ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Swali ulilo uliza ni zuri sana, Ila sema kwenye mada nzito za kiuchumi na uwekezaji sionagi muamko wa watu kuchangia.Kwanini Makampuni Makubwa yaliyowekeza nchi mbalimbali duniani ikiwemo Urusi, Ulaya, USA na China yameorodheshwa kwenye stock market za nchi husika Ila Tanzania Makampuni Makubwa ya Gesi na Madini hayapo, Tena mengine yanafanya kazi hapa lakini yapo kwenye masoko ya Hisa ya Ulaya.
Au mi mbumbumbu, wataalamu hakuna namna tunaweza kukuza soko letu au ndio tununue Hisa za kitapeli za Mr. Chicken
Wataalamu wa security market tufumbueni macho
There are only two viable stock exchange markets in Africa namely Johannesburg SE and Cairo SE. The sum total of the entire stock exchange business in African continent per annum is equivalent to one transaction in the NYSE. So arguing to have these multinational mining companies list in the DSE it is a misconception.Kwanini Makampuni Makubwa yaliyowekeza nchi mbalimbali duniani ikiwemo Urusi, Ulaya, USA na China yameorodheshwa kwenye stock market za nchi husika Ila Tanzania Makampuni Makubwa ya Gesi na Madini hayapo, Tena mengine yanafanya kazi hapa lakini yapo kwenye masoko ya Hisa ya Ulaya.
Au mi mbumbumbu, wataalamu hakuna namna tunaweza kukuza soko letu au ndio tununue Hisa za kitapeli za Mr. Chicken
Wataalamu wa security market tufumbueni macho
Wakubwa wamewekeza humo kwa expense ya fedha zetuKwanini Makampuni Makubwa yaliyowekeza nchi mbalimbali duniani ikiwemo Urusi, Ulaya, USA na China yameorodheshwa kwenye stock market za nchi husika Ila Tanzania Makampuni Makubwa ya Gesi na Madini hayapo, Tena mengine yanafanya kazi hapa lakini yapo kwenye masoko ya Hisa ya Ulaya.
Au mi mbumbumbu, wataalamu hakuna namna tunaweza kukuza soko letu au ndio tununue Hisa za kitapeli za Mr. Chicken
Wataalamu wa security market tufumbueni macho
Sasa kama serikali haitilii mkazo makampuni kuwa listed DSE.There are only two viable stock exchange markets in Africa namely Johannesburg SE and Cairo SE. The sum total of the entire stock exchange business in African continent per annum is equivalent to one transaction in the NYSE. So arguing to have these multinational mining companies list in the DSE it is a misconception.
Watanzania wanaitumia DSE kama benki au social security fund. Mtu alinunua share za TBL mwaka 1997 zikiwa Tsh 200, ameziacha hivyo hivyo hadi atakapostaafu.
Biashara ya hisa ni soko kama la Tandale au Buguruni, watu wanauza nankununua ndiyo thamani ya soko na hisa inapotokea.
😁S
Swali ulilo uliza ni zuri sana, Ila sema kwenye mada nzito za kiuchumi na uwekezaji sionagi muamko wa watu kuchangia.
Ni kweli elimu inahitajika kuhusu namna soko la hisa linavyofanyq kaziSasa kama serikali haitilii mkazo makampuni kuwa listed DSE.
Na kama watu hawana uelewa unafkiri itakuwaje...!?
Ilikuwepo moja swala energies lakini imekuwa liquidatedKwanini Makampuni Makubwa yaliyowekeza nchi mbalimbali duniani ikiwemo Urusi, Ulaya, USA na China yameorodheshwa kwenye stock market za nchi husika Ila Tanzania Makampuni Makubwa ya Gesi na Madini hayapo, Tena mengine yanafanya kazi hapa lakini yapo kwenye masoko ya Hisa ya Ulaya.
Au mi mbumbumbu, wataalamu hakuna namna tunaweza kukuza soko letu au ndio tununue Hisa za kitapeli za Mr. Chicken
Wataalamu wa security market tufumbueni macho