Kwanini Marais wa Kiafrika hawathaminiwi wakienda Nchi za Ulaya?

Kwanini Marais wa Kiafrika hawathaminiwi wakienda Nchi za Ulaya?

Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
 

Attachments

  • VID-20210921-WA0016.mp4
    4.8 MB
  • VID-20210920-WA0040.mp4
    1.9 MB
Hapo nimekupata kwamba hawako tayari kuona tunaungana.
Africa ikiungana tutakuwa taifa la kwanza duniani kijeshi, kiuchumi, ushawishi na kila kitu
Mijitu ya Afrika ilivyo milafi ya madaraka , huko kuungana hakutatokea Kamwe.
 
Ndiyo maana hakukuwa na ulazima wa kuchukua delegtation kubwa ya kwenda kuhudhuria mkutano ambao hakuna atakeyesikiliza hotuba yako. Angalia mifanoi hii:

_pX01mXZMcjxY9ob2p1rc3AU-hkvoHxWHIyj7CGIT4Jl9E8RqfTeuVgOwTwTXf_wYPujqQTDBa9gNcCC8qm9PvbSBLrV4JPnyokuuYnZ-f2wUzNn7PLxgz3RwivPlQvwEeviwDvI2mx48YDLfpJp4uGRxfj1mSc9XcWzBPX41AbmvTEp9Q=s0-d-e1-ft

Mnangangwa anahutubia ukumbi mtupu.

dyU7ysG7qcfWHzvFImWSi2Ql3Mf5lGk5ETeKiEvCRcXclWpXBWHoLfmMkDrnicT6okdE8I4MAbca_bvP6j7pVt7fQJJhNKBrcEiFTBuos8NngnanrUpDEelsgJdhuocLN6Uzvi4tFB70xSUDbgt5NRp30FJpyDEIx6VW7GN-CZC-vw4rAw=s0-d-e1-ft

qPe0zpuXfQMg0zPzoHq_56pNh-flAVlq6YDJyVg-uj3aKDDHQMP6UOX1qCCgSiM-cXUAnMTaMzDBF8UPaIuU0nffJgxyiUSd_pjKYXk_rtVM5cNJmDI1FtupAGyn5ySk0T9uF_tVKKySK5wtzB0Is691cmW0Xo5d0YuWxeBiHIVwOA8huA=s0-d-e1-ft

kVbAHG30KTlK04kJwbKRhUf8DJZ8fTuQ9fRw6jnPdL2jD9exj7zDG0s-iFOACR9zM_lnUDhVGebSi5SogX338W02MKZ1pUtx0tgUJr27udCScO1hcyt5Q3q-QQzAqWlfcWckpCcDE6mpG7SF3yXxZm1lKFtnQzsaCK6Sa68YFTKgp0lfXA=s0-d-e1-ft
Wazungu huwa wanaona huu upuuz, kukaa kuwasikiliza watu ambao hata nchi zao wanazotoka wanashindwa kuzisimamia, watatueleza nini
 
Hello gad damn it close your faken shit terrorist mbowe the osama shit hahahah
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?

Safari yake sio state visit!

Hata hivyo, kwa ujumla, viongozi wetu hawajui kutofautisha state visits na safari zingine. Ndiyo maana heads of states wa regional blocs zetu (e.g., EAC, SADC, etc.) wakienda kwenye moja ya nchi zetu kwa ajili ya summits zao bado wanapokelewa kwa bashasha!
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?


Hakuna kilicho badilika umoja wa mataifa sio Marekani ni sehemu ambayo inajitegemea
 
Mheshimiwa 🕰️💯 hakua mgeni wa marekani Bali mgeni wa UNGA.
 
Ukarimu ni utamaduni wetu watanzania na afrika kwa ujumla ambapo ni tofauti na watu was mabara mengine..kikubwa anazingatiwa ulinzi na usalama wake inatosha.
Wasomi wa kiafrika ni wababaishaji na hawafikiri nje ya kile walichokisoma kwenye vitabu vilivyoasisiwa na wazungu ndio maana hatuendelei.

Hakuna tofauti kati ya mzungu na mwafrika unapozungumzia suala la asili.
Tofauti ni mila za sasa na za zamani.

Binadamu wote kwa asili yao wanafanana kimifumo waliyopitia ya maisha.

Waafrika wanaelekea kule kule walipowazungu au waarabu.
Kwa sasa kwa mfano watu wanaoishi Dar es salaam na wale wa Vijijini kule usukumani, Singida ,umasaidi wanautofauti mkubwa sana kwenye suala la Ukarimu japo wote ni waafrika tena wa kizazi cha leo.
Ukifika maeneo hayo ya vijijini utakaribishwa kwa shamrashamra kubwa sana na ukarimu wa hali ya juu. Lakini ukienda Huko mijini hasa jiji lenye watu mabilionea kama akina Mo ,Bakheresa, Rugemalila,Manji na mzunguko mkubwa wa fedha utakuta ukarimu ni ziro. Hawana muda wa kupoteza. Wanaangalia mambo yao ,biashara zao, kazi zao, bize na simu ,mitandao ,kufanya mahesabu yao,vikao vya makazini ,harusi,michango n.k.
Hii ni miaka kama 150 tangu hayo maendeleo ya kisasa yaingie huku kwetu.
Fikiri miaka 50 ijayo mbele ili tukaribie miaka zaidi ya 2000 ya ustarabu na sayansi ya Mgiriki na Mrumi na 1000 ya Mwingereza.
Je, patakua na kitu kinachoitwa Mila na ukarimu wa Mwafrika??

