Kwanini makanisa yaliyojitenga na Kanisa Katoliki yanaongoza kwa Kashfa za manabii na Mitume feki?

Kwanini makanisa yaliyojitenga na Kanisa Katoliki yanaongoza kwa Kashfa za manabii na Mitume feki?

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote

Najiuliza

Makanisa yaliyojitenga yakipinga mafundisho yanayoenda kinyume na maandiko ya Kanisa la Katoliki ndiyo kwa sasa yanaongoza kwa mambo yasiyompendeza Mungu:

Manabii na Mitume feki, Kashfa za mauaji, Imani za Ushirikina, Mifarakano ya kifamilia, Migogoro isiyoisha ya Viongozi wa kiroho inayotokana na maslahi binafsi n.k

Nilitarajia makanisa haya yangekuwa mfano wa kuigwa kiroho lakini imekuwa kinyume chake kabisa

Naomba fahamu sababu za Msingi zinazopelekea hali hiyo kwa makanisa hayo yanayodai kuongozwa na roho Mtakatifu

Niwatakie sabato njema wapendwa


Niwatakie sabato njema sana
 
Hayo si makanisa yaliyojitenga na RC na huo unabii na utume si kashfa. Hao ni wahuni tu walioamua kutumia uhuru wa kuabudu kufanya yao. Ulishawahi kuona mambo hayo yakifanyika Lutheran/Anglican? Hebu jaribu kuelewa historia ya madhehebu nchini na duniani kwa ujumla
 
Hivi Roma kiongozi wake ni Papa Francis alierusu kubariki wanaofanya usodoma ?
 
Back
Top Bottom