Kwanini makampuni makubwa ya kimataifa yanayouza bidhaa za rejareja yanaondoka Tanzania?

Kwanini makampuni makubwa ya kimataifa yanayouza bidhaa za rejareja yanaondoka Tanzania?

Simple..Tanzania has no middle class .tuna masikini wa kutupwa wengi,na matajiri wa kutupwa wachache .hayo maduka yanawekwa hai na middle class..

How do you define middle class in countries like TZ? Hapo wachumi watanisaidia..ila kwangu kama Una familia na nyuma ya kuishi pia Una magari si chini ya mawili unayoweza kuyabadilisha every 3-5 years,watoto wanaoenda private school..then you are in the middle class.kama siyo karibu kwenye kundi la masikini wa kutupwa
Middle class ni mtu mwenye kipato kuanzia USD 1200 kwa mwaka. Ambayo inachukuliwa kama kima cha chini kwa wafanyakazi wote.
 
Gharama za uendeshaji mkuu.....umeme ghali halafu haupatikani, maji ya shida pamoja na wizi....wabongo wapigaji sana....halafu pia purchasing power iko chini sana....watanzania wachache sana ambao wanaweza fanya shopping pale...
Ni kweli wizi na wakongo wenye uwezo wa kununua bidhaa ni mdogo mfano wa bidhaa kama pasi bei yake elfu 50 wakati pasi sehemu nyingine elf 40.
 
Shoppers kaweza wabana Wabongo maana Wahindi husimamia wenyewe
Pale Game wafanyakazi wanaiba sana ukiongea vizuri na walinzi unaweza kununua Ya Milioni moja kwa laki 3 tu .
 
Gharama za uendeshaji mkuu.....umeme ghali halafu haupatikani, maji ya shida pamoja na wizi....wabongo wapigaji sana....halafu pia purchasing power iko chini sana....watanzania wachache sana ambao wanaweza fanya shopping pale...
Hapa kwenye wizi nikweli sana watanzani wengi ni majizi sana
 
uchumi walitaka wasilipe kodi, nakumatt iliharibika kuanzia Kenya kwenyewe. Game Tanzania imekufa natural death kutokana na customer service mbovu
 
Gharama za uendeshaji mkuu.....umeme ghali halafu haupatikani, maji ya shida pamoja na wizi....wabongo wapigaji sana....halafu pia purchasing power iko chini sana....watanzania wachache sana ambao wanaweza fanya shopping pale...
Serikali na watu wake, wote wapigaji, shurti kufungasha!
 
Gharama za uendeshaji mkuu.....umeme ghali halafu haupatikani, maji ya shida pamoja na wizi....wabongo wapigaji sana....halafu pia purchasing power iko chini sana....watanzania wachache sana ambao wanaweza fanya shopping pale...
Pigia mstari hapo kwenye purchasing power. Wabongo tumezoea kununua kwenye viduka vya akina Mangi na magengeni kwa sababu middle class, ambao ndiyo walengwa wakuu wa supermarkets ndiyo wanaongoza kununua kwa Mangi na magengeni. Kingine kutokana na gharama za uendeshaji hapa nchini bei za bidhaa kwenye supermarkets ni kubwa kuliko kwa Mangi.
 
Kila nyumba ina kaframe nje.. nani ataenda Supermarket?
Nchi nyingi watu wanaenda fanya shopping sehemu rasmi za biashara kwa ajili ya wiki au mwezi, wanahifadhi. Kwetu, unatumwa chumvi kwa mangi mboga ipo dukani.
Kama supermarket bei ya bidhaa ingekuwa chini kuliko huko kwenye viduka vya akina Mangi watu wangeenda..
 
Mnaweza kuongea kisiasa lkn watanzania tunatoa upinzani mkali sana kwenye biashara!,ndio maana wageni uchwara wanakimbia wanaelekea kwenye nchi wananchi waliolala
 
Mmeongea vingi lakini mmesahau kitu kimoja. Hizo overpriced 'supermarket' sasa hivi zinapata upinzani mkubwa wa kibiashara kutoka kwa independent 'supermarkets' ambazo zimejaa mitaani siku hizi. Watu kama Jambo supermarket and the like wanakimbiza sana. Kwanini niende Game au shoprite mlimani city wakati mitaa ya karibu kuna supermarket nyingi tu za kawaida?
 
Mnaweza kuongea kisiasa lkn watanzania tunatoa upinzani mkali sana kwenye biashara!,ndio maana wageni uchwara wanakimbia wanaelekea kwenye nchi wananchi waliolala
Very good point.
 
Katika siku za hivi karibuni, Tanzania imeshuhudia maduka makubwa kadhaa yakifungwa, huku la hivi punde zaidi katika orodha likiwa ni Game Stores, ambalo kufungwa kwake kutaathiri vibaya zaidi ya kazi 100 za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja. Kuondoka kwa Game kunaikumbusha nchi ya Shoprite kutoka Afrika Kusini pamoja na Uchumi na Nakumatt kutoka Kenya, ambazo kwa nyakati tofauti ziliamua kujiondoa kwenye soko la Tanzania baada ya kushindwa kufanya kazi kwa matarajio.

