Kwanini malaika wana majina ya Kizungu na majini (mapepo) yana majina ya Kiarabu?

Kwanini malaika wana majina ya Kizungu na majini (mapepo) yana majina ya Kiarabu?

Uislamu unaamini kuna majini walisilimu baada ya kusoma quran na ukisilimu lazima upewe jina la Kiarabu hii ndiyo maana majini wana majina ya kiarabu waliyoyachagua baada ya kusilimu
Sasa haya majini yanapewaje majina na binadamu kwani wao hawana tawala zao na maisha Yao, wao inakuaje wapangiwe na binadamu na kwanini wahusishwe na jamii flani tu(waislamu). Ni viumbe wanaojitambua au mazombi
 
Nilikua nakuchungulia kila muda haukua kifungoni
Walinifunga Hawa kifungo cha Mwezi mmoja nili disturb the peace of JF for the moment and time being kwa hio wakanilisha Bunda la mkate ili nikae kimya
 
Sasa haya majini yanapewaje majina na binadamu kwani wao hawana tawala zao na maisha Yao, wao inakuaje wapangiwe na binadamu na kwanini wahusishwe na jamii flani tu(waislamu). Ni viumbe wanaojitambua au mazombi
Binadamu ndio kiumbe cha thamani ya Juu kuliko viumbe vyote

Wewe kwako dhahabu na almasi na Vito vingine ni kitu cha thamani sana Ila kwao wao Majini damu yako Wewe ni kitu cha thamani sana kwao yaan akiopoa damu yako ni sawa ameopoa Madini fulani ya thamani ya Juu sana
 
Hizo ni lugha tu, ni kama mtu aseme Grace halafu aulize kwa kiswahili ni nini na mtu amjibu ni Neema
Makata, Gabriel etc yote yana maana kwa kiswahili
Shida imekuja Waafrika tunapenda kutumia vya watu kuliko vyetu

Muhimu ni Bakita watupe kiswahili chake, hizo ni lugha za kiingereza na Kiarabu kiswahili chake hakiwezi kukosekana
Sasa wewe muafrika unakitu gani vitu vyote na elimi yetu umefichwa na wazungu na hao warabu ili tuwaamin wao
 
Sasa wewe muafrika unakitu gani vitu vyote na elimi yetu umefichwa na wazungu na hao warabu ili tuwaamin wao
Elimu yenu elimu yetu ipo kwenye Mawe tembelea mapangoni huko utaikuta ni mamichoro tu sijasema Mimi ni historia inasema
 
"Mzungu" wanaitwa na wabantu, towa "z" kwenye hilo neno inabaki nini?

Sifahamu kwa Kiswahili ina maanisha nini.

Yesu "uyahudi" kautolea wapi?
Yesu Alikuwa Myahudi dada angu..
wayahudi ndo Huabudu Shabat, Wayahudi ndo huendeshwa na Sheria za Torah, Mwalimu wa kiyahudi Ndo Huitwa Rabi baada ya Kuhitimu..

Kila Dini na Taifa Lilihukumiwa kupitia Sheria zao (Kipindi cha Utawala wa Rumi) Yesu alikuwa
Myahudi na alihuKuhukumiwa kwa Sheria za Kiyahudi..

Kama unafahamu Kilichomfanya Paulo akaachiwa Na warumi na kushindwa Kuhukumiwa Ni kuwa na Mataifa Mawili na Alisingizia Kuwa na Dini Mbili..

Walipokuja wayahudi Alisema Yeye ni Mrumi kwahyo hawezi kuhukumiwa kwa Torati wala sheria za Kiyahudi....

Walipokuja warumi akawaambia Yeye Ni Myahudi na Amesoma Rank ya Juu ya Dini na Alikuwa Farisayo Hivyo ilibidi wamuachie tu...

So kwa maelezo hayo Yesu alikuwa ni Myahudi na Muebrania Kwa ushahidi Yakinifu sana uliopo..
Kwanza ni Zao la Mtoto wa Yakobo (Yakub) Yehuda (Yuda) Pili Ni Myahudi wa Kuzaliwa na Wa kusomea dini ya wayahudi
 
Yesu Alikuwa Myahudi dada angu..
wayahudi ndo Huabudu Shabat, Wayahudi ndo huendeshwa na Sheria za Torah, Mwalimu wa kiyahudi Ndo Huitwa Rabi baada ya Kuhitimu..

