BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Kuna baadhi ya nchi duniani hata Waislamu wanatakiwa wazikwe kwenye jeneza tofauti na hapa nyumbani ili kuepuka hilo.
Ni kipimo ambacho hata kama marehemu ana maambukizi mabaya bacteria ama virus wake hawawezi kujipenyeza na kutoka nje
LAKINI baadhi ya makaburi hasa ya watu wanaozikwa na manispaa hayafiki hicho kina