Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio hawafuati....Naombeni mnijuze, kwanini magari ya jeshi mara nyingi huwa hayafati sheria za barabarani na hawashugulikiwi?View attachment 3199610
Wewe si ndio msimamia sheria,inakuwaje utuulize sisi? Vipi umeingia anga zao nini?Naombeni mnijuze, kwanini magari ya jeshi mara nyingi huwa hayafati sheria za barabarani na hawashugulikiwi?View attachment 3199610
wamafata sheria mkuu wakikutana na malori yale makubwa......ila pikipiki na gar ndogo magar ya jeshi yanakuwa juu ya sheria ...yakikutana na malor yanatulia tuliiNaombeni mnijuze, kwanini magari ya jeshi mara nyingi huwa hayafati sheria za barabarani na hawashugulikiwi?View attachment 3199610
Kupitia hii comment yako nimejua kumbe kuna trafiki na polisiHeheee kwan hawajipendi, wenzako wana haraka zao ww trafik unaweka folen, polis mwenyewe anatuliza wenge sembuse trafik
Kuna picha moja nilionaga ile juntion ya ubungo, morgoro rd, gari la wajeshi limekaa kwenye folen almost lisaa afu trafik anaita magari yatokayo mjin morogor rd , kilichofata hapo trafiki kapewa kelebu za kutosha afu Mjeshi kaingia mwenyewe kzn kwa mda zen kasepa zake , hahaaaa nilicheka xana
Kwanini matrafiki hawayakamati hata kuwatoa kitu kidogo au tunaendeshwa na kutawaliwa kijeshi bila kujua?Naombeni mnijuze, kwanini magari ya jeshi mara nyingi huwa hayafati sheria za barabarani na hawashugulikiwi?View attachment 3199610
Nchi no Yao peke yaoNaombeni mnijuze, kwanini magari ya jeshi mara nyingi huwa hayafati sheria za barabarani na hawashugulikiwi?View attachment 3199610
wewe ulishaona kasongo akifuata sheria za mbugani?Naombeni mnijuze, kwanini magari ya jeshi mara nyingi huwa hayafati sheria za barabarani na hawashugulikiwi?View attachment 3199610