Kila Dini na Taifa Lilihukumiwa kupitia Sheria zao (Kipindi cha Utawala wa Rumi) Yesu alikuwa
Myahudi na alihuKuhukumiwa kwa Sheria za Kiyahudi..

Kama unafahamu Kilichomfanya Paulo akaachiwa Na warumi na kushindwa Kuhukumiwa Ni kuwa na Mataifa Mawili na Alisingizia Kuwa na Dini Mbili..

Walipokuja wayahudi Alisema Yeye ni Mrumi kwahyo hawezi kuhukumiwa kwa Torati wala sheria za Kiyahudi....

Walipokuja warumi akawaambia Yeye Ni Myahudi na Amesoma Rank ya Juu ya Dini na Alikuwa Farisayo Hivyo ilibidi wamuachie tu...

So kwa maelezo hayo Yesu alikuwa ni Myahudi na Muebrania Kwa ushahidi Yakinifu sana uliopo..
Kwanza ni Zao la Mtoto wa Yakobo (Yakub) Yehuda (Yuda) Pili Ni Myahudi wa Kuzaliwa na Wa kusomea dini ya wayahudi
Aliisomea wapi hiyo dini ya kiyahudi?


Angekuwa anaifata dini ya kiyahudi wangemhukumu kwa dhambi ya kutundikwa msalabani? Na wanafunzi wake wote kumkimbia (forsook him and fled)?

Kwa kukujuza tu, ukiifata "taurati" unakuwa Muislam.
 
Aliisomea wapi hiyo dini ya kiyahudi?


Angekuwa anaifata dini ya kiyahudi wangemhukumu kwa dhambi ya kutundikwa msalabani? Na wanafunzi wake wote kumkimbia (forsook him and fled)?

Kwa kukujuza tu, ukiifata "taurati" unakuwa Muislam.
Uislamu hujitoshelezi ndiyo maana huwezi kuuzungumzia uislamu bila kutaja maandiko ya kwenye Biblia takatifu.
Biblia ilianza na hiyo torati (kumbukumbu la torati) ipo na baadae ikafuata Quran.
Waislamu wakachukua Torati wakaita taurati.
Usome kumbukumbu la torati kwenye Biblia uwe muislamu!😁😁 Kwanini usisome Quran ili uwe muislamu au lugha ya kiarabu ni ngumu?
Nakutana na waisalmu wanakuambia hawali nguruwe lkn muda wa kufuturu anaagiza sed na sigara hapo mchana hajara.
 
Uislamu hujitoshelezi ndiyo maana huwezi kuuzungumzia uislamu bila kutaja maandiko ya kwenye Biblia takatifu.
Biblia ilianza na hiyo torati (kumbukumbu la torati) ipo na baadae ikafuata Quran.
Waislamu wakachukua Torati wakaita taurati.
Usome kumbukumbu la torati kwenye Biblia uwe muislamu!😁😁 Kwanini usisome Quran ili uwe muislamu au lugha ya kiarabu ni ngumu?
Nakutana na waisalmu wanakuambia hawali nguruwe lkn muda wa kufuturu anaagiza sed na sigara hapo mchana hajara.
Hakuna taurati kwenye biblia, usijidanganye.
 
Hakuna taurati kwenye biblia, usijidanganye.
Inasomeka Kumbukumbu la Torati ila waislamu wakachakachua wakaita taurati ila ukiisoma ndiyo hiyo kumbukumbu la torati. Mlichukua vitabu 3 kutoka kwenye Biblia takatifu. Ikiwemo kumbukumbu la torati.
Yesu kristo wakaita Issa, hadi historia yake wakachakachua sijui alizaliwa chini ya mtende.
"Kwa kukujuza tu, ukiifata "taurati" unakuwa Muislam" akiifuata kwenye Quran au Biblia?
 
Aliisomea wapi hiyo dini ya kiyahudi?
Soma The Gospel Infancy Of Jesus Sura ya 20 Aya kuanzia ya 1 mpaka ya 16..
Screenshot_20240722_184304_Biblia.jpg

Angekuwa anaifata dini ya kiyahudi wangemhukumu kwa dhambi ya kutundikwa msalabani? Na wanafunzi wake wote kumkimbia (forsook him and fled)?
Samahani Dada Uko sawa kweli?
Literally I ment Uko sawa??

