Kwanini Magufuli alichukiwa ndani ya CCM?

Kwanini Magufuli alichukiwa ndani ya CCM?

Leverage

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2021
Posts
2,125
Reaction score
3,150
Wapinzani walikuwa na haki ya kumchukia Magufuli kutokana na mambo aliyowatenda.

Lakini cha kushangaza upinzani mkubwa sana umeibuka kutoka katika kikundi kidogo ndani ya chama chake mimi nawaita wanufaika wa chama.

Kukaibuka wakina KIGOGO 2014 hadi alipofariki uwanaharakati wao ukaisha.

Mwanaharakati Kigogo amekaa kimya kwenye kesi ya Mbowe, hapa shida ya Kigogo sio mfumo bali ni Magufuli mwenyewe.

Chuki nyingine ikahamia kwa Bashiru.
Nikajiuliza wako wapinzani wengi waliohamia CCM na kupewa vyeo vikubwa lakini kwanini wamchukie Dr. Bashiru tu?

Na kumzushia ameiba hela BOT kipindi cha maombolezo. Nikagundua tatizo Bashiru alikata mirija yao kwenye tume ya kukagua mali za Chama.

Mimi nimepanga fremu za CCM nalipa kodi laki 1.5 lakini nasikia kodi ya halali inayoingia kwenye chama ni elfu 50 nyingine watu hula kwa urefu wa kamba. Wenyeviti wa CCM wilaya waligeuza miradi ya chama kuwa miradi yao binafsi na walikuwa wanalindana.

Hii ilipelekea miradi mingi ya chama kufilisika mfano Tegeta Sekondari sasa imeuzwa kwa chuo kikuu Mzumbe.

Bashiru alifichua yote hayo kwenye kamati yake na kamba za watu zikakatwa, wenye kamba hawakufurahishwa kabisa ila hawakuwa na lakufanya. Kwahiyo tatizo la Magufuli na Bashiru ndani ya CCM ni:

1. Kuwanyima vyeo wenye chama chao.

2. Kuwapa vyeo wakuja ndani ya chama.

3. Kukata mirija ya watu ndani ya chama.

Hayo mengine ya raisi mshamba, anateuwa wasukuma, dikteta na ya Bashiru kutoa hela BOT au alitaka kumchenga mama ili aweke rais mwingine ni uzushi tu uliosambazwa na watu wale wale kupitia akaunti ileile.

Watu wamerudi ulaji wao utarudi soon na akauti ile ya uwanaharakati KIGOGO imepotea na itaibuka tena tukipata rais mwingine mshamba mwenye msimamo.

Bado tuna safari ndefu Watanzania.

"Mungu ibariki Tanganyika"
 
Kwa nijuavyo hata wakati wa JK, upinzani hawakukubalina na mambo mengi tu.

Tofauti ya wakati uliopita na wakati wa JPM, wakati wa JPM mitandao ya kijamii ilikuwa na nguvu zaidi na wafuasi wengi.

Waliofuatilia siasa za wakati wa awamu ya nne, rais JK, alisemwa sana kwa ubaya. Na alitukanwa hadi hadharani; mkwere wa watu alichukulia sawa tu.

Na wakati mwingine aliwajibu kwa mafumbo.
Ila msukuma hakuweza kukubaliana na ukosoaji wa hadharani au popote pale. Hii ndio tofauti hata kwa awamu hii ya sasa.

Kwenye siasa, viongozi wengi hawako tayari kukosolewa hata kama wanakosea!

Tena binafsi naona bora hata JPM, alijidhihirisha wazi kuliko hao wengine wanafanya kwa siri.

Ama sivyo, 'mama' asingehangaika na suala la job ikiwa hakukuwa na ukweli wowote! Na inawezakana hata sasa anachukiwa sana tu, ila muda haujafika.

Ni maoni tu!
 
Kwa nijuavyo hata wakati wa JK, upinzani hawakukubalina na mambo mengi tu.
Tofauti ya wakati uliopita na wakati wa JPM, wakati wa JPM mitandao ya kijamii ilikuwa na nguvu zaidi na wafuasi wengi.

Waliofuatilia siasa za wakati wa awamu ya nne, rais JK, alisemwa sana kwa ubaya. Na alitukanwa hadi hadharani; mkwere wa watu alichukulia sawa tu. Na wakati mwingine aliwajibu kwa mafumbo.
Ila msukuma hakuweza kukubaliana na ukosoaji wa hadharani au popote pale. Hii ndio tofauti hata kwa awamu hii ya sasa.

Kwenye siasa, viongozi wengi hawako tayari kukosolewa hata kama wanakosea!

