Ni kipimo ambacho hata kama marehemu ana maambukizi mabaya bacteria ama virus wake hawawezi kujipenyeza na kutoka nje
LAKINI baadhi ya makaburi hasa ya watu wanaozikwa na manispaa hayafiki hicho kina
Uwanja wa kuzikana uwa haujaiKisutu kumejaa lakini mnalundika tu maiti nyie watu.
Wale mgambo uwa wanafukia tu,,Kuna baadhi ya nchi duniani hata Waislamu wanatakiwa wazikwe kwenye jeneza tofauti na hapa nyumbani ili kuepuka hilo.
Si kunakuwa na kitu cha zege kwa juu....?Kaburi fupi hata mbwa anaweza kufukua
Sijaona majibu ya kitaalam , kuendana na swali lililoulizwa,,
Kwa nn kabuli linachimbwa futi 6
Tega sikio
Kabuli la kiislam,,
Upana uwa tunapima mwili wa marehemu
Kuanzia kidole mbaka utosi
Kisha kipimo anapewa mchimba kabuli
Kuhusu urefu wa kwenda chini
Kipimo ni bega
Kisha kuna mwana ndani
Upana ni unyayo wa mguu
Urefu wa kwenda chini katika mwana ndani
Ni baina ya nyayo na goti la mguu
Mwislam akilazwa Kabulini
Pale kwenye mwana ndani
Mwanaume analala ubavu wa kulia
Kifua kinatakiwa kizame katika mwana ndani
Sasa ukitaka kupima urefu wa kabuli la mwislam
Chukua hiyo,,
Na kwa taarifa yenu,,
Kabuli moja linatakiwa liingie maiti 10
Kama makabuli ni ya umma
Na kabuli la mwislam kujengewa ni makosa
Kama amezikwa katika makabuli ya umma kama
Vile Kisutu nk,,
Ila ukizikwa katika shamba lako maamuzi ya kujengea kabuli litabaki katika familia
Mkijengea sawa mkiacha sawaβ¦
Wale mgambo uwa wanafukia tu,,
Awafuhati taratibu yeyote
Hata mwana ndani awachimbi
Wala awakulazi ubavu, awaweki sikio lako katika udongo , wala awachani sanda
Kifupi wanakutupa kama nyau tu,,
666Hi, kuna mtu yeyote anaweza kunieleza ama kunipa kisa kilichopelekea kaburi kuitwa futi sita?!
Na ukitaka uishi kwa amanYaan nimesoma ulichoandika nikajiuliza iko siku yangu nitachukuliwa vipimo kuwekwa mwanandani....[emoji26][emoji26]kifo ni mawaidha tosha.
Kwani kawaida sanda uchanwa kaburini ?Wale mgambo uwa wanafukia tu,,
Awafuhati taratibu yeyote
Hata mwana ndani awachimbi
Wala awakulazi ubavu, awaweki sikio lako katika udongo , wala awachani sanda
Kifupi wanakutupa kama nyau tu,,
Si kunakuwa na kitu cha zege kwa juu....?
La pombe lilichimbwa kilomita moja, ni mbishi yule msukuma angeweza kutoroka kama angezikwa futi6, hususan kama angegundua kovid aliyokuwa anaidharau ndo imemdedishaHi, kuna mtu yeyote anaweza kunieleza ama kunipa kisa kilichopelekea kaburi kuitwa futi sita?!
Siku moja moja uwe unaudhuria misiba ya waislamKwani kawaida sanda uchanwa kaburini ?
Naomba kujuzwa
Dah futi 6 ni chache Sana kw wazee wa nightshift,,,
Nakumbuka Kuna Bibi mmoja tulimzika adi Mara 4 tunamkuta geto kwake mar ya mwsho ilibdi tuchimbe Kam futi 12 iv hajatoka tena
Ndio anafufuka yan mnazika leo kesho asubuhi mnamuona anaamka anaenda kunawa maji tukaona isiwe tabu futi 12 zikamhusu maana Vijana tuliona tunapoteza nguv kuchimb kabur la mtu mmja mar nyng tukampiga futi 12,,,Alikuwa anafufuka? π³π³π³
Ndio anafufuka yan mnazika leo kesho asubuhi mnamuona anaamka anaenda kunawa maji tukaona isiwe tabu futi 12 zikamhusu maana Vijana tuliona tunapoteza nguv kuchimb kabur la mtu mmja mar nyng tukampiga futi 12,,,
Tukamsubiri usiku home kwake yan akiludi tu usiku tumpe mkong'ot wa kutosh tumzike ten lakin baht nzur hakufufuka tena shenziiii yule
Tulitaka akifufuka tena tupige maana ule usumbufu mtu inabd ufe Mara moja tu upumzike mkuu sio yule had mara4 anafufuka tu,,,π³π³π³π³Kwa hiyo mlimpiga ili kumuua? π«π«