Kwanini makanisa yanakusanya sadaka wakati hayalipi kodi na wala hayawakopeshi waumini ili wajikwamue kiuchumi?

Kwanini makanisa yanakusanya sadaka wakati hayalipi kodi na wala hayawakopeshi waumini ili wajikwamue kiuchumi?

Huyu nae, watu wa zamani walipotosha watu Kama wewe unavyofanya.

Yesu hakuwahi kuwa kuhani wa hekalu, Yesu alikuja kuhubiri injili Kwa kila mtu, hakufanya hivyo hekaluni tu, alifanya hivyo mabarabarani,milimani yaani kila alipopita na hakuna ambaye alikuwa akitoa sadaka, sadaka zilikuwa zinatolewa hekaluni.
  1. In the Bible, the temple tax was a levy paid by Jewish men to maintain the Jewish Temple in Jerusalem. The tax was based on Exodus 30:13-16.
  2. The temple tax was a significant economic institution in ancient Judaism
  3. Exodus 30:13–16: God tells Moses to collect the tax at the time of the census taken in the wilderness.
  4. 2 Kings 12:5–17 and Nehemiah 10:32–33: It seems the temple tax was paid annually, not just during a census.
  5. haijalishi umetumia hiyo Temple building/structure unalipa kodi (tample tax) ya kuendeshea mamlaka ya KAIZARI/CAEZAR,@ Lighton
 
Yaani eti wazungu wategemee sadaka Toka Africa.?Kwa kanisa katoliki linamiliki shirika la kuhudumia wakimbizi Dunia Pana caritas,Pana Christian Refugee aid nk haya yanachangiwa ili kuendesha kazi za kusaidia wakimbizi na jamii masikini Dunia mzima.
Ujui kwamba Pana makanisa yanalisha chakula watu masikini na kutoa mavazi nk
Pesa zinatoka wapi?
 
Huduma bora haiondoi ukweli kwamba wanafanya biashara na wanachaji bei za juu sana, hivyo faida wanayoingiza ni kubwa! tulitarajia basi Kwa sbb wana exemption ya kodi, basi watoe huduma Kwa gharama za chini au hata bure Kwa Yale makundi maalum.
Hiyo exception haina maana wapiga sana hela, mfano Roman Catholic na makanisa mengine, wana miradi mingi ambayo ni profit making, walipishwe kodi kama taasisi zingine
 
Sikuhizi unaweza kupita mtaani hujui hili wala lile, anakuja mtu na spika yake anakudai hela ukimuuliza ya nini atakwambia nilikuwa nahubiri asubuhi nataka sadaka..

Hii Hali ni ngumu sana Mapadri tafuteni hela acheni ufara
 
Sadaka ilishashindikanika kutozwa kodi, hakuna sheria wala msingi "grounds" unaowezesha sadaka kutozwa kodi mkuu. Kodi msingi wake ni faida (profit) sio offerings na sacrifices.

Hapo ndo wajanja wa makanisa walipojificha na kutupiga.
 
Sadaka ilishashindikanika kutozwa kodi, hakuna sheria wala msingi "grounds" unaowezesha sadaka kutozwa kodi mkuu. Kodi msingi wake ni faida (profit) sio offerings na sacrifices.

Hapo ndo wajanja wa makanisa walipojificha na kutupiga.
Makanisa/taasisi za dini wanafanya profit making business na sadaka ndyo zinakuwa channeled huko kama mtaji, kwa nini wasilipe kodi, haimaanishi kuwe na VAT kwa kila anayetoa sadaka
 
Hao wajinga acha wapigwe tu. Hayo makanisa yana mchango mkubwa kwa utulivu na amani ya nchi hii. Hizo ng'ombe za kina Mwamposa zikiachwa zijitambue zitasumbua. Naona pia Pastor Kapola naye ana misukule yake ya kutosha.
Kanunua eneo Mwenge kwa bilioni tano, pasaka anazIndua ibada
 
Makanisa/taasisi za dini wanafanya profit making business na sadaka ndyo zinakuwa channeled huko kama mtaji, kwa nini wasilipe kodi, haimaanishi kuwe na VAT kwa kila anayetoa sadaka
Profit Making Businesses zinatozwa kodi. Kama kanisa ina mgahawa, shule au hospital inatozwa kodi. Sadaka, michango na matoleo hayatozwi kodi. Hakuna sheria inayoweza kutoza hayo maeneo. Rwanda pamoja na kuwa na strictly tax laws lakini makanisa walishashindwa kuyatoza kodi kwa kukosa sheria ya kutoza eneo hilo.

Mtu ana kanisa, ana waumini elfu mbili kwa misa wanatoa sadaka buku mbili mbili, unawezaje kutoza kodi kwenye eneo kama hilo. Pia utajuaje sadaka nani katoa ngapi na wamepata vipi. Huwezi kadiria sadaka ni ngumu.

Kanisa zinalipa mzee. 😁
 
Sadaka huhesabiwa, na makanisa mengine hutangaza matoleo yote ya wiki. Kodi zinaanza hapo kuwa estimated.
Sadaka na matoleo hayawezi kutozwa kodi Mkuu, sadaka ilishajificha sana haieleweki kama ni pato, ni faida wala nguvukazi. Wanaweza kuanzisha ushuru flani unaotokana na kuwa na kanisa lakini hawawezi kutoza kodi moja kwa moja kwenye matoleo na sadaka.

Nakazia: Kanisa ni mchongo flani wa kupata pesa na kutajirika.
 
Back
Top Bottom