Kwanini malaika wana majina ya Kizungu na majini (mapepo) yana majina ya Kiarabu?

Kwanini malaika wana majina ya Kizungu na majini (mapepo) yana majina ya Kiarabu?

Nimeshayasoma, hizo maana zilielezee wewe kwa ufahamu wako, mimi naelewa mtu wa nchi za Ulaya na marekani akiwa mweupe ni mzungu.

Wahebrania ni watu walioitwa " mtoto/watoto wa Mungu, kwa maana kuwa wanaamini Mungu mmoja na si lazima wawe ni wayahudi.

Naamini Yesu alikuwa ni Mhebrania lakini hakuwa Myahudi.
Vizuri sana!
Lakini Usisahau kuwa Israel haiko Ulaya..
Na kingine Turkey/Uturuki iko kati ya Ulaya na Asia lakini watu wake hawawi Regarded kama Wazungu..
So Definition yako ya Mzungu inakataa kwa mantiki hizo..

Uko sahihi Kabisa kwamba waebrania si Lazma wawe wayahudi..
Na ndo maana nimekuambia kuwa Kuna waebrania ambao Wanatoka Ethiopia ni weusi na pia Ni wayahudi...

Yesu alikuwa Ni muebrania Na alikuwa Myahudi Pia
 
Wewe unayemuita Gabriel sisi twamuita jibril .. majini ni viumbe kama wewe na kama ulivyo wewe umepewa jina basi na wao wanajipa majina ..
 
UMMY SUBIAN
ummy subian ni jini wa kike ni malkia wa jide chini ya bahari mavazi yake mekundu Pete zake nyekundu ni moja kati ya majini wakorofi akiwa kwako harafu hujatafuta Pete yake atakuadabisha huyu ummy subian yupo chini ya utawala wa sharif sultan bin daud subian ni miongoni mwa maruhaniyat wa kisharifu apa nazungumzia subian mwema kwanza jini huyu ummy subian ukiwa nae huwez kosa jini kama ruhan hizi ni koo kubwa za kijini zinazoelewana sana ummy subian ni miongoni mwa majini wenye cheo ujinini na Wana Mali sana wakikutunuku kitu shida utakisikia Kwa jirani tu na kama yupo Kwa mwanaume basi mwanaume huyo atakua na mvuto mkali sana Kwa wanawake ila jini uyu anapenda uwe msafi ujipende apo mtaendana arafu ukiwa wapenda nguo nyekundu utamfurahisha ummy subian ana uwezo wa kubadilika zaidi ya mara Tano mtu MWENYE jini huyu ukimkorofisha kimbia subian hapend mtu wake aonewe ni jini mwenye Mali ila mkorofi Mali zake zikitumiwa vibaya ukiwa nae huwez kosa jini kama ruhan ila ruhan yeye Mpore mara nyingi utakuta yeye anakutawala sana kuliko ruhani japo ruhani ni mkubwa Kwa subiani ruhan yeye anatoa tu amri subian anatekeleza ruhan ni kiongoz wake subian yupo Kwa ulinzi ila ruhan ni bosi mtoa amri labda itokee jambo zito apo ruhan ataingilia kutetea ila mara nyingi utakuta yeye ametulia tu anampa amli subian ukienda nao sana Kila kitu kwako kitakua mtelemko ukiona wateseka ujue wamefungwa au wanadai Pete yao ili wakutumikie na sio Kila mtu anao Kuna baadhi ya wanadamu Wana nyota Kali kiasi Cha kuwavutia Hawa viumbe mara nyingi wanakuja kwako Kwa kuvutiwa na nyota yako ili wakupe kile walichojaaliwa na muumba wao na kukuwekea ulinzi ili wanadam na majini wabaya wasikudhuru hiyo ni Pete ya ummy subian
View attachment 2978858
Mwenye kutoa riziki ni Allah pekee na wala si hayo majini wala pete .. shiriki ni mbaya sana ndugu yangu
 
Na kuna wengine wanataka majibu haya
Screenshot_20240710_185209_Instagram~2.png
 
naunga mkono hoja, mkuu Kiranja Mkuu weka uzi wa majini wote asee,

ndo mana waarabu wana mahela mengi kumbe majini wanawapa tag
 
Hizo ni lugha tu, ni kama mtu aseme Grace halafu aulize kwa kiswahili ni nini na mtu amjibu ni Neema
Makata, Gabriel etc yote yana maana kwa kiswahili
Shida imekuja Waafrika tunapenda kutumia vya watu kuliko vyetu

Muhimu ni Bakita watupe kiswahili chake, hizo ni lugha za kiingereza na Kiarabu kiswahili chake hakiwezi kukosekana
Kuna Watu ni Waongo
 
Back
Top Bottom