Kwanini Marais wa Kiafrika hawathaminiwi wakienda Nchi za Ulaya?

Kwanini Marais wa Kiafrika hawathaminiwi wakienda Nchi za Ulaya?

Vijana waliojifunza siasa ENZI za mwendazake ni shida sana hawajui maana ya UN general meeting
 
mkuu tema mate chini, Umemuona rais wa Brazil? yaani kazuiwa kuingia mgahawani kula kisa hajachanjwa akaona isiwe kesi.. yeye na mawaziri wake wakanunua pizza wakagawana then wanakula pembeni ya barabara.... Just imagine.
View attachment 1948115
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Hawajaalikwa na marekani bali umoja wa mataifa
NI WAGENI WA KATIBU MKUU

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwani kuna Rais wa nchi nyingine (tufanye ulaya na kwingineko) amepokelewa ili tuone wetu kadharauliwa? Au ni mawazo finyu kujibana kuwaza kuhusu vinavyokuhusu??

Kupokelewa ni jambo dogo sana. Sijui kwanini umelikuza hivi.
 
Kwani Mheshimiwa Rais kaenda Ziara huko Marekani yani nikimaanisha kaenda kutembelea Marekani au kaenda Marekani kwa Sababu ya Tukio la UN?? Kama kaenda kwa Tukio la UN sa Marekani itahusika vipi na Mapokezi yake.(na huenda hata isijue kama kuna Rais kutoka Tanzania... JOKE😁)

Ila inshort ile safari kaenda kuhudhuria kikao cha UN sio kaenda Ziara Marekani ndio maana unaweza shangaa ukaona baada ya Mkutano wa UN ndio akakutana na Viongozi wa Marekani wa kubwa na kufanya nao Mazungumzo lakini sio saivi.
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?

Hao wazungu wanajua fika viongozi wetu ni majizi ya kura. Hivyo hawana muda wa kupokea kwa heshima watu wanaoingia madarakani kwa kunajisi chaguzi za nchi zao.
 
Kama sijakosea ni kwamba, mama hakwenda Marekani kwa issues za Tanzania na USA, amekwenda kuhutubia mkutano wa umoja wa mataifa, issue ya USA inaingia kwasababu makao makuu ya UN yapo USA so yeye ni mgeni wa UN na sio USA
 
Mbona ule mkutano wa viongozi wa SADC kipindi cha dhalimu mpaka Mr. misifa Makonda alituzuia tusiooga tusije mjini?
Kwani Mheshimiwa Rais kaenda Ziara huko Marekani yani nikimaanish kutembelea Marekani au kaenda Marekani kwa Sababu ya Tukio la UN?? Kama kaenda kwa Tukio la UN sa Marekani itahusika vipi na Mapokezi yake.(na huenda hata isijue kama kuna Rais kutoka Tanzania... JOKE😁)

Ila inshort ile safari kaenda kuhudhuria kikao cha UN sio kaenda Ziara Marekani ndio maana unaweza shangaa ukaona baada ya Mkutano wa UN ndio akakutana na Viongozi wa Marekani wa kubwa na kufanya nao Mazungumzo lakini sio saivi.
 
Viongozi wa Afrika ni ma bingwa wa kuhujumu chaguzi, hiyo heshima nzuri ya kupokelewa vzuri kokote hawana, wapokelewe hivyo hivyo inatosha.
 
Sisi Tupo Brainwashed kuhusu Viongozi wetu. Tunajinyenyekeza Kwao wakati wao Ndio wanatakiwa Wajinyenyekeze Kwetu maana Tumewapa Dhamana.

Sisi Bado tuna Tamaduni za Kiuchifu chifu na Kifalme falme za Kuogopwa ndio maana Wenzetu waliostaarabika Mnawaona Kama Hawashtuki kumbe sisi Ndio tunatakiwa Tujiulize
Kiongozi ni Kiongozi popote Duniani, Ka,a Mungu anawapa Heshima viongozi wewe ni nani hata ushindwe kunyenyekea?
 
