The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Alilipa Kodi kama mtu binafsi na sio taasisi,mchango wa taasisi za kidini kwa jamii ni zaidi ya Kodi.definition ya church siyo physical structure, ila ni mfumo/mkusanyiko (congregation), na hata Yesu wakati akifanya uinjilisti alilipa kod, ingawa hakuwa na jengo linloitwa kanisa, ila alikuwa na congregation
Pia sadaka sio mapato.
Kodi ni mapato asilimia ya KAZI fulani