Kwanini Makamba anajiingiza kwenye majukumu ya Wizara ya Kilimo kuhusu kupanda kwa bei mbolea

Kwanini Makamba anajiingiza kwenye majukumu ya Wizara ya Kilimo kuhusu kupanda kwa bei mbolea

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
Waziri wa Nishati, Makamba amempigia simu Waziri wa Kilimo kuhusiana na suala la tatizo la kilio kikubwa cha bei ya Mbolea akiwa kwenye mkutano wa wananchi Ludewa, inamaana Bashe hawezi kusimamia majukumu yake hadi asaidiwe na makamba au Bashe hawezi kufanya ziara Ludewa kuzungumza na wakulima kuhusu tatizo la kupanda kwa bei ya mbolea.


Chanzo: Instagram/wizara_ya_nishati_tanzania
 
Waziri wa Nishati, Makamba amempigia simu Waziri wa Kilimo kuhusiana na suala la tatizo la kilio kikubwa cha bei ya Mbolea akiwa kwenye mkutano wa wananchi Ludewa, inamaana Bashe hawezi kusimamia majukumu yake hadi asaidiwe na makamba au Bashe hawezi kufanya ziara Ludewa kuzungumza na wakulima kuhusu tatizo la kupanda kwa bei ya mbolea.


Chanzo: Instagram/wizara_ya_nishati_tanzania
Anaongeza urefu wa kamba
 
Waziri wa Nishati, Makamba amempigia simu Waziri wa Kilimo kuhusiana na suala la tatizo la kilio kikubwa cha bei ya Mbolea akiwa kwenye mkutano wa wananchi Ludewa, inamaana Bashe hawezi kusimamia majukumu yake hadi asaidiwe na makamba au Bashe hawezi kufanya ziara Ludewa kuzungumza na wakulima kuhusu tatizo la kupanda kwa bei ya mbolea.


Chanzo: Instagram/wizara_ya_nishati_tanzania
Hata mimi nimeshangaa sana kuona Waziri wa Nishati anampigia simu Waziri mwenzie wa Kilimo bora ingekuwa Mbunge ndio anampigia Waziri ili atoe majibu kwa wananchi hapo sawa, lakini Bashe ameshindwa nini kufanya ziara kuwatembelea wakulima wa huko na kuzungumza nao kuhusiana na bei ya mbolea.

Kingine ina maana matatizo ya kushughulikiwa kwenye nishati yamekwisha kabisa hadi Makamba aanze kuingilia majukumu ya Wizara ya Kilimo?
 
Huu utoto aliwahi kuufanya Mchengerwa matokeo yake akahamishwa kutoka ile wizara aliyokuwepo, alimfanyia Dotto Biteko kwa kuunda tume juu ya kile kilichoitwa utoroshwaji wa madini unaoendelea.

Ngoja tuone kama na huyo kipenzi cha mama atashughulikiwa.
 
Waziri wa Nishati, Makamba amempigia simu Waziri wa Kilimo kuhusiana na suala la tatizo la kilio kikubwa cha bei ya Mbolea akiwa kwenye mkutano wa wananchi Ludewa, inamaana Bashe hawezi kusimamia majukumu yake hadi asaidiwe na makamba au Bashe hawezi kufanya ziara Ludewa kuzungumza na wakulima kuhusu tatizo la kupanda kwa bei ya mbolea.


Chanzo: Instagram/wizara_ya_nishati_tanzania
Sanaa!
 
Chuki za kijinga sana hizi ,mwambie babako akagombee ubunge awe waziri ,

USSR
Sidhani kama kuna mtu ana chuki na mtu hapa tatizo lako umekariri Makamba anazungumziwa kama Kiongozi wa kitaifa aliyebeba dhamana kubwa wewe unazungumza mambo kama ya vijiweni au kwenye vilabu vya pombe sasa nimchukie ili nipate nini. au wewe unayeshangilia unapata nini
 
Waziri wa Nishati, Makamba amempigia simu Waziri wa Kilimo kuhusiana na suala la tatizo la kilio kikubwa cha bei ya Mbolea akiwa kwenye mkutano wa wananchi Ludewa, inamaana Bashe hawezi kusimamia majukumu yake hadi asaidiwe na makamba au Bashe hawezi kufanya ziara Ludewa kuzungumza na wakulima kuhusu tatizo la kupanda kwa bei ya mbolea.


Chanzo: Instagram/wizara_ya_nishati_tanzania
Huyu ana lake. .anajifanya presidential😂😂😂
 
Chuki za kijinga sana hizi ,mwambie babako akagombee ubunge awe waziri ,

USSR
Zamani wakati najiunga JF nikisikia neno GT wa JF nilikua nikiwaona kama watu wenye akili mnooo .


Kumbe hamna kitu !!.

Wewe unaona Makamba kafanya lilosahihi ??
 
Haya ni majukumu ya PM, nini kina endelea?
 
Sasa kama wananchi wamemlalamikia ulitaka asiwajibu? Mkutano wa wananchi wanatoa kero nyingi maana wananchi wenyewe hawajui majukumu ya waziri. Hivyo ni jambo jema tu kuwasaidia. Team work
 
Waziri wa Nishati, Makamba amempigia simu Waziri wa Kilimo kuhusiana na suala la tatizo la kilio kikubwa cha bei ya Mbolea akiwa kwenye mkutano wa wananchi Ludewa, inamaana Bashe hawezi kusimamia majukumu yake hadi asaidiwe na makamba au Bashe hawezi kufanya ziara Ludewa kuzungumza na wakulima kuhusu tatizo la kupanda kwa bei ya mbolea.


Chanzo: Instagram/wizara_ya_nishati_tanzania
Serikali ni moja na wananchi walitoa kilio kwa kiongozi wa serikali aliyekuwepo hapo kwao na ndio maana akaamua kumpigia mhusika.
 
Waziri wa Nishati, Makamba amempigia simu Waziri wa Kilimo kuhusiana na suala la tatizo la kilio kikubwa cha bei ya Mbolea akiwa kwenye mkutano wa wananchi Ludewa, inamaana Bashe hawezi kusimamia majukumu yake hadi asaidiwe na makamba au Bashe hawezi kufanya ziara Ludewa kuzungumza na wakulima kuhusu tatizo la kupanda kwa bei ya mbolea.


Chanzo: Instagram/wizara_ya_nishati_tanzania
Achana nao wanajuana hao, Kuna mmoja hapo amepania kuja kutangaza nia.
 
Back
Top Bottom