Uchaguzi 2020 Kwanini Magufuli anakubalika Kanda ya Ziwa tu

Uchaguzi 2020 Kwanini Magufuli anakubalika Kanda ya Ziwa tu

Aliye karibu na mleta uzi amshtue aamke tafadhali ndoto anayoota ni mbaya mno.
 
Mnajikita ktk vitu visivyo vya msingi na matokeo yake ndio nyomi la zarkiem
 
yes sio tv tu, na picha za malori yaliyobeba watu tumeziona.

CCM baba lao, ina mtaji wa wanachama na Wafuasi, mtaji wa wasomi na viongozi waliopikwa, mtaji wa rasilimali katika kila pembe ya nchi hii

Hivyo hata ikiamua watu waje mkutanoni kwa kutumia basi za Yutong na Marcopolo , inafanikisha bila tabu yoyote
 
Endelea kuota! Tarehe 28/10/2020 utajua kama CCM ni Chama Dume!
Tundu Lissu kawaambieni tarehe 28 October uchaguzi utafanyika pale tu wagombea wote wa upinzani walioenguliwa watakaporejeshwa kwenye kinyang'anyiro.

"vinginevyo tutalia wote" ametamka Kigaila, na anaonyesha yupo serious!
 
Tundu Lissu kawaambieni tarehe 28 October uchaguzi utafanyika pale tu wagombea wote wa upinzani walioenguliwa watakaporejeshwa kwenye kinyang'anyiro.

"vinginevyo tutalia wote" ametamka Kigaila, na anaonyesha yupo serious!
Tunawasubiri kwa hamu sana!!
 
Tundu Lissu kawaambieni tarehe 28 October uchaguzi utafanyika pale tu wagombea wote wa upinzani walioenguliwa watakaporejeshwa kwenye kinyang'anyiro.

"vinginevyo tutalia wote" ametamka Kigaila, na anaonyesha yupo serious!
Nawashauri wapinzani kuandaa mikutano ya kielimu zaidi. Mikutano iwe darasa zaidi. Kwa Sasa mikutano mingine wafanye kwa kushirikiano mfano Mbowe apande jukwaa la ACT na Zito apande jukwaa la Chadema lengo kutoa elimu taaratibu
 
CCM baba lao, ina mtaji wa wanachama na Wafuasi, mtaji wa wasomi na viongozi waliopikwa, mtaji wa rasilimali katika kila pembe ya nchi hii

Hivyo hata ikiamua watu waje mkutanoni kwa kutumia basi za Yutong na Marcopolo , inafanikisha bila tabu yoyote
Comrade hii fungulia thread yake.
 
CCM tuna pesa ulitaka wanachama wetu waende mikutanoni na miguu Kama wenu?
Sasa si mnewakodia mabasi?Aroli ni kwa ajili ya kubebea mizigo na ng'ombe.

Abood yupo, Shabiby yupo mwambieni watowe mabasi yao tena bure.
 
Ni wazi CCM mpya inatumia uharamia kushinda nafasi za ubunge na udiwani katika Kanda za Mashariki, Kusini, Kaskazini na visiwani kwa kujua wazi hawawezi kushinda kwenye box la kura.

Kanda ya ziwa hakujaripotiwa kiasi kikubwa Cha uhuni kwakua Magufuli na CCM mpya wanakubalika.

Sehemu zote zenye jamii ya Ntwmiship yaani Tabora, Shinyanga, Mwanza Geita huko Kuna mfanano wa lafudhi na lugha kiujumla. (Ethnicity)

Ni wazi pia maeneo haya yametumia Kodi kubwa zaidi ya wananchi kuliko maeneo mwngine. Mfano SGR, MELI MPYA, VIWANJA VYA NDEGE , BaRABARA, KUHAMIA DODOMA , REA nk.

Kwa jinsi maeneo haya yalivyoenziwa Chini ya kaulimbiu ya * Hawa ndio walionichagua* Basi huko ndiko pekee uchaguzi 2020 utakua reality.

Huku kwingine kwenye ukarabati wa reli ya zamani , mabehewa ya kale wenyewe wanajua itakuwa ngumu.
Usukuma
 
Ni wazi CCM mpya inatumia uharamia kushinda nafasi za ubunge na udiwani katika Kanda za Mashariki, Kusini, Kaskazini na visiwani kwa kujua wazi hawawezi kushinda kwenye box la kura.

Kanda ya ziwa hakujaripotiwa kiasi kikubwa Cha uhuni kwakua Magufuli na CCM mpya wanakubalika.

Sehemu zote zenye jamii ya Ntwmiship yaani Tabora, Shinyanga, Mwanza Geita huko Kuna mfanano wa lafudhi na lugha kiujumla. (Ethnicity)

Ni wazi pia maeneo haya yametumia Kodi kubwa zaidi ya wananchi kuliko maeneo mwngine. Mfano SGR, MELI MPYA, VIWANJA VYA NDEGE , BaRABARA, KUHAMIA DODOMA , REA nk.

Kwa jinsi maeneo haya yalivyoenziwa Chini ya kaulimbiu ya * Hawa ndio walionichagua* Basi huko ndiko pekee uchaguzi 2020 utakua reality.

Huku kwingine kwenye ukarabati wa reli ya zamani , mabehewa ya kale wenyewe wanajua itakuwa ngumu.
Sio lake zone yote bali ni mwanza ,geita ,simiyu.


Kagera hawataki

Mara hawamtaki

Shinyanga mjini, kahama mjini hawamtaki, the rest kidoooogo wanamsapot
 
Back
Top Bottom