Adhabu Ya kutundikwa ilikuwa ni Adhabu ya Kiyahudi Kwa Myahudi yoyote ambaye aligeuza Mafundisho ya torati na Kutafanya Tofauti hivyo alionekana Amekufuru na Kufanyika Laana..

Kwenye Kibao Cha msalaba Huandikwa Dhambi zako Ulizofanya Ili kila mmoja akipita ajue kuwa Dhambi uliyofanya ni Ipi iliyokufanya Wew Kupata Laana ya Kutundikwa..

aliyetundikwa kabla ya Kuhukumiwa Hupelekwa Kwenye mabalaza ya Kidini Na hukumu Hutolewa Kidini na hati ya Hukumu Hupelekwa kwa Viongozi wa Kirumi ambao wao Huchunguza Makosa na Hati ya Hukumu na Huamua Kama kosa linaendana sawa na Hukumu iliyotolewa na wao.huruhusu hukumu hiyo...

Hiyo ilifanyika hata kwa yesu kuanzia kushtakiwa kwenye mabaraza ya Kiyahudi au wanaita SENHEDRIN..

Baada ya Senhedrin kumkuta Na hatia ya Kujiita Yeye ni Mwana wa Mungu na Mfalme wa wayahudi..

Wakapelekwa Hoja zao kwa Pilato kuhusu hukumu yao na Kwa kugongelea Msumali Walimwambia Pilato kuwa Mtu huyo anatishia Utawala wa Rumi kwa Kujiita yeye Ni Mfalme wa Wayahudi (Jambo ambalo lilihesabika kuwa ni Uhaini)...
sasa Dada Yangu faidha Nikueleweshe Kwa njia gani??

Hata kwenye Kibao cha Msalaba wa Yesu kulindikwa INRI..
Unajua INRI maana yake???


INRI” ni abreviation kutoka katika Kilatini yaani “Iesus Nazarenus, Rex IudaeorumYaani Yesu Mnazareth Mfalme wa Wayahudi

Umeona Neno la Mwisho hilo IUDAEORUM?

Adhabu ya Kutundikwa Msalabani ni Adhabu Kutoka kwenye Torati ambayo wayahudi walikuwa wakiifata na Ilitolewa Hukumu kupitia Mabaraza ya Senhedrin (Mabaraza ya Maamuzi ya Kidini kama mahakama Ni Kama Mahakama ya Kadhi tu)

Kumbukumbu La torati 21:22 mpaka 23
Screenshot_20240722_185938_Biblia Takatifu.jpg


Pia Unaweza ukasoma Story ys Esta..
ESTA 2:22-23
Screenshot_20240722_190133_Biblia Takatifu.jpg


WAGALATIA 3:13
Screenshot_20240722_190358_Biblia Takatifu.jpg


PIa usisahau Kuwa Yesu aliingia kwenye Masinagogi akasali na Kufundisha..
biblia imasema kama Ilivyokuwa Desturi yake..

Alikuwa akiingia Sinagogini na Kusali na Kufundisha Je kuna Mkristo anaweza kuingia Msikitini na Kufundisha na Kusalisha kama imamu na kukubaliwa kufanya Hivyo na Katibu (Mtumishi wa Msikiti) ampe Quran asome???

Screenshot_20240722_190622_Biblia Takatifu.jpg


MImi sijaegemea Upande wowote na Ndo maana Muda wowote Hubaki kwenye Ukweli na daima ntautetea Si sehemu Ukidanganya Kuhusu Uyahudi, Ukristo au Uislamu Nitakwambia tu
Kwa kukujuza tu, ukiifata "taurati" unakuwa Muislam.

UKIFATA TAURAT unakuwa Muislamu?
Faiza Unajua hata Kuna Aina Ngapi za Torati??
Maana Torati mnaoisoma Wakristo na Waislamu Its Just a Tiny part of Torati....

Karibu Kujenga Hoja Na kuthibitisha
 
Soma The Gospel Infancy Of Jesus Sura ya 20 Aya kuanzia ya 1 mpaka ya 16..
View attachment 3049183

Samahani Dada Uko sawa kweli?
Literally I ment Uko sawa??

