Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Kwani Rostam ameoa ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kkkt ni wachaggaKKKT kwenye hela hawachomoi
Yule ni Yusuph ManjiKipindi cha Pungu one jiwe huyu si alipitia joto la jiwe mpaka akataka kuhamia Zambia au nimechanganya files?
Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..
Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..
Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
Rostam Azizi ni mchumi amesoma uchumi na atumia uzuri elimu yake ya uchumi kuwa mfanyabiashara tajiri.Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..
Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..
Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
Ameoa na ana watoto watatu au wanne hivi.Kwani Rostam ameoa ?
Yes ni ngosha ,maana kaassmilate vyema sana kwa wasukuma /wanyamwezi.Msukuma wa Igunga.Ngosha huyu....Kuna miaka tulikula sana hela zake huyu jamaa....hana baya.
Alikuwa Mburushi mwingine Gulam ali aliyekuwa anajificha kwenye mpira!Miaka hiyo ya 1995, ilikuwa ni enzi ya Mwinyi. Rostam yupo kwenye mishemishe toka enzi za Mwinyi mpaka leo. Kila ishu, kila dili, kila kiongozi, kila skendo, Rostam jina lake lipo.
59Huyu jamaa ndio kwanza yupo kwenye 50s 😃
KumbeYule ni Yusuph Manji
Rostam akiendelea kurostamika
Kwanini haendi na mume wake pia?Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..
Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..
Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
Fafanua