Tena binafsi naona bora hata JPM, alijidhihirisha wazi kuliko hao wengine wanafanya kwa siri. Ama sivyo, mama asingehaingaika na suala la job ikiwa hakukuwa na ukweli wowote!

Ni maoni tu![emoji106]
Kikwete hakuwa na upinzani wa hadharani ndani ya chama chake.
 
Umesema ukweli mtupu 100%
Mungu akubariki.

Sasa hivi CCM imerudi ile tuliyoikataa awali.

Wamehalalisha tena wizi.

Bora hawa wezi wanaotabasamu, kuliko yale majizi malimbukeni na mauaji.

Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.

Wizi wa kipindi cha dhalimu ulillindwa kwa kuua uhuru wa vyombo vya habari, kuteka, kubambikia kesi nk.

Kipindi kile mpaka CAG muadilifu aliyegundua upotevu wa 1.5t alivuliwa madaraka kwa mizengwe ya wazi, huku spika muhuni aliyejiuzulu kwa aibu akitumiwa na dhalimu kumdhalilisha CAG huyo.

Zama za utawala ule wa kishetani nadhani hautakaa urejee tena.
 
Kikwete hakuwa na upinzani wa hadharani ndani ya chama chake.
Ni kweli hakukuwa na upinzani wa hadharani.

Na hii ilitokana na uhuru wa maoni ndani ya bunge chini ya spika SS.
Ila upinzani ulikuwepo.

Na inawezekana baadhi waliwatumia upinzani kupenyeza hoja zao.

Mikataba mibovu ilizungumzwa bungeni na chama tawala waliunga mkono hoja na ndio maana PM akajiuzulu
 
Wapinzani walikuwa na haki ya kumchukia Magufuli kutokana na mambo aliyowatenda. Lakini cha kushangaza upinzani mkubwa sana umeibuka kutoka katika kikundi kidogo ndani ya chama chake mimi nawaita wanufaika wa chama. Kukaibuka wakina KIGOGO 2014 hadi alipofariki uwanaharakati wao ukaisha. Mwanaharakati Kigogo amekaa kimya kwenye kesi ya Mbowe, hapa shida ya Kigogo sio mfumo bali ni Magufuli mwenyewe.

Chuki nyingine ikahamia kwa Bashiru.
Nikajiuliza wako wapinzani wengi waliohamia CCM na kupewa vyeo vikubwa lakini kwanini wamchukie Dr. Bashiru tu? Na kumzushia ameiba hela BOT kipindi cha maombolezo. Nikagundua tatizo Bashiru alikata mirija yao kwenye tume ya kukagua mali za Chama. Mimi nimepanga fremu za CCM nalipa kodi laki 1.5 lakini nasikia kodi ya halali inayoingia kwenye chama ni elfu 50 nyingine watu hula kwa urefu wa kamba. Wenyeviti wa CCM wilaya waligeuza miradi ya chama kuwa miradi yao binafsi na walikuwa wanalindana. Hii ilipelekea miradi mingi ya chama kufilisika mfano Tegeta Sekondari sasa imeuzwa kwa chuo kikuu Mzumbe. Bashiru alifichua yote hayo kwenye kamati yake na kamba za watu zikakatwa, wenye kamba hawakufurahishwa kabisa ila hawakuwa na lakufanya. Kwahiyo tatizo la Magufuli na Bashiru ndani ya CCM ni:
1. Kuwanyima vyeo wenye chama chao.

2. Kuwapa vyeo wakuja ndani ya chama.

3. Kukata mirija ya watu ndani ya chama.

Hayo mengine ya raisi mshamba, anateuwa wasukuma, dikteta na ya Bashiru kutoa hela BOT au alitaka kumchenga mama ili aweke rais mwingine ni uzushi tu uliosambazwa na watu wale wale kupitia akaunti ileile.
Watu wamerudi ulaji wao utarudi soon na akauti ile ya uwanaharakati KIGOGO imepotea na itaibuka tena tukipata rais mwingine mshamba mwenye msimamo.
Bado tuna safari ndefu Watanzania.
"Mungu ibariki Tanganyika"
Magufuli hakuwahi kuwa mteule, aliruka vihunzi kivisasi.

Kuenguliwa kwa Lowasa kulimpenyeza nec ilio asa na akapita kumkomoa Kikwete na BM.

Hakushinda, alishindwa na yule mama wa Zanzibar. Muafaka ukampitisha.

Kura za uraisi awamu zote mbili kama alishinda ni kwa magoli ya mkono.
 
Wapinzani walikuwa na haki ya kumchukia Magufuli kutokana na mambo aliyowatenda. Lakini cha kushangaza upinzani mkubwa sana umeibuka kutoka katika kikundi kidogo ndani ya chama chake mimi nawaita wanufaika wa chama. Kukaibuka wakina KIGOGO 2014 hadi alipofariki uwanaharakati wao ukaisha. Mwanaharakati Kigogo amekaa kimya kwenye kesi ya Mbowe, hapa shida ya Kigogo sio mfumo bali ni Magufuli mwenyewe.

Chuki nyingine ikahamia kwa Bashiru.
Nikajiuliza wako wapinzani wengi waliohamia CCM na kupewa vyeo vikubwa lakini kwanini wamchukie Dr. Bashiru tu? Na kumzushia ameiba hela BOT kipindi cha maombolezo. Nikagundua tatizo Bashiru alikata mirija yao kwenye tume ya kukagua mali za Chama. Mimi nimepanga fremu za CCM nalipa kodi laki 1.5 lakini nasikia kodi ya halali inayoingia kwenye chama ni elfu 50 nyingine watu hula kwa urefu wa kamba. Wenyeviti wa CCM wilaya waligeuza miradi ya chama kuwa miradi yao binafsi na walikuwa wanalindana. Hii ilipelekea miradi mingi ya chama kufilisika mfano Tegeta Sekondari sasa imeuzwa kwa chuo kikuu Mzumbe. Bashiru alifichua yote hayo kwenye kamati yake na kamba za watu zikakatwa, wenye kamba hawakufurahishwa kabisa ila hawakuwa na lakufanya. Kwahiyo tatizo la Magufuli na Bashiru ndani ya CCM ni:
1. Kuwanyima vyeo wenye chama chao.

2. Kuwapa vyeo wakuja ndani ya chama.

3. Kukata mirija ya watu ndani ya chama.

Hayo mengine ya raisi mshamba, anateuwa wasukuma, dikteta na ya Bashiru kutoa hela BOT au alitaka kumchenga mama ili aweke rais mwingine ni uzushi tu uliosambazwa na watu wale wale kupitia akaunti ileile.
Watu wamerudi ulaji wao utarudi soon na akauti ile ya uwanaharakati KIGOGO imepotea na itaibuka tena tukipata rais mwingine mshamba mwenye msimamo.
Bado tuna safari ndefu Watanzania.
"Mungu ibariki Tanganyika"
Sawa uko sahihi kwa maandishi yako. Ila kiukweli Shule za CCM sasa hivi hazina maana.

Zilikuwa na maana zamani kabla ya kuwa na shule nyingi na nzuri za private.

Sasa hivi ukienda shule za CCM unaweza kuta darasa moja lina wanafunzi 10 tena wale walioshindwa hata kufaulu shule za Lowassa.

Kwamfumo wa sasa wa elimu classic lazima CCM wakae chini waachane na haya mashule au wayarudishe serikalini ziendeshwa kwa mfumo wa shule za kata otherwise zitafungwa zote kwakukosa wateja.
 
Magufuli hakuwahi kuwa mteule, aliruka vihunzi kivisasi. Kuenguliwa kwa Lowasa kulimpenyeza nec ilio asa na akapita kumkomoa Kikwete na BM. Hakushinda, alishindwa na yule mama wa Zanzibar. Muafaka ukampitisha. Kura za uraisi awamu zote mbili kama alishinda ni kwa magoli ya mkono.
Si wanasema CCM maamuzi yakitoka Dodoma inakuwa CCM moja makundi yote yamsapoti mgombea aliyeteuliwa?
 
Wapinzani walikuwa na haki ya kumchukia Magufuli kutokana na mambo aliyowatenda. Lakini cha kushangaza upinzani mkubwa sana umeibuka kutoka katika kikundi kidogo ndani ya chama chake mimi nawaita wanufaika wa chama. Kukaibuka wakina KIGOGO 2014 hadi alipofariki uwanaharakati wao ukaisha. Mwanaharakati Kigogo amekaa kimya kwenye kesi ya Mbowe, hapa shida ya Kigogo sio mfumo bali ni Magufuli mwenyewe.

Chuki nyingine ikahamia kwa Bashiru.
Nikajiuliza wako wapinzani wengi waliohamia CCM na kupewa vyeo vikubwa lakini kwanini wamchukie Dr. Bashiru tu? Na kumzushia ameiba hela BOT kipindi cha maombolezo. Nikagundua tatizo Bashiru alikata mirija yao kwenye tume ya kukagua mali za Chama. Mimi nimepanga fremu za CCM nalipa kodi laki 1.5 lakini nasikia kodi ya halali inayoingia kwenye chama ni elfu 50 nyingine watu hula kwa urefu wa kamba. Wenyeviti wa CCM wilaya waligeuza miradi ya chama kuwa miradi yao binafsi na walikuwa wanalindana. Hii ilipelekea miradi mingi ya chama kufilisika mfano Tegeta Sekondari sasa imeuzwa kwa chuo kikuu Mzumbe. Bashiru alifichua yote hayo kwenye kamati yake na kamba za watu zikakatwa, wenye kamba hawakufurahishwa kabisa ila hawakuwa na lakufanya. Kwahiyo tatizo la Magufuli na Bashiru ndani ya CCM ni:
1. Kuwanyima vyeo wenye chama chao.

