Kwanini magari mengi ya serikali hayaharibiki sana ukilinganisha na magari ya watu binafsi japokua yapo road kila siku?

Kwanini magari mengi ya serikali hayaharibiki sana ukilinganisha na magari ya watu binafsi japokua yapo road kila siku?

Twinawe

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2016
Posts
2,431
Reaction score
5,336
Nalizungumza hili kwa experience sababu namimi ni mtumishi wa umma. Magari mengi ya watu binafsi utasikia kila siku garage trip kidogo gari lazima lipate hitilafu.

HI ni tofauti hizi gari za serikali zinafanya kazi sana lakini huwezi kisikia kila siku lipo garage utakuta mara nyingi ni service za kawaida labda kumwaga oil kila baada ya km kadhaa.

Haya magari yetu yanakuaga na shida gani?
 
Nalizungumza hili kwa experience sababu namimi ni mtumishi wa umma.
Magari mengi ya watu binafsi utasikia kila siku garage trip kidogo gari lazima lipate hitilafu.

HI ni tofauti hizi gari za serikali zinafanya kazi sana lakini huwezi kisikia kila siku lipo garage utakuta mara nyingi ni service za kawaida labda kumwaga oil kila baada ya km kadhaa.

Haya magari yetu yanakuaga na shida gani?
Ki IST Changu nadhan walikiroga. Nlikiuza nkavuta Passo, wakakiroga tena. Nliiuza nikajichanga nkavuta Subaru impreza.

Hii hawajairoga. Nadahn vigar vyetu vya bei chee vinarogwa toka vikiwa kiwandan
 
Nalizungumza hili kwa experience sababu namimi ni mtumishi wa umma.
Magari mengi ya watu binafsi utasikia kila siku garage trip kidogo gari lazima lipate hitilafu.

HI ni tofauti hizi gari za serikali zinafanya kazi sana lakini huwezi kisikia kila siku lipo garage utakuta mara nyingi ni service za kawaida labda kumwaga oil kila baada ya km kadhaa.

Haya magari yetu yanakuaga na shida gani?
Tumia common sense tu kijana.
Magari ya serikali kwa sheria lazima yawe mapya, tena mapya kabisa.
Na life span ya kimahesabu ya kihasibu, gari la serikali ni 25% deterioration per year ,kwa hiyo baada ya 4 years lazima liuzwe au kuwekwa pembeni.

Magari ya watu binafsi yanayoagizwa Japan na kwingineko, 90% au zaidi yana miaka 8 hadi 10 barabarani, hivyo huwa yamechakaa.
Kila siku kitu kina kufa na kinahitaji kubadilishwa kwa vile moving part zimesha wear out.
Ndo hivyo kijana.
 
Nalizungumza hili kwa experience sababu namimi ni mtumishi wa umma.
Magari mengi ya watu binafsi utasikia kila siku garage trip kidogo gari lazima lipate hitilafu.

HI ni tofauti hizi gari za serikali zinafanya kazi sana lakini huwezi kisikia kila siku lipo garage utakuta mara nyingi ni service za kawaida labda kumwaga oil kila baada ya km kadhaa.

Haya magari yetu yanakuaga na shida gani?
Gari unainunua japan ina 70k km. Serikali inanunua gari 0km na inaitumia miaka 5 au 7 inaleta lingine. Wewe unanunua gari lina 70000 km lishatumika zaidi ya miaka 10, na wewe unaendelea hapo unategemea nini.
 
Nalizungumza hili kwa experience sababu namimi ni mtumishi wa umma.
Magari mengi ya watu binafsi utasikia kila siku garage trip kidogo gari lazima lipate hitilafu.

HI ni tofauti hizi gari za serikali zinafanya kazi sana lakini huwezi kisikia kila siku lipo garage utakuta mara nyingi ni service za kawaida labda kumwaga oil kila baada ya km kadhaa.

Haya magari yetu yanakuaga na shida gani?
Serikali inanunua new brand hizi zetu ni used teyar
 
Binafsi mtu ananunua kwa jasho lake hivyo kwa Bongo ambapo mengi ni used unakuta yameshapiga mwendo wa kutosha...,

Serikali hizo ni pesa zetu / Kodi hivyo wanazifuja kwa kununua 0 Kilometer na miaka michache tu wanapiga chini (huenda wanajiuzia wenyewe) hivyo ndio hizo nyingine zinaharibika kwa mikono ya wadau zikiwa used...

Ndio maana watu wenye Busara zao kina Sankara alisema watumishi / Mawaziri watumie gari hata wawili wawili ukitaka lako jinunulie kutoka kwenye mshahara wako (alikuwa na huruma na pesa za mlipa kodi)
 
Hayo magari yenu ya mtumba utayafananisha na magari mapya ya serikali?,serikali hainunuagi mtumba ndio maana ina magari inama
Umemjibu vema sana. Lilikuwa ni suala la yeye kufikiri kidogo tu. Magari ya serikali mara nyingi yanakuwa disposed baada ya miaka 5 kwa kuuzwa, wakati utakuta yeye alinunua gari binafsi yenye miaka zaidi ya 7! Kuna gari ambazo katika miaka 5 bado inakuwa chini ya warranty hata service yake ni bure.

Kwa mfano, hajasikia kwamba maraisi wastaafu na wake zao watapewa gari mpya Landcruizer VX kila baada ya miaka mitano? Kwa nini miaka mitano?
 
Umemjibu vema sana. Lilikuwa ni suala la yeye kufikiri kidogo tu. Magari ya serikali mara nyingi yanakuwa disposed baada ya miaka 5 kwa kuuzwa, wakati utakuta yeye alinunua gari binafsi yenye miaka zaidi ya 7! Kuna gari ambazo katika miaka 5 bado inakuwa chini ya warranty hata service yake ni bure.

Kwa mfano, hajasikia kwamba maraisi wastaafu na wake zao watapewa gari mpya Landcruizer VX kila baada ya miaka mitano? Kwa nini miaka mitano?
Wanayauzaga kwa watu gani mbona minada haitufikii wakulungwa huku ukulungwani
 
Tumia common sense tu kijana.
Magari ya serikali kwa sheria lazima yawe mapya, tena mapya kabisa.
Na life span ya kimahesabu ya kihasibu, gari la serikali ni 25% deterioration per year ,kwa hiyo baada ya 4 years lazima liuzwe au kuwekwa pembeni.

Magari ya watu binafsi yanayoagizwa Japan na kwingineko, 90% au zaidi yana miaka 8 hadi 10 barabarani, hivyo huwa yamechakaa.
Kila siku kitu kina kufa na kinahitaji kubadilishwa kwa vile moving part zimesha wear out.
Ndo hivyo kijana.
Msamehe kijana inawezekana hajui, umempiga na kitu kizito sana.

Hata yeye angenunua brand new angeona tofauti.
 
Back
Top Bottom