Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kanisani kuna watu wana hali ngumu sana kifedha, ufukara umewajaa, Hawana chakula, nguo, makazi ya uhakika, Hawana vyanzo rasmi vya mapato, yaani full dhiki.
Hawa watu ni waaminifu sana mbele za Mungu, wanatoa hela zao zote walizochukua nazo, Mwamposa akiwaambia wajipukutishe, hata nauli ya kurudia home wanaiacha madhabahuni.
Katika kidogo chao ni waaminifu hivyo, je kwanini kanisa losiwasaidie kuwawezesha kiuchumi ili waboreshe maisha yao na maisha yao yakiboreka hata matoleo ya watu hawa yataongezeka.
Kanisa litafaidika zaidi.
Siri ya utajiri ni ubahili
Hawa watu ni waaminifu sana mbele za Mungu, wanatoa hela zao zote walizochukua nazo, Mwamposa akiwaambia wajipukutishe, hata nauli ya kurudia home wanaiacha madhabahuni.
Katika kidogo chao ni waaminifu hivyo, je kwanini kanisa losiwasaidie kuwawezesha kiuchumi ili waboreshe maisha yao na maisha yao yakiboreka hata matoleo ya watu hawa yataongezeka.
Kanisa litafaidika zaidi.
Siri ya utajiri ni ubahili
