Kwanini manesi wana roho mbaya?

Kwanini manesi wana roho mbaya?

Hata hao wamama wakorofi wamewekwa hapo na Mungu

Mara nyingine huo Ukorofi wao na Ukali ndio unaosababisha mtoto azaliwe

Ukileta upole na uzembe unapoteza mtoto

Waulize wanawake waliopitia huko watakueleza

Mtu anaenda kujifungua halafu anatulia kama yupo Saluni.
 
Nimeshalala Muhimbili zote mbili. Ikifika saa tatu usiku, manesi wa kiume na wakike wanaingia kwenye chumba ambacho hakina wagonjwa, wanachukua shuka Safi , hawatoki humo mpaka saa kumi na moja alfajiri kuja kugawa dawa na kupima presha.

Pale Muhimbili ya Mloganzila kwenye wodi za watu wawili au watatu Kuna button ya emergency ya kumuita nesi au daktari kukiwa na dharura, aisee, zile huduma wakorea walituwekea lkn waswahili au manesi wanaziona Kama you Fulani hivi.

Nimewahi kuzibonyeza lkn Ni Mara moja tu niliona response, na hapo nesi kaja kuchungulia na kurudi kwenye chumba Chao kuendelea kunyanduana.

Mlio oa manesi mtajengewa mnara wenu.
Nasikia wananyanduana sana!
 
Nimeshalala Muhimbili zote mbili. Ikifika saa tatu usiku, manesi wa kiume na wakike wanaingia kwenye chumba ambacho hakina wagonjwa, wanachukua shuka Safi , hawatoki humo mpaka saa kumi na moja alfajiri kuja kugawa dawa na kupima presha.

Pale Muhimbili ya Mloganzila kwenye wodi za watu wawili au watatu Kuna button ya emergency ya kumuita nesi au daktari kukiwa na dharura, aisee, zile huduma wakorea walituwekea lkn waswahili au manesi wanaziona Kama you Fulani hivi.

Nimewahi kuzibonyeza lkn Ni Mara moja tu niliona response, na hapo nesi kaja kuchungulia na kurudi kwenye chumba Chao kuendelea kunyanduana.

Mlio oa manesi mtajengewa mnara wenu.
Kiufupi kuoa mwanamke anayefanya kazi ya night shift ni msiba.
 
Back
Top Bottom