Hawa wenzetu wameshapita kipindi cha "UJUHA" cha kuteketeza resources zao kwa ajili ya mtu, wao wapo ktk maendeleo zaidi na hawana kabisa muda wa kujipanga barabarani kwa masaa mawili kumsubiri mtu.

Nchi nyingi za Africa, bado tuna huo Ujuha au kwa lugha ya mtaani Ushamba. Hatujipi kazi ya kufanya uchunguzi kuwa tunapoteza muda kiasi gani kwa matendo kama hayo, au tunapoteza rasilimali kiasi gani kwa mambo kama hayo? Je vipaumbele vyetu ni nini? Tungekuwa tunafikiri kwa mtazamo huo, nadhani haya yanayotokea huko US, yasingetushangaza. Angalia mfano mmoja tu, Ukiona msafara wa Waziri Mkuu wa Uingereza, hauna gari zaidi ya 3, lakini ukiona msafari wa Maraisi wetu utaona kuna magari yasiyopungua 20. Hayo yote ni matumizi ya mtu mmoja, na ukiangalia kwa mwaka ni pesa nyingi sana. Wenzetu tayari wanavipaumbele vyao vya maendeleo, na si ujio wa Rais watu mpaka washone sare au uniform nk. Angalia mfano wakati wa kukimbiza Mwenge, ukiangalia Mwenge unapita eneo fulani si zaidi ya dk 30, lakini utaona watu wameshona vitenge au wamenunua T-shirt, hizo zote ni pesa za Umma.

Mifano ipo mingi, nadhani hy michache inatupa kujifanyia tathmini juu ya UJUHA wetu. Kiongozi analindwa utadhani tunaishi na Magaidi? Kiongozi anakuwa kama si binadamu sijui kiumbe gani? Tubadilike, hao viongozi ni watu kama sisi tu, tunahitahi mpango kazi wa maendeleo sio kuwashangilia watu barabani.

Hayo ya US na Nchi nyingine yasitushangaze, watu wako busy na kazi zao, wengine wanafanya kazi hata 3 kwa siku, huo muda wa kushangilia Viongozi haupo.
60e0e037e730f.image.jpg

TRIPHGG5QVA3JJBTMRY52YOXCY.JPG

maxresdefault.jpg

JIFUNZE.
 
Marais wote wanaojielewa na kuthamini urais wao mikutano kama hii ya UN unatuma aidha mwakilishi au unarecord video.

JPM alifanya hivyo, Xi Jinping amefanya hivyo na nafikiri ndivyo inavyopaswa kuwa. UN general assembly ni kijiwe tu cha wanasiasa cha kutafuna kodi tu za wananchi wao kupitia gharama za misafara tu na matumizi huko Marekani.
 
Mathalani Rais wetu kipenzi mh. SSH amekwenda MAREKANI kwa ajili ya MKUTANO WA UMOJA WA MATAIFA-UNITED NATIONS GENERAL ASSEMBLY(UNGA) ambao huhudhuriwa na marais wengi sasa ulitaka AKAPOKELEWE NA mh.Rais Joe Biden?!!!Khaaa[emoji44]
Wewe kiaz ni UGA
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Wao marais wa Africa ndio wanajipendekeza Ulaya
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
mkuu hio ni kawaida sana huko mambele hasa kwa nchi za marekani na ulaya,

yani kwa kifupi, kule kilamtu huwa yupo bize na mishe zake, inavoonesha wale hawajaumbiwa kuduwaa na kushangaa mabarabarani

kuna kipindi ze comedy kina masanja waliendaga huko. Aiseeee cha kushangaza walikuwa wanachekesha mabarabarani kabisa, lakini watu wanapita kama hawawaoni vile.

Yani wale jamaa hawanaga swaga za kushangaa shangaa kama wabongo, kila mtu kule huwa yuko bize na mambo yake.
 
Toka lini baba mwenye watoto masikini mwenye Shamba limetapika raslimali ambazo kashindwa kuzitumia akathaminika.
Watawala wa kiafrica ni zao la malezi mabovu ya waafrika kuhusu dhana ya maendeleo.
 
Back
Top Bottom