Kwanini malaika wana majina ya Kizungu na majini (mapepo) yana majina ya Kiarabu?

Naona wewe ndiyo unajigfanya huelewi lakini umeyaelewa sana maswali yangu. Kwa kuwa ulienda shule kusomea ujinga, ngoja nikuulize kama mwanafunzi wa darasa la tatu:



Kitabu kipi kwenye biblia kinasema Yesu alifundishwa Torati, na nani aliyemfundisha?

Kwa kukujuza tu, Waislam hatuna tatizo na hilo kabisa, Qur'an ipo wazi ni nani waliomfundisha na nini walichomfundisha.


Halafu hizo ulizobandika ni Torati au "kumbukumbu" la Torati?

Hapo sasa. Usijirushe kimanga tena.
 
Unajua Tatizo si lako nahisi Elimu Ilikuwa Kubwa Kuliko uwezo wako wa Kuibeba..

Kama kwa maelezo yangu Umeshindwa kuelewa Bhasi ni wazi huwezi kunielewa hata kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…