MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Ukiliona ex gov car kwenye mnada ujue lilikuwa limechoka sana... Siku hizi wanachukua juu kwa juu.Kama wewe ni mtu wa kusoma soma magazeti minada huwa ina tangazwa huko
Maza mmoja alikopeshwa land cruiser hardtop kwa mil 12😂😂😂