Kwanini malaika wana majina ya Kizungu na majini (mapepo) yana majina ya Kiarabu?

Kwanini malaika wana majina ya Kizungu na majini (mapepo) yana majina ya Kiarabu?

Leta ushahidi wenye mashiko

Suuratul jinn

1,2. Ewe Muhammad! Waambie watu wako: Nimepata wahyi kwamba kikundi cha majini kimesikia kusoma kwangu Qur'ani, nao wakawaambia wenzao: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya namna ya peke yake, hatujapata kusikia mfano wake kabla yake, inaitia kwenye uwongofu na usawa. Kwa hivyo tumeiamini hiyo Qur'ani tuliyo isikia; na kabisa hatutamshirikisha Mola wetu Mlezi aliye tuumba na kutulea na chochote katika waja wake.
 
Suuratul jinn

1,2. Ewe Muhammad! Waambie watu wako: Nimepata wahyi kwamba kikundi cha majini kimesikia kusoma kwangu Qur'ani, nao wakawaambia wenzao: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya namna ya peke yake, hatujapata kusikia mfano wake kabla yake, inaitia kwenye uwongofu na usawa. Kwa hivyo tumeiamini hiyo Qur'ani tuliyo isikia; na kabisa hatutamshirikisha Mola wetu Mlezi aliye tuumba na kutulea na chochote katika waja wake.
Kwa Hiyo hayo maneno 👆 ndio ushahidi?
Tunataka ushahidi wa majini wenyewe ili kujiridhisha sawa mkuu
 
Kwa Hiyo hayo maneno 👆 ndio ushahidi?
Tunataka ushahidi wa majini wenyewe ili kujiridhisha sawa mkuu

Suurati jinn inaendelea. Kwenye Quran yana sura yao kabisa. Hapa yanasema......

* 13. Na hakika sisi tulipo isikia Qur'ani tuliiamini. Na mwenye kumuamini Mola wake Mlezi basi hachelei kupunguziwa chochote katika mema yake, wala kudhulumiwa kwa kuzidishiwa maovu yake.

* 14. Na hakika kati yetu wapo Waislamu wenye kuikubali Haki, na miongoni mwetu wapo wenye kuiacha njia ya uwongofu. Basi wenye kusilimu hao wameifuata njia ya Haki, na ni wenye kufanya jitihada katika kuikhiari njia hiyo.
 
Suurati jinn inaendelea. Kwenye Quran yana sura yao kabisa. Hapa yanasema......

* 13. Na hakika sisi tulipo isikia Qur'ani tuliiamini. Na mwenye kumuamini Mola wake Mlezi basi hachelei kupunguziwa chochote katika mema yake, wala kudhulumiwa kwa kuzidishiwa maovu yake.

* 14. Na hakika kati yetu wapo Waislamu wenye kuikubali Haki, na miongoni mwetu wapo wenye kuiacha njia ya uwongofu. Basi wenye kusilimu hao wameifuata njia ya Haki, na ni wenye kufanya jitihada katika kuikhiari njia hiyo.
Okay 😊,
Je wewe ulisha Wai kuwaona majini yakiswali hapo msikitini?
 
Okay 😊,
Je wewe ulisha Wai kuwaona majini yakiswali hapo msikitini?
Screenshot_2024-07-02-23-30-33-444_com.android.chrome~2.jpg
 
Wacha uwongo

Gabriel - جبريل (Jibril)
Michael - ميخائيل (Mikha'il)
Raphael - رافائيل (Rafā'īl)
Mmetohoa kutoka kwenye Kingerrza Na hata Uislamu ulianzishwa Na kanisa Katoliki
 
Malaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc
Jini Sharif, Maimuna, etc

Kwanini?

"Malaika" ni neno la Kiarabu ata kwenye Qur'an unalipata.

"Gabriel, Raphael, Gadiel"" ni lugha gani, na yanapatikana kitabu kipi?

"Sharif, Maimuna" i lugha gani na yanapatikana kitabu kipi?

Nakuuliza hivyo kwa sababu naona kama umejichanganya na hauelewi unachotaka kukiuliza.
 
Kuna aina fulani ya watu humu wale (much knows) watakuja kuleta ujuaji hapa ili hali hili swali linaonekana kutokuwa na jibu la moja kwa moja 🤒😎

Acha niwasubiri 😤
Unaona hlina "jibu la moja kwa moja" kwa kuwa halijaulizwa "moja kwa moja".

Hujakosea, jibu lako lisilo la moja kwa moja ni lipi?
 
Malaika hawana majina Ya kizungu ila Ni Majina ya Kiyahudi na Majinu yameanza kufahamika Story zake kutoka kwa Waarabu so Kabla ya Hapo hakukuwa na Story za MAJINI...
KWAHYO WAANZILISHI WA Story za Malaika ni wayahudi na ndo maana Malaika wana majina ya kitahudi na WAANZILISHI WA MAJINA YA Majini ni WAARABU ndo maana wana majina ya Kiarabu

Ooh, kumbe hakuna "wazungu" "wayahudi "?
 
Umesema kinyume sasa!
Ungesema kwa nini Wazungu wana majina ya malaika na Waarabu wana majina ya majiji?
 
Palestina Imetokana na Jina Philistine au Wafiliti wafilisti hawakuwa Miongoni mwa Waebrania..
Na majina ya Malaika,Biblia Na theology imetoka kwa Waebrania
Mbona hata neno "malaika" ulilolitumia ni la Kiarabu?

Hapa wote mnachanya, naonesha wazi hamuelewi maana ya w-wayahudi wala wahebrania wala Waarabu".

Mkielewa maana ya hayo hamtajichanganya.

Someni.
 
Back
Top Bottom