dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
Hii nchi ina culture fulani very unique duniani. Always deviate from normal.Tangu lini biashara ya supermarket, shopping mall na stock exchange zikafaulu Tanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nchi ina culture fulani very unique duniani. Always deviate from normal.Tangu lini biashara ya supermarket, shopping mall na stock exchange zikafaulu Tanzania?
Ukiacha hiyo culture na ushamba,na kukosa Elimu ya biashara rasmi kama hizo.Hii nchi ina culture fulani very unique duniani. Always deviate from normal.
Familia nzima inahamia mule kwenda kupiga kiyoyozi siku nzima kupata relief ya joto la Dar bila kununua hata pipi! Lazima wafungashe.Imagine mtu anaenda mlimani city pale games kushangaa tu hanunui hata tooth pick. Kweli watatoboa kweli hao wenye supermarket?
Wabongo wamezoea kununua vitu kwa Mangi tena kwa kukopa. Mambo ya Games, Shoprite, Nakumatt au Uchumi watayaweza wapi?
... majority tunaishi miaka 200 nyuma.Ukiacha hiyo culture na ushamba,na kukosa Elimu ya biashara rasmi kama hizo.
aisee, mbona umeniposti ?
Kila nyumba kuna frem hio ndio culture yetuHii nchi ina culture fulani very unique duniani. Always deviate from normal.
Hakika hata pale uchumi lilikua pango la wezi aiseeSawa kabisa,
Miaka Shoprite inafunguliwa kuna bibi mmoja alipiga deal sana pale
Kwani mama hajafungua nchi?Tangu lini biashara ya supermarket, shopping mall na stock exchange zikafaulu Tanzania?
Kwani mamako huyu hajafungulia nchi?Imagine mtu anaenda mlimani city pale games kushangaa tu hanunui hata tooth pick. Kweli watatoboa kweli hao wenye supermarket?
Wabongo wamezoea kununua vitu kwa Mangi tena kwa kukopa. Mambo ya Games, Shoprite, Nakumatt au Uchumi watayaweza wapi?
na unaeza kopa kwa kidaftaliBiashara ya supermarket haina deal kwa sasa....Maduka mtaani yana bidhaa zote zilizopo supermarket halafu bei ya chini....na watu wana_prefer bidhaa cheap.