Kwanini Mange Kimambi anawachukia Diamond Platnumz na Zarina Hassan?

Kwanini Mange Kimambi anawachukia Diamond Platnumz na Zarina Hassan?

Status
Not open for further replies.
Wana hela zao, na Zarina ni mzuri anajua kudanga haswaaa roho inamuuma.
Tagizo wapare kudanga hatuwezi
 
Kwani wewe huna unaowachukia?
Tudanganye basi
 
Huyo Mange anazidiwa kila kitu na hao watu...kwa hiyo lazima awachukie....
Yani huyo mwanamke angepewa uzuri hata kidogo sijui.ingekuwaje? Hahahahaha
Sio Mange tuu wanawake wengi wanamchukia Zari...
Wanawake wengi wamejaa wivu wakijinga yani
 
Hapa anasemwa Mange wakati wapo watanzania tunaoishi nao mitaani na wengine wapo jf wasiompenda Nassibu.

Hao mmeshawauliza sababu kabla hamjaenda huko kwa mange ambaye hana acc jf
 
Habari zaenu

Kwa kipindi kirefu Mwanaharakati wa Mitandaoni na kada wa zamani wa CCM Mange kimambi amekuwa akimuandama sana Mwanamuziki Naseeb Abdul almaarufu Diamond Platnumz na Mama watoto wake Zarina Hassan

Mange kimambi amekuwa akimponda hata kumtukana kwenye mitandao Diamond, pia amekuwa anachukizwa na mafanikio ya Platnumz kila kukicha

Mange pia hakuishia tu kwa Diamond bali aliingia ndani zaidi hadi kufikia kuichokonoa familia ya Platnumz kwa kitendo cha kuanika mahusiano ya kimapenzi ya mama yake diamond Bi Sandra na mwanaume mmoja mkazi Wa dar es salaam

~Je mange ana chuki za mapenzi?

~Akishawahi kumtaka platnumz akakataliwa?

~Anaugomvi na Zari?
mange angekuwa amejikita kwenye siasa na kuibua maovu iwe yeye au kwa kutumiwa ningekuwa na mfatilia lakini kwa upande wangu na muona kama mtu aliye changanyikiwa pia huwa na washangaa wale wa mange kasema cjui ni watu wa aina gani.haiwezekani mtu anatumia lugha chafu anagombana na watoto kama diomond ambaye kesha piga hatua kubwa kumzidi yeye dimond yupo kwenye list ya vijana wenye ushawishi tanzania pia na kiba though kiafrika sio sana.ni mwehu yule bibi haiwezekani bibi kugombana na wajukuu pasi na sababu eti kisa wanamzidi mafanikio.kama anadeal na politics fine sio mizozo mpk watu wanashindwa jua unasimamia nini yaani siasa,uchumi au burudani na michezo??
 
Mwenzenu ana target ya 2020 kwenye kampeni. So anafanya kila awezalo kumshusha Diamond na kumpandisha Kiba ili aje kuvuta watu wengi kupigia Chadema. Nahisi Diamond lazima atachukuliwa na CCM tu

Mimi ninahisi ivyo na kama ni kweli ni vizuri ila nikiwa kama fan wa Diamond naumia so anatugawa mashabiki na wafuasi
Kiba pia anawafanyiaga kampeni CCM wote ni wa uko uko
 
Ni kweli mange anachuki za waziwazi kwa simba....na wtz wengi bila kujiuliza nn chanzo cha chuki hizo wanakua mstari wa mbele kusapoti chuki..... Tujifunze kupenda mafanikio ya wenzetu chuki hazijengi.
 
Habari zaenu

Kwa kipindi kirefu Mwanaharakati wa Mitandaoni na kada wa zamani wa CCM Mange kimambi amekuwa akimuandama sana Mwanamuziki Naseeb Abdul almaarufu Diamond Platnumz na Mama watoto wake Zarina Hassan

Mange kimambi amekuwa akimponda hata kumtukana kwenye mitandao Diamond, pia amekuwa anachukizwa na mafanikio ya Platnumz kila kukicha

Mange pia hakuishia tu kwa Diamond bali aliingia ndani zaidi hadi kufikia kuichokonoa familia ya Platnumz kwa kitendo cha kuanika mahusiano ya kimapenzi ya mama yake diamond Bi Sandra na mwanaume mmoja mkazi Wa dar es salaam

~Je mange ana chuki za mapenzi?

~Akishawahi kumtaka platnumz akakataliwa?

~Anaugomvi na Zari?

Anawish kuwa zari
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom