Mkurugenzi mkuu wa shirika la reli (TRC) alisema moja kati ya changamoto za shirika ni watu kuchukua maeneo ya shirika. Mfano:
Akasema kuna eneo la reli ambapo reli ilitakiwa kupita kutoka Mwenge via Mbezi beach hadi kiwanda cha cement Wazo hill. Lakini hilo eneo sasa hivi limejaa maghorofa. Naamini masikini hana ubavu wa kuchukua eneo la serikali wala kubadili hati ya ardhi. Kwanini serikali muda wote imekaa kimya inamuogopa nani? Au ndio shamba la bwana heri, ng'ombe wa bwana heri basi yote heri?
Huu ni mfano mmoja tu ila yako maeneo mengi ya serikali watu waliyojimilikisha kama wamerithi.
Akasema kuna eneo la reli ambapo reli ilitakiwa kupita kutoka Mwenge via Mbezi beach hadi kiwanda cha cement Wazo hill. Lakini hilo eneo sasa hivi limejaa maghorofa. Naamini masikini hana ubavu wa kuchukua eneo la serikali wala kubadili hati ya ardhi. Kwanini serikali muda wote imekaa kimya inamuogopa nani? Au ndio shamba la bwana heri, ng'ombe wa bwana heri basi yote heri?
Huu ni mfano mmoja tu ila yako maeneo mengi ya serikali watu waliyojimilikisha kama wamerithi.