====

Business stakeholders and analysts yesterday pointed out possible factors over why multinational retailers are closing shop in Tanzania.

In the recent past, Tanzania has witnessed a number of supermarkets shutting down, with the latest one in the list being Game Stores, whose closure will adversely affect over 100 direct and indirect jobs.

The exit of Game reminds the country of Shoprite from South Africa as well as Uchumi and Nakumatt from Kenya, which at different times decided to exit the Tanzanian market after they failed to perform to expectations.

A statement seen by The Citizen shows that the last trading day for the Game Stores in Tanzania, Kenya, Uganda, Nigeria and Ghana will be December 25, 2022.

According to the statement, the decision by the Game Stores to exit the identified markets came after various consultations were made.

“We recognise this will be the source of disappointment for many people associated with the Game brand in these countries,” reads the statement in part.

It further states: “In terms of the immediate next step, it is our intention to initiate a stock clearance sale in our stores in each of these countries this week.”

Speaking on condition of anonymity, one of the Game Store officials told The Citizen that economic hardships caused by Covid-19 pandemic was to blame for the supermarket’s closure.

“Our cash flow has been hit hard to the extent that we cannot keep on operating. The closure of Game will see its 45 employees lose their jobs,” he said.

He added that the Game Store was also working with about 55 people from a cleaning company.

Tanzania Business Community’s communications director Stephen Chamle hinted the closure of business may have been due to some difficulties in running the business in the named states.

Noting that each type of product had a separate licence, Mr Chamle told The Citizen that some licensing laws were not in favour of supermarkets.

“It is not easy to implement these kinds of laws. Something needs to be done,” he suggested.

He also said that the Investment Act (of 1997) was not impressive in the eyes of serious investors.

The minimum capital of $300,000 for foreign investors was peanuts to the extent of attracting unscrupulous foreigners selling on the streets the same products available in supermarkets and other shops.

He noted that foreign investors should mainly focus on setting up factories, instead of bringing in ready-made products.

“If we are to get serious investors, the minimum investment capital for foreigners should be at least $1 billion,” stressed Mr Chamle.

Efforts to get comment from the Ministry of Investment, Industry and Trade proved futile as phone calls went unanswered.

However, in the government’s quest to reform the country’s economy, a new proposed Investment Act was tabled in Parliament for the first reading in September, this year.

The legislation piece seeks to encourage and attract more trade and investments.

An economics don from the University of Dar es Salaam, Dr Abel Kinyondo, said the closure of supermarkets was a reflection of the country’s economic situation.

This suggests that demand for supermarket products has dwindled after people’s pockets were negatively impacted.

“It is a matter of pockets being hit that has made people who used to go to supermarkets to consider the same as luxury,” recounted Dr Kinyondo.

For his part, economist cum trade expert Donath Olomi observed that as one of the government’s top priorities was attracting investment, one needed to go further and think not only critically, but strategically about what this decision would mean to other investors who might want to invest in the same line of business.

“The exit in supermarket business line is alarming,” warned Dr Olomi.

“The government must critically find out the reasons and impact of these exit trends linking it to the backward linkages amidst efforts the government is taking to call for more investors in the country.”

Property management strategist Andrew Kato noted that: “Given the free entrance policy of various mega tenants competing with Game within the mall, as well as Shoppers’ strategic positioning and customer value creation, the closure of Game was seen coming.”

However, he said, he did not think it was a loss to the Mlimani Holdings Ltd as a landlord, given the size of the-waiting list of the would-be renters that is in the pipeline.
kipindi cha jiwe, mzunguko wa pesa ulikuwa hakuna, alikata kila kitu, hayo makampuni hayakuwa na wateja, waliishi kiugumu sana. maza kidogo mzunguko wa pesa upo, ila jiwe aliharibu sana hii nchi in the name of kuijenga. hili halina ubishi. mama ana kazi kubwa kuita wawekezaji warudi na wapya waje, ila wengi walikimbia.
 
PURCHASING POWER YA MTU MMOJAMMOJA IMESHUKA ILIPASWA KUWA NDIO JICHO LA SEREKALI KWA WANANCHI WAKE KUHUSIANA NA HALI MBAYA ILIYOPO NCHINI
Na huko kwingine vipi? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221031-081054.png
    Screenshot_20221031-081054.png
    167.3 KB · Views: 3
Ila ndiyo ukweli huo comrade
Acheni sasa kuzungumzia marehemu ambaye hawezi tena kurudi kuwasaidia. Zungumzieni way forward kwa waliopo au mnachoweza kufanya nyie mlioko hai.
 
Hawa wanajiondoa nchi zote za afrika mashabiki kuanzia Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda nk
Ni kama Hao shoprite walivyofunga, waliondoka nchi zote za afrika mashariki
Sidhani ni kama suala la Tanzania kua na gharama au kukosa wateja.
Unaweza kulinganisha uwingi wa supermarkets Kenya na Tanzania?
 
Mnaweza kuongea kisiasa lkn watanzania tunatoa upinzani mkali sana kwenye biashara!,ndio maana wageni uchwara wanakimbia wanaelekea kwenye nchi wananchi waliolala
Si kweli, hatuna pesa jombaa
 
Back
Top Bottom