Adhabu Ya kutundikwa ilikuwa ni Adhabu ya Kiyahudi Kwa Myahudi yoyote ambaye aligeuza Mafundisho ya torati na Kutafanya Tofauti hivyo alionekana Amekufuru na Kufanyika Laana..

Kwenye Kibao Cha msalaba Huandikwa Dhambi zako Ulizofanya Ili kila mmoja akipita ajue kuwa Dhambi uliyofanya ni Ipi iliyokufanya Wew Kupata Laana ya Kutundikwa..

aliyetundikwa kabla ya Kuhukumiwa Hupelekwa Kwenye mabalaza ya Kidini Na hukumu Hutolewa Kidini na hati ya Hukumu Hupelekwa kwa Viongozi wa Kirumi ambao wao Huchunguza Makosa na Hati ya Hukumu na Huamua Kama kosa linaendana sawa na Hukumu iliyotolewa na wao.huruhusu hukumu hiyo...

Hiyo ilifanyika hata kwa yesu kuanzia kushtakiwa kwenye mabaraza ya Kiyahudi au wanaita SENHEDRIN..

Baada ya Senhedrin kumkuta Na hatia ya Kujiita Yeye ni Mwana wa Mungu na Mfalme wa wayahudi..

Wakapelekwa Hoja zao kwa Pilato kuhusu hukumu yao na Kwa kugongelea Msumali Walimwambia Pilato kuwa Mtu huyo anatishia Utawala wa Rumi kwa Kujiita yeye Ni Mfalme wa Wayahudi (Jambo ambalo lilihesabika kuwa ni Uhaini)...
sasa Dada Yangu faidha Nikueleweshe Kwa njia gani??

Hata kwenye Kibao cha Msalaba wa Yesu kulindikwa INRI..
Unajua INRI maana yake???


INRI” ni abreviation kutoka katika Kilatini yaani “Iesus Nazarenus, Rex IudaeorumYaani Yesu Mnazareth Mfalme wa Wayahudi

Umeona Neno la Mwisho hilo IUDAEORUM?

Adhabu ya Kutundikwa Msalabani ni Adhabu Kutoka kwenye Torati ambayo wayahudi walikuwa wakiifata na Ilitolewa Hukumu kupitia Mabaraza ya Senhedrin (Mabaraza ya Maamuzi ya Kidini kama mahakama Ni Kama Mahakama ya Kadhi tu)

Kumbukumbu La torati 21:22 mpaka 23
View attachment 3049205

Pia Unaweza ukasoma Story ys Esta..
ESTA 2:22-23
View attachment 3049207

WAGALATIA 3:13
View attachment 3049210

PIa usisahau Kuwa Yesu aliingia kwenye Masinagogi akasali na Kufundisha..
biblia imasema kama Ilivyokuwa Desturi yake..

Alikuwa akiingia Sinagogini na Kusali na Kufundisha Je kuna Mkristo anaweza kuingia Msikitini na Kufundisha na Kusalisha kama imamu na kukubaliwa kufanya Hivyo na Katibu (Mtumishi wa Msikiti) ampe Quran asome???

View attachment 3049213

MImi sijaegemea Upande wowote na Ndo maana Muda wowote Hubaki kwenye Ukweli na daima ntautetea Si sehemu Ukidanganya Kuhusu Uyahudi, Ukristo au Uislamu Nitakwambia tu


UKIFATA TAURAT unakuwa Muislamu?
Faiza Unajua hata Kuna Aina Ngapi za Torati??
Maana Torati mnaoisoma Wakristo na Waislamu Its Just a Tiny part of Torati....

Karibu Kujenga Hoja Na kuthibitisha
Hayo mabandiko yanakusuta.

Kwanza huyo zacheus hakuna panapoonesha alimfunsha Taurati.

Hayo mabandiko yako mengine yote yanakusuta kuwa siyo taurati ni "kumbukumbu la....

Maana yuake nini isiwe Torati iwe kumbukumbu la....

Kumbukumbu ya nani huyo mwenye kuikumbuka?
 
Soma The Gospel Infancy Of Jesus Sura ya 20 Aya kuanzia ya 1 mpaka ya 16..
View attachment 3049183

Samahani Dada Uko sawa kweli?
Literally I ment Uko sawa??

Adhabu Ya kutundikwa ilikuwa ni Adhabu ya Kiyahudi Kwa Myahudi yoyote ambaye aligeuza Mafundisho ya torati na Kutafanya Tofauti hivyo alionekana Amekufuru na Kufanyika Laana..