Mimi nimebahatika kupata simuliza nyingi toka kwa bibi yangu ambaye aliishi zaidi ya miaka 110 , Bibi ambaye aliwaona Wajerumani wakiwa bado wanamizizi Tanganyika hasa wamisionari wa kijerumani. Walikua wanawambia Watanganyika wakati huo kuwa nyakati zikifika watu wote wataishi maisha yanayofanana na wale wa kule kwao ulaya. Wazee wengi wakawa wanabisha sana lakini wale wamisionari walikua wakiwapa Tahadhari kuwa wakati utafika kila kilichopo na kinachofanyika ulaya kitafanyika na Afrika kwa wakati kwa kwa sababu ya maendeleo. Walati huo mzungu peke yake alikua anaishi kwenye nyumba nzuri yenye umeme wa jenereta na kanisani palikua na Karabai na taa za Chemli. Waafrika walikua wanaishi kwenye nyumba za nyasi na moto wa kuni tu. Mkoloni akawaletea vibatari na mafuta ya taa ,tochi za betri n.k.

Lakini yote kwa yote kila binadamu alipitia kwenye kwenye teknolojia duni na hapakua na namna ya kuishi bila kuwa wajamaa na wakarimu kwa sababu dunia ilikua ni kubwa na wanafamilia walikua wanakaa pamoja kama ilivyo kwa wamasai wasiosoma.

Elimu ni Ufunguo wa ubinafsi na uovu wote duniani. Ukitaka Afrika ibaki ile ya watu wakarimu basi futa mitaala yote ya kizungu na teknolojia isiwe kigezo cha maendeleo endelevu bali maendeleo yawe ni utu ,haki na amani.

Waarabu ambao wamejitahidi kulinda asili kwa kiwango kikubwa ndio wanaojaribu kidogo kuonyesha ukarimu wa binadamu wa asili hasa wakati wa Mfungo wa Ramadhani japo wanaharibiwa na makundi ya wanasiasa wanaopenda kutawala kupitia Ugaidi( Ubinafsi)



Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Mimi nashangaa sijaona wale makomando wetu wakimzungumka pande zote, na migari mingi mingi
Mabeberu wengi hawaijui hata Tanzania ni kitu gani.

Nakubaliana na Tandu anayesema sisi tunaihitaji dunia ya mabebebru kuliko wanavyotuhitaji sisi.
Kila mwafrika anatamani ndugu yake au mtoto wake akasome ulaya au akaishi ulaya lakini wao wanakuja Afrika kama kutalii zaidi lakini sio kuishi au kusoma labda wanapoona Fursa tu ya kutafuta maisha hasa madini na uwekezaji. Kwa hiyo Wazungu wanaoijua Afrika ni wale wenye biashara zao na wanaotafuta ubilionea . Wale wa kawaida hawana habari kabisa na Bara la Giza linaloongozwa na watawala wanaotumia 75% ya bajeti kununua Silaha za kuua watu wao ili wawaogope na wasifurukute kudai haki zao za kuishi maisha bora na kupata huduma bora za kijamii kama afya,haki mahakamani,haki chini ya polisi,haki za kuishi kwenye nyumba bora,haki za kupata elimu bora n.k.
Hivi kama Afrika pangekua sehemu ya maana inayowasumbua Wazungu kwa nini wale Waafrika kule Marekani hawanahabari kabisa kurudi hata kutembea tu Afrika.? Bila shaka wanajua kuwa America ni sehemu inayowafaa zaidi na ndiyo makazi yao kwa sasa na ni bora kwao. Hivyo hata Huku Tanzania ,ni makazi bora kwa watanzania lakini sio bora kwa binadamu wote mana mila MTU anawaza tofauti. Waarabu wanafurahia ukame na jangwa la nchi zao na hawakubali kuporwa nchi zao au kuhamishwa kwenye ardhi yao japo ni Kame.



Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Sasa yeye si hataki kaa nchi yake, wewe lini ulimthamini omba omba
 
Ukarimu ni utamaduni wetu watanzania na afrika kwa ujumla ambapo ni tofauti na watu was mabara mengine..kikubwa anazingatiwa ulinzi na usalama wake inatosha.
Sisi afrika kinachotusumbua ni ushamba tuu wa wageni
 
Rais asiye na utambulisho wa kitaaluma, kipaji ama jambo lolote la kuweza kumtoa mzungu ofisini kwake usitegemee atapoelewa Kama unavyotaka mleta mada

Samia hajawahi hata kuandika makala kwenye vijigazeti achilia mbali magazeti yanayojulikana duniani. Wala hajawahi kutoa hotuba nzito iliyoweza kuhifadhiwa kama rejea ya vizazi vijavyo. Atampokea nani huyu?

Nyerere kwa uwezo wake wa kuandika vitabu na kutoa hotuba zenye mashiko wazungu walimheshimu sana ndiyo maana walikuwa wakimpokea
We nawe unasumbuliwa na ushamba wa mzungu na mwarabu.
 
Endeleeni kuwanyenyekea mabeberu,, siku akienda nchi za kiarabu kama kawa atapokelewa kwa heshima zote, refer kikwete na nyerere ndio mtambue waarabu ni wa2 karimu mno. Lakini pa1 na yote haya still kuna wagalatia hawaachi kasumba yao ya kuwasema na kuwachukia vibaya mnoo waarabu kwamba ni wabaguzi, katili na wanaroho mbaya [emoji16]
Ushamba wa wazungu na waarabu utakutoa roho
 
Hapo nimekupata kwamba hawako tayari kuona tunaungana.
Africa ikiungana tutakuwa taifa la kwanza duniani kijeshi, kiuchumi, ushawishi na kila kitu
Waafrika bado wapo busy kuuana kisa jehova na allah nani zaidi , hilo swala la kuungana bado sana
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Most of them are blood begger, JK type.
 
Back
Top Bottom