2. Kuwapa vyeo wakuja ndani ya chama.

3. Kukata mirija ya watu ndani ya chama.

Hayo mengine ya raisi mshamba, anateuwa wasukuma, dikteta na ya Bashiru kutoa hela BOT au alitaka kumchenga mama ili aweke rais mwingine ni uzushi tu uliosambazwa na watu wale wale kupitia akaunti ileile.
Watu wamerudi ulaji wao utarudi soon na akauti ile ya uwanaharakati KIGOGO imepotea na itaibuka tena tukipata rais mwingine mshamba mwenye msimamo.
Bado tuna safari ndefu Watanzania.
"Mungu ibariki Tanganyika"
[emoji123][emoji123] TIME HEALS ALL WOUNDS
 
Wapinzani walikuwa na haki ya kumchukia Magufuli kutokana na mambo aliyowatenda. Lakini cha kushangaza upinzani mkubwa sana umeibuka kutoka katika kikundi kidogo ndani ya chama chake mimi nawaita wanufaika wa chama. Kukaibuka wakina KIGOGO 2014 hadi alipofariki uwanaharakati wao ukaisha. Mwanaharakati Kigogo amekaa kimya kwenye kesi ya Mbowe, hapa shida ya Kigogo sio mfumo bali ni Magufuli mwenyewe.

Chuki nyingine ikahamia kwa Bashiru.
Nikajiuliza wako wapinzani wengi waliohamia CCM na kupewa vyeo vikubwa lakini kwanini wamchukie Dr. Bashiru tu? Na kumzushia ameiba hela BOT kipindi cha maombolezo. Nikagundua tatizo Bashiru alikata mirija yao kwenye tume ya kukagua mali za Chama. Mimi nimepanga fremu za CCM nalipa kodi laki 1.5 lakini nasikia kodi ya halali inayoingia kwenye chama ni elfu 50 nyingine watu hula kwa urefu wa kamba. Wenyeviti wa CCM wilaya waligeuza miradi ya chama kuwa miradi yao binafsi na walikuwa wanalindana. Hii ilipelekea miradi mingi ya chama kufilisika mfano Tegeta Sekondari sasa imeuzwa kwa chuo kikuu Mzumbe. Bashiru alifichua yote hayo kwenye kamati yake na kamba za watu zikakatwa, wenye kamba hawakufurahishwa kabisa ila hawakuwa na lakufanya. Kwahiyo tatizo la Magufuli na Bashiru ndani ya CCM ni:
1. Kuwanyima vyeo wenye chama chao.

2. Kuwapa vyeo wakuja ndani ya chama.

3. Kukata mirija ya watu ndani ya chama.

Hayo mengine ya raisi mshamba, anateuwa wasukuma, dikteta na ya Bashiru kutoa hela BOT au alitaka kumchenga mama ili aweke rais mwingine ni uzushi tu uliosambazwa na watu wale wale kupitia akaunti ileile.
Watu wamerudi ulaji wao utarudi soon na akauti ile ya uwanaharakati KIGOGO imepotea na itaibuka tena tukipata rais mwingine mshamba mwenye msimamo.
Bado tuna safari ndefu Watanzania.
"Mungu ibariki Tanganyika"
HUwezi kujua hata kama huyu wa sasa wanampenda maana hata hawa hawa wanaomponda wakati yuko hai walikuwa wanamsifu na kuabudu.

Hawa hawa wakina Mwigulu ndio walikuwa wanasema apewe muda.

Kujua yupo rafiki wa kweli ukiwa na madaraka au pesa ni ngumu sawa na kupata mke anayekupenda kwa dhati ukiwa tajiri.
 
Ccm lilikuwa limegeuka kuwa pango la wanyang'anyi.

Kila aina ya ufisadi ccm ndiyo ilikuwa makao makuu, genge lenyewe likiongozwa na mwenyekiti fisadi Kikwete.

Magufuli alipokuja akakata mirija mingi ya mafisadi ndani ya chama na akafhibiti kukitumia chama kujinufaisha.

Kikwete na genge la wezi wenzie ndo wakamchukia.
 
Back
Top Bottom