FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Ukifahamu kwanini Malaika ni weupe na mashetani ni weusi utakuwa unakaribia kupata jibu la swali lako.Malaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc
Jini Sharif, Maimuna, etc
Kwanini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifahamu kwanini Malaika ni weupe na mashetani ni weusi utakuwa unakaribia kupata jibu la swali lako.Malaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc
Jini Sharif, Maimuna, etc
Kwanini?
Nahisi Sijakuelewa Dada angu Faiza?Ooh, kumbe hakuna "wazungu" "wayahudi "?
safi sana, nimekujibu ulichoandika wewe fata uzi ukajisome ulivyoandika. Ikiwa utajielewa basi nami utanielewa, kama hautajielewa ulichokiandika, hata nami hautanielewa nilichokijibu.Nahisi Sijakuelewa Dada angu Faiza?
Hakuna Wazungu Wayahudi ulikuwa unamaanisha nini?
Majina ya kizungu! Wajerumani, warusi, wafaransa na waitaliano hawatumii majina hayo unayodai ya kizungu au kwa kifupi tungekuwa tunatumia lugha ya kifaransa usingeyaandika hivyo.Malaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc
Jini Sharif, Maimuna, etc
Kwanini?
Malaika Ni neno la Kiebrania au Kiyahudi na Kiarabu pia Huwa Ni neno moja...Mbona hata neno "malaika" ulilolitumia ni la Kiarabu?
Hapa wote mnachanya, naonesha wazi hamuelewi maana ya w-wayahudi wala wahebrania wala Waarabu".
Mkielewa maana ya hayo hamtajichanganya.
Someni.
Dada Faiza!safi sana, nimekujibu ulichoandika wewe fata uzi ukajisome ulivyoandika. Ikiwa utajielewa basi nami utanielewa, kama hautajielewa ulichokiandika, hata nami hautanielewa nilichokijibu.
Kwa hiyo unamaanisha hakuna mzungu "myahudi, au sivyo?Dada Faiza!
Muebrania/Myahudi sio Mzungu..
Myahudi ni Taifa Jingine Rather than a race..
Na ndo maana Waethiopia Ni wayahudi/Waebrania Ila wako Africa..
Wayahudi ni wafuasi wa dini ya Kiyahudi.Mbona hata neno "malaika" ulilolitumia ni la Kiarabu?
Hapa wote mnachanya, naonesha wazi hamuelewi maana ya w-wayahudi wala wahebrania wala Waarabu".
Mkielewa maana ya hayo hamtajichanganya.
Someni.
Kabla ya Kuendelea Soma majibu ya Post 345..Kwa hiyo unamaanisha hakuna mzungu "myahudi, au sivyo?
Nimeshayasoma, hizo maana zilielezee wewe kwa ufahamu wako, mimi naelewa mtu wa nchi za Ulaya na marekani akiwa mweupe ni mzungu.Kabla ya Kuendelea Soma majibu ya Post 345..
Pili Tuelewe kwanza nini maana ya Mzungu na Nini maana Ya Muebrania au Myahudi
Vilaza kweli nyie.Nimeshayasoma, hizo maana zilielezee wewe kwa ufahamu wako, mimi naelewa mtu wa nchi za Ulaya na marekani akiwa mweupe ni mzungu.
Wahebrania ni watu walioitwa " mtoto/watoto wa Mungu, kwa maana kuwa wanaamini Mungu mmoja na si lazima wawe ni wayahudi.
Naamini Yesu alikuwa ni Mhebrania lakini hakuwa Myahudi.
Juma Kilaza alikuwa mmoja tu.Vilaza kweli nyie.
Vilaza wanazalianaJuma Kilaza alikuwa mmoja tu.
Hayo ni mambo ya akina Faiza na dini yaoUMMY SUBIAN
ummy subian ni jini wa kike ni malkia wa jide chini ya bahari mavazi yake mekundu Pete zake nyekundu ni moja kati ya majini wakorofi akiwa kwako harafu hujatafuta Pete yake atakuadabisha huyu ummy subian yupo chini ya utawala wa sharif sultan bin daud subian ni miongoni mwa maruhaniyat wa kisharifu apa nazungumzia subian mwema kwanza jini huyu ummy subian ukiwa nae huwez kosa jini kama ruhan hizi ni koo kubwa za kijini zinazoelewana sana ummy subian ni miongoni mwa majini wenye cheo ujinini na Wana Mali sana wakikutunuku kitu shida utakisikia Kwa jirani tu na kama yupo Kwa mwanaume basi mwanaume huyo atakua na mvuto mkali sana Kwa wanawake ila jini uyu anapenda uwe msafi ujipende apo mtaendana arafu ukiwa wapenda nguo nyekundu utamfurahisha ummy subian ana uwezo wa kubadilika zaidi ya mara Tano mtu MWENYE jini huyu ukimkorofisha kimbia subian hapend mtu wake aonewe ni jini mwenye Mali ila mkorofi Mali zake zikitumiwa vibaya ukiwa nae huwez kosa jini kama ruhan ila ruhan yeye Mpore mara nyingi utakuta yeye anakutawala sana kuliko ruhani japo ruhani ni mkubwa Kwa subiani ruhan yeye anatoa tu amri subian anatekeleza ruhan ni kiongoz wake subian yupo Kwa ulinzi ila ruhan ni bosi mtoa amri labda itokee jambo zito apo ruhan ataingilia kutetea ila mara nyingi utakuta yeye ametulia tu anampa amli subian ukienda nao sana Kila kitu kwako kitakua mtelemko ukiona wateseka ujue wamefungwa au wanadai Pete yao ili wakutumikie na sio Kila mtu anao Kuna baadhi ya wanadamu Wana nyota Kali kiasi Cha kuwavutia Hawa viumbe mara nyingi wanakuja kwako Kwa kuvutiwa na nyota yako ili wakupe kile walichojaaliwa na muumba wao na kukuwekea ulinzi ili wanadam na majini wabaya wasikudhuru hiyo ni Pete ya ummy subian
View attachment 2978858
Kwa hiyo ukiliita jini kwa jina John haliwezi kuja kufanya kazi yako ngoUislamu unaamini kuna majini walisilimu baada ya kusoma quran na ukisilimu lazima upewe jina la Kiarabu hii ndiyo maana majini wana majina ya kiarabu waliyoyachagua baada ya kusilimu
Ningeshtuka ingekuwa ni mashetani.
Shetani aliyemkumba "Mungu" yesu kwa siku 40 alikuwa anaitwa nani?