Kwenye Kibao Cha msalaba Huandikwa Dhambi zako Ulizofanya Ili kila mmoja akipita ajue kuwa Dhambi uliyofanya ni Ipi iliyokufanya Wew Kupata Laana ya Kutundikwa..

aliyetundikwa kabla ya Kuhukumiwa Hupelekwa Kwenye mabalaza ya Kidini Na hukumu Hutolewa Kidini na hati ya Hukumu Hupelekwa kwa Viongozi wa Kirumi ambao wao Huchunguza Makosa na Hati ya Hukumu na Huamua Kama kosa linaendana sawa na Hukumu iliyotolewa na wao.huruhusu hukumu hiyo...

Hiyo ilifanyika hata kwa yesu kuanzia kushtakiwa kwenye mabaraza ya Kiyahudi au wanaita SENHEDRIN..

Baada ya Senhedrin kumkuta Na hatia ya Kujiita Yeye ni Mwana wa Mungu na Mfalme wa wayahudi..

Wakapelekwa Hoja zao kwa Pilato kuhusu hukumu yao na Kwa kugongelea Msumali Walimwambia Pilato kuwa Mtu huyo anatishia Utawala wa Rumi kwa Kujiita yeye Ni Mfalme wa Wayahudi (Jambo ambalo lilihesabika kuwa ni Uhaini)...
sasa Dada Yangu faidha Nikueleweshe Kwa njia gani??

Hata kwenye Kibao cha Msalaba wa Yesu kulindikwa INRI..
Unajua INRI maana yake???


INRI” ni abreviation kutoka katika Kilatini yaani “Iesus Nazarenus, Rex IudaeorumYaani Yesu Mnazareth Mfalme wa Wayahudi

Umeona Neno la Mwisho hilo IUDAEORUM?

Adhabu ya Kutundikwa Msalabani ni Adhabu Kutoka kwenye Torati ambayo wayahudi walikuwa wakiifata na Ilitolewa Hukumu kupitia Mabaraza ya Senhedrin (Mabaraza ya Maamuzi ya Kidini kama mahakama Ni Kama Mahakama ya Kadhi tu)

Kumbukumbu La torati 21:22 mpaka 23
View attachment 3049205

Pia Unaweza ukasoma Story ys Esta..
ESTA 2:22-23
View attachment 3049207

WAGALATIA 3:13
View attachment 3049210

PIa usisahau Kuwa Yesu aliingia kwenye Masinagogi akasali na Kufundisha..
biblia imasema kama Ilivyokuwa Desturi yake..

Alikuwa akiingia Sinagogini na Kusali na Kufundisha Je kuna Mkristo anaweza kuingia Msikitini na Kufundisha na Kusalisha kama imamu na kukubaliwa kufanya Hivyo na Katibu (Mtumishi wa Msikiti) ampe Quran asome???

View attachment 3049213

MImi sijaegemea Upande wowote na Ndo maana Muda wowote Hubaki kwenye Ukweli na daima ntautetea Si sehemu Ukidanganya Kuhusu Uyahudi, Ukristo au Uislamu Nitakwambia tu


UKIFATA TAURAT unakuwa Muislamu?
Faiza Unajua hata Kuna Aina Ngapi za Torati??
Maana Torati mnaoisoma Wakristo na Waislamu Its Just a Tiny part of Torati....

Karibu Kujenga Hoja Na kuthibitisha
Hayo mabandiko yanakusuta.

Kwanza huyo zacheus hakuna panapoonesha alimfunsha Taurati.

Hayo mabandiko yako mengine yote yanakusuta kuwa siyo taurati ni "kumbukumbu la....

Maana yake nini isiwe Torati iwe kumbukumbu la...

Kumbukumbu ya nani huyo mwenye kuikumbuka?
 
Hayo mabandiko yanakusuta.

Kwanza huyo zacheus hakuna panapoonesha alimfunsha Taurati.
Dah Kukuelewesha Wewe Ni kazi ngumu Sana..
Ngoja Nitumie Lugha Yako Pengine utanielewa...
Mwanafunzi wa Madrassa alienda Chuoni..
Wanaanza Kumfundisha Herufi za Kiarabu ili aweze kusoma Vizuri Quran na Kwa ufasihi..

