Kwanini mara kadhaa alipo Rais Samia huambatana na Rostam Aziz?

Kwanini mara kadhaa alipo Rais Samia huambatana na Rostam Aziz?

Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..

Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..

Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047

Huenda yeye ndiye anaalikwa ila anafichamia kwa Mama
 
Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..

Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..

Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
Rostam Azizi ni mchumi amesoma uchumi na atumia uzuri elimu yake ya uchumi kuwa mfanyabiashara tajiri.

Lakini cha msingi Rostam Azizi ana connections nyingi sana duniani kumzidi raia yoyote yule wa Tanzania.

Na mwisho, Rostam Azizi ahusika na maamuzi yoyote yale ya mstakabali wa nchi hii.

Ukitaka kufahamu uzuri kuhusu Rostam Azizi na maono yake tembelea wilaya ya Igunga.

Ila mtu kama Rostam Azizi, hawezi kukosa kwenye kundi la raia na wafanyabiashara matajiri wenye connections duniani wanomsindikiza raisi kwenye misafara ya ziara maalum ni mtu maalum.

Hapo huwezi kuona jina kama la Steve Nyerere.
 
Miaka hiyo ya 1995, ilikuwa ni enzi ya Mwinyi. Rostam yupo kwenye mishemishe toka enzi za Mwinyi mpaka leo. Kila ishu, kila dili, kila kiongozi, kila skendo, Rostam jina lake lipo.
Alikuwa Mburushi mwingine Gulam ali aliyekuwa anajificha kwenye mpira!
Wakati huo Siti Mwinyi akijizolea mawe na kupeleka nchi kama kazi.
Mzee alipoona haitoshi akaiuza loliondo kwa akina Ortello.
Bintiye huyu kaja kumalizia kilichobakia!
Mwinyi na wanao Mungu anawaona!
 
LEO.HIII
20240214_185153.jpg
 
Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..

Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..

Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
Kwanini haendi na mume wake pia?
 
Back
Top Bottom