WOW




Usihofu mama dereva wa gari kubwa hata ndogo huendesha tu,ni kukadiria na kwenda polepole mpaka inazoea.
 
Haumwi chochote,kila baada ya miezi sita tunaenda full check up,hana tatizo lolote na nimekaa nae for for years.......lol
Nshashtuka hii JF itanifanya nimuangalie kwa jicho la pili,yaelekea nakosa mengi,yaani hapa na-imagine paka mweusi kifuani for 45 minutes,WOW
mtaftie nyumba ndogo, pia inasaidia kuchelewesha bao. kule kajumba kadogo atakuwa anaanzia dakika kumi akilejea kwako bao linachelewa anapiga at least kanusu saa. hii ni scientifically proved. usizarau kabisa hii ushauri.
 
mtaftie nyumba ndogo, pia inasaidia kuchelewesha bao. kule kajumba kadogo atakuwa anaanzia dakika kumi akilejea kwako bao linachelewa anapiga at least kanusu saa. hii ni scientifically proved. usizarau kabisa hii ushauri.

lost of konsentrashen
 
Na hizo ndani ya dk 10, unafika kileleni ?
Umemaliza mazishi??? ndio nafika kabisa wala sijawai lalamika na ndo maana sitoki nje, pia its becoz we do it kila baada ya miezi mitatu...............lol
 
ai ken geti ze pikcha...... mariegi kansela
asavali umeanza kuwa greti thinka. hakikisha unahuzuria graduation la JF mwezi ujao. tutakupatia shahada ya kutuma mapost 2000 bila kugombana na malaria sugu.
 
asavali umeanza kuwa greti thinka. hakikisha unahuzuria graduation la JF mwezi ujao. tutakupatia shahada ya kutuma mapost 2000 bila kugombana na malaria sugu.

ze siasa iz nasing san ze hyuji ploblem
avazali niugue mafua kuliko kuzifuatilia
 
Umemaliza mazishi??? ndio nafika kabisa wala sijawai lalamika na ndo maana sitoki nje, pia its becoz we do it kila baada ya miezi mitatu...............lol

Mhh!!!!! ???????????? :Cry:
 
Back
Top Bottom