Kwa mfano:- Ukisema athumani alipelekwa Chuoni (Madrassa) na Mwalimu wake akaanza kumfundisha Aliph, ba ,Ta....

Nahisi Unajua Kuhusu Noorani Qaida..

Huwezi kuanza Kusoma Qurani Mpaka Ujifunze Kwa ufasaha Kusoma Herufi (Huruf) na Jinsi zinavyotamkwa kwa kina na hiyo ndyo Elimu Inaitwa Nooran Qaida (Kwa waislamu Wote)..

Ukija kibongo Bongo Tunaita alif be te the....

Yesu alienda kwanza kujifunza Hizo herufi Na process Hiyo inaitwa "לימוד אותיות" (limud otiyot)

Kama Ilivyo Noorani Qaida Inamfungua Mtoto au Mtu mzima aliyesilimu Kuzijua Herufi vizuri kabla ya kuanza kusoma Qurani..

Pia Vivyo hivyo Limud Otiyat nayo pia Inaanda mwanafunzi au mtoto kujifunza Herufi na matamshi yake Kabla hajaanza kusoma Torati..
Na hichonndo ulichoona Zakayo akiwa anamfundisha yesu..
Hayo mabandiko yako mengine yote yanakusuta kuwa siyo taurati ni "kumbukumbu la....

Maana yuake nini isiwe Torati iwe kumbukumbu la....

Kumbukumbu ya nani huyo mwenye kuikumbuka?
TORATI na Qurani Haina tofauti..
Kwani zote zilihifadhiwa Kwenye Njia sawa...

Na Ukumbuke kuwa Hata Qurani Pia ilikuwa kwenye Vifua vya watu mpaka Pale walipoamua Kuiandika Kwenye Maandishi..

Je Hakikufikia Kisa Cha Ezra(Uziel) ambaye Baadhi ya Wayahudi Humuita Mwana w Mungu??

Baada ya Torati Ya Musa Kupotea Ni Nabii pekee Alikuwa amehifadhi Torati yote Bila Kuacha Nucta..
(Hiki kisa Kipo mpaka Kwenye Tarekhe za Visa vya Kiislamu)..

Kama unamkumbuka Nabii aliyelala kwa miaka 100 kama sijasahau..

Na kuwakusanya watu na Kuwasomea Torati...Hapo hapo Mfalme aliamuru Torati hiyo iandikwe na waandishi Wa Kifalme na Ikaguliwe na Ezra na Iweke kwenye Kumbukumbu Na hapo Ndiyo mwanzo wa Kuitwa Deuteronomy..
Ambayo ni Maneno ya Kigiriki Yanayomaanisha The second Torah au The second Law au The repeated Torah..
Na ndo maana Waswahili walipotafsiri wakaita Kumbukumbu La torati..

JAPO KWA WAYAHUDI WAO wanaita Simply Deverim maana Yake Maneno, Au Mambo
kwa sababu Sura hiyo imeanza na..." Mambo/ Maneno haya yasitoke.."...
Ushahidi wa Ezra..
Screenshot_20240722_211507_Biblia Takatifu.jpg


Na Ezra 7:21
Screenshot_20240722_211610_Biblia Takatifu.jpg


Screenshot_20240722_211941_Biblia Takatifu.jpg


Kwa kusema Hayo Narudia Swali tena Unajua Torati Iko na Aina Ngapi??

Maana Kuna torati Iliyoandikwa Au The Written Torah (Torah Shebichtav) Hii ndo Mnaiona na Kuisoma kwenye Vitabu kama Mwanzo,Kutoka ,Walawi na Kumbukumbu...

na Kuna Aina ya Pili ya Torati Oral Torah (Torah Shebe'al Peh) Ambapo ili uweze kuijua Hii Ni muhimu au Ni lazma uwe Myahudi au Upitia Mafunzo ya Dini ya Kiyahudi ili kujifunza maana ndo imebeba Tafsiri ya Torati ya kwanza ni kama Mishnah,Talmud,Midrash na Halakha..


ndo maana Mwanzo nikasema Waislamu na Wakristo Wana ile torati ya Kwanza ambayo Ni written ila Torati kubwa Hawana na hawana pia elimu yake..

naendelea kulukaribisha kwenye Mjadala
 
Back
Top Bottom