Anaongeza urefu wa kambaWaziri wa Nishati, Makamba amempigia simu Waziri wa Kilimo kuhusiana na suala la tatizo la kilio kikubwa cha bei ya Mbolea akiwa kwenye mkutano wa wananchi Ludewa, inamaana Bashe hawezi kusimamia majukumu yake hadi asaidiwe na makamba au Bashe hawezi kufanya ziara Ludewa kuzungumza na wakulima kuhusu tatizo la kupanda kwa bei ya mbolea.
Chanzo: Instagram/wizara_ya_nishati_tanzania
Hata mimi nimeshangaa sana kuona Waziri wa Nishati anampigia simu Waziri mwenzie wa Kilimo bora ingekuwa Mbunge ndio anampigia Waziri ili atoe majibu kwa wananchi hapo sawa, lakini Bashe ameshindwa nini kufanya ziara kuwatembelea wakulima wa huko na kuzungumza nao kuhusiana na bei ya mbolea.Waziri wa Nishati, Makamba amempigia simu Waziri wa Kilimo kuhusiana na suala la tatizo la kilio kikubwa cha bei ya Mbolea akiwa kwenye mkutano wa wananchi Ludewa, inamaana Bashe hawezi kusimamia majukumu yake hadi asaidiwe na makamba au Bashe hawezi kufanya ziara Ludewa kuzungumza na wakulima kuhusu tatizo la kupanda kwa bei ya mbolea.
Chanzo: Instagram/wizara_ya_nishati_tanzania
Sanaa!Waziri wa Nishati, Makamba amempigia simu Waziri wa Kilimo kuhusiana na suala la tatizo la kilio kikubwa cha bei ya Mbolea akiwa kwenye mkutano wa wananchi Ludewa, inamaana Bashe hawezi kusimamia majukumu yake hadi asaidiwe na makamba au Bashe hawezi kufanya ziara Ludewa kuzungumza na wakulima kuhusu tatizo la kupanda kwa bei ya mbolea.
Chanzo: Instagram/wizara_ya_nishati_tanzania
Sidhani kama kuna mtu ana chuki na mtu hapa tatizo lako umekariri Makamba anazungumziwa kama Kiongozi wa kitaifa aliyebeba dhamana kubwa wewe unazungumza mambo kama ya vijiweni au kwenye vilabu vya pombe sasa nimchukie ili nipate nini. au wewe unayeshangilia unapata niniChuki za kijinga sana hizi ,mwambie babako akagombee ubunge awe waziri ,
USSR
Huyu ana lake. .anajifanya presidential😂😂😂Waziri wa Nishati, Makamba amempigia simu Waziri wa Kilimo kuhusiana na suala la tatizo la kilio kikubwa cha bei ya Mbolea akiwa kwenye mkutano wa wananchi Ludewa, inamaana Bashe hawezi kusimamia majukumu yake hadi asaidiwe na makamba au Bashe hawezi kufanya ziara Ludewa kuzungumza na wakulima kuhusu tatizo la kupanda kwa bei ya mbolea.
Chanzo: Instagram/wizara_ya_nishati_tanzania
Zamani wakati najiunga JF nikisikia neno GT wa JF nilikua nikiwaona kama watu wenye akili mnooo .Chuki za kijinga sana hizi ,mwambie babako akagombee ubunge awe waziri ,
USSR
Serikali ni moja na wananchi walitoa kilio kwa kiongozi wa serikali aliyekuwepo hapo kwao na ndio maana akaamua kumpigia mhusika.Waziri wa Nishati, Makamba amempigia simu Waziri wa Kilimo kuhusiana na suala la tatizo la kilio kikubwa cha bei ya Mbolea akiwa kwenye mkutano wa wananchi Ludewa, inamaana Bashe hawezi kusimamia majukumu yake hadi asaidiwe na makamba au Bashe hawezi kufanya ziara Ludewa kuzungumza na wakulima kuhusu tatizo la kupanda kwa bei ya mbolea.
Chanzo: Instagram/wizara_ya_nishati_tanzania
Achana nao wanajuana hao, Kuna mmoja hapo amepania kuja kutangaza nia.Waziri wa Nishati, Makamba amempigia simu Waziri wa Kilimo kuhusiana na suala la tatizo la kilio kikubwa cha bei ya Mbolea akiwa kwenye mkutano wa wananchi Ludewa, inamaana Bashe hawezi kusimamia majukumu yake hadi asaidiwe na makamba au Bashe hawezi kufanya ziara Ludewa kuzungumza na wakulima kuhusu tatizo la kupanda kwa bei ya mbolea.
Chanzo: Instagram/wizara_ya_nishati_tanzania