UpendoUkweli
New Member
- Sep 8, 2017
- 3
- 6
I like this view...beauty with brainI like Mange,lakini kwenye ishu hii simuelewi kabisa-day and night ana plot kumshusha Diamond na Zari. Kitu kimoja anatakiwa aelewe Diamond ana fuata beauty with brains which unfortunately hao akina dada ambao mange anamsukumia no brains at all as such do not tick. Hawa mobeto type ni umiza kichwa and before you know it,they bring you tumbling down
Basi amuoe maana mke ya muthungu si hivyo tenaMange anampenda sana wema baada ya wema kumwagwa na mondi ndo kamgeuzia kibao
Umeanda kama mwanamke mwenye mimbaMaisha ya Marekani huyo yamempiga vibaya mna Hana cha CL wala nini kanyooka, naona imekuwa ngumu kwake kukubaliana na hali yake.
Enzi hizo alisema kuwa Diamond hatatoka Lkn Ikawa tofauti katoka na kupitiliza.
Alisema Zari hatapata Mali Za Ivan, Zari akapata.
Huyu bibi kijuza ni Ana roho mbaya sana.
Nashangaa hao wanaosema mwanaharakati hakuna kitu pale, angekuwa bado mashoga na kina Makamba angemtetea Magufuli mkashangaa. Huyo anampinga Magufuli kwasababu anajua ameharibu CCM sasa anajipendekeza Chadema akiwa na matumaini wakichukua nchi basi ataweza kuja bongo.
Wajinga wanaomuona wa maana hawaelewi game yake.
Mwanamke mchawi kabisa Huyu anamchukia Zari tu kisa ana utajiri, Huyu ni pshyco path kwakweli.
Umenena amuoe huyo Wema na kumtunza maana wamemkalia koo Diamond, wakati yeye ndio hivyo kamzikia binti wa Iddi Amini.Basi amuoe maana mke ya muthungu si hivyo tena
Umeanza wafuatilia juzi maana kama kumtukana diamond hakuanza leo kaanza toka jk yuko madarakaniKuna kipindi Diamond alikua rafiki yake na Bashite,alaf Bashite akamshawishi Diamonda akagusa jina la Mange toka sikuhiyo naona ndio bifu ikaanza.
Kwa sababu diamond alimuacha wema,cuz wema ni rafiki yake wa kufa na kuzikana