Kwanini Mandela hakumsamehe mkewe Winnie?

Kwanini Mandela hakumsamehe mkewe Winnie?

Mleta uzi amecopy na kupaste akijifanya ni yake! Hakuonyesha umahiri wowote wa kuleta mada. Walau angejihangaisha kusummarize tu!
Labda mie ndie sielewi,lakini nimeandika kuwa mada hii ipo kwenye gazeti la Mwananchi na mtandao wa Mybroadband wa Afrika Kusini(Jf yao).Lakini hawa wote nao wame-copy toka katika kitabu cha John Carlin cha "KNOWING NELSON MANDELA" .

Mimi nilichofanya ni kuleta na maneno yake ya Kingereza,kwa hiyo hata muandishi wa kwenye Mwananchi alipaswa pia kusema amechukua sehemu ya kazi ya Carlin.Sijaelewa malalamiko yako ni nini?

Ingia hapa na wewe upate ladha yake ya asili Revealed: Why Nelson Mandela never forgave ex-wife, Winnie
 
Copy and Paste ni muhimu angenukuu mwandishi wa story hii kuliko alichofanya
Labda mie ndie sielewi,lakini nimeandika kuwa mada hii ipo kwenye gazeti la Mwananchi na mtandao wa Mybroadband wa Afrika Kusini(Jf yao).Lakini hawa wote nao wame-copy toka katika kitabu cha John Carlin cha "KNOWING NELSON MANDELA" .

Mimi nilichofanya ni kuleta na maneno yake ya Kingereza,kwa hiyo hata muandishi wa kwenye Mwananchi alipaswa pia kusema amechukua sehemu ya kazi ya Carlin.Sijaelewa malalamiko yako ni nini?

Ingia hapa na wewe upate ladha yake ya asili Revealed: Why Nelson Mandela never forgave ex-wife, Winnie
 
Pamoja na hayo, Mandela was weak to let Winnie Go, wote walikuwa na matatizo na walihitaji kujuana zaidi na zaidi lakini hawakupata nafasi hyo, so Mandela angekuwa Strong Man angeweza kulibeba hilo kama alivoweza kukaa behind Bars for 20 yrs
 
Huyo ndiye check-bob Dali Mpofu (now 55); mama hakuwa na namna moyo wake ulitulia kwa mshkaji ukahama kabisa kutoka kwa kile "kizee". Mapenzi sio mchezo. Huyo mwingine ni mke wa Mpofu - Mpumi Nxumalo.

dmpofu.jpg
dmpofuwife.jpg


Hizo hapo chini ni Mama akiwa katika mapozi tofauti. Bahati mbaya sana enzi zake hapakuwa na HD kama leo maana ingekuwa balaa. Mama alijipenda sana; in short "hakuzeeka".

wandnmandela.jpg


wandnmandela2.jpg


wmandela.jpg


wmandela2.jpg
 
Yaani hata alichoandika ni summary! Nimesoma yote natamani ingeendelea!

Hivyo unajua kuwa in copy and paste from the original document without acknowledgement! Walau ange"summarize" angeonyesha weledi wa uandishi.
 
Mleta uzi amecopy na kupaste akijifanya ni yake! Hakuonyesha umahiri wowote wa kuleta mada. Walau angejihangaisha kusummarize tu!
Ameileta hapa sababu anafaham sio wote tunapenda kununua magazeti na kusoma ...........au yawezekana alieiandika kwenye gazet ndo yule yule alieileta hapa....sasa ww shida yako nini????

Au ndo ili tukuone kwamba na ww ni msoma magazeti???[emoji856]
 
Najaribu kuwaza Winnie angefungwa 27 Mandela angekitembeza kiasi gani huku njee
Am sure angeoa mpya na kuzaa kabisaa
Mandela alichikasirika hapa ni kuwa pamoja na kufanya ufusika winnie alitakiwa kuwa msiri.
 
Yes.jamii za kiafrika ambazo hazina uchoyo kwa sex kwa mkeo huwa zinaruhusu jambo kama hilo tu kwa MTU mwenye rika moja na mume.pale inaoodhihirika kuwa kijana wa rika LA chini katembea na make basi kijana Huyo atapigwa fine.

Dali mpofu hana makosa.kimsingi he knew kwamba Winnie ni mkorofi na labda angeweza kumuua iwapo angekataa request yake.

All in all Winnie was a human being alikuwa na hisia.kosa ambalo labda Winnie angelifanya ni kutembea na wanaume wengi? Sina uhakika kama alilifanya hili.

Pia all in all mandela was also a human being.pia alikuwa ni raisi.skendo za Winnie....za mapenzi ya wazi na mauaji.....na pia ufujaji wa pesa.....na juu ya yote wivu kwa mkewe visingemuacha salama.kama asingekuwa puritan??? Na angeamini katika uafrika....Labda Angeoa make mwingine mdogo na kuendelea kutoa huduma kwa wake ze wrote kama inavyotakiwa....changamoto labda je ni hizo nguvu alikuwa nazo? Labda wangemfanyia mpango wa kabinti bikra ka kumpasha joto kama walivyomfanyia mfalme daudi Sikh za uzee wake.... Hasira na misongo ingepungua...Asubuhi njema.
 
Julius Malema kazaliwa 1981.
Malema ana miaka 37 sasa hivi.
Wakati ndoa ya Winnie inavunjika Mwaka 1996, Malema alikuwa na miaka 15!
Kabla ya huu mwaka wa talaka, tunaambiwa tayari Malema alikuwemo ktk harakati akimsaidia DALI MPOFU ktk kesi za Winnie.

Naomba tusaidiane hapo, U15s Malema alisoma na kumaliza Masomo lini Kiasi cha kuwa Mwanaharakati pembeni ya Winnie?
Labda kusahihisha,Malema alikuwa ktk kitengo cha Mawasiliano kwa umma na huduma za kijamii cha ANC angali alikwa mdogo,akiambatana na kina Mpofu katka kazi zake za kila siku,hivyo si ajabu yeye kuhusishwa na shuguli za Mpofu akiwa angali mdogo.

ANC ilitumia viajana wengi wadogo katika harakati zao,na wengi walihamasika na kuanza harakati wakiwa wadogo.Kitengo hiki ndio alikuwepo yule bwana mdogo aliyeuwawa na kina Winnie akisadikiwa kuwa ni kibaraka wa Makabaru
 
Back
Top Bottom