Kwanini Marais wa Kiafrika hawathaminiwi wakienda Nchi za Ulaya?

Kwanini Marais wa Kiafrika hawathaminiwi wakienda Nchi za Ulaya?

Mkutano wenyewe hauna wahudhuriaji umedharaulika na inaonekana viongozi werevu wameona ni kwenda kupoteza muda tu! Useless.Hakukuwa na umuhimu wowote wa kuchoma kodi za watanzania kuhudhuria huu upupu
 
Africa tunadharaulika sana, Trump ni moja ya maraisi ambae alituchana makavu kwamba inabidi tutawaliwe tena, mwanaume ni Kim wa NK, jamaa alimkaribisha Papa kijeshi licha ya kuwa ni kiongozi wa kidini.

Najisikia uchungu sana kuona bara langu na taifa tukidharaulika kiasi hiki,

Obama alikuja wakakata mpaka miti airport, waka install radar zao, yaani wanajifanya very special, tukawafagilia na barabara, tshirt zikachapwa, mabango yakatengenezwa

Hivi Africa tulikosa nini?
Brother Ukitaka na wewe Upigiwe magoti Jiimarishe Kiuchumi Tu. Otherwise Utaendelea kuwa Swipers Tu mchambaji
 
Atapokea wangapi? Kila week atashinda Airport?

Pia wengi wetu wanaenda kuomba so lazima wa waoneshe kutojali coz hawana shida kama zako.
Ukweli mchunguuu huu jamani.
Waafrika wanaenda na masinia na mabakuli ya kuombaomba..
Nani anataka karaha hiyo??

Madini na maliasili zote tunawagaia, watajirike, na wanatuona mabogus.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Sisi wamarekani tunajiuliza kwanin kwenye listi za nchi zenye magaidi tumeisahau nchi ya Tanzania

Sisi wamarekani tunajiuliza kwanin kwenye listi za magaidi tumelisahau jina freeman mbowe

Kwa mambo hayo hapo juu imetupelekea sisi wamarekani kusahau kama upo ugeni kutoka Tanzania
Tofautisha ugaidi kwa kigezo cha ccm na kilichowekwa kimataifa.
 
Hawa wenzetu wameshapita kipindi cha "UJUHA" cha kuteketeza resources zao kwa ajili ya mtu, wao wapo ktk maendeleo zaidi na hawana kabisa muda wa kujipanga barabarani kwa masaa mawili kumsubiri mtu.

Nchi nyingi za Africa, bado tuna huo Ujuha au kwa lugha ya mtaani Ushamba. Hatujipi kazi ya kufanya uchunguzi kuwa tunapoteza muda kiasi gani kwa matendo kama hayo, au tunapoteza rasilimali kiasi gani kwa mambo kama hayo? Je vipaumbele vyetu ni nini? Tungekuwa tunafikiri kwa mtazamo huo, nadhani haya yanayotokea huko US, yasingetushangaza. Angalia mfano mmoja tu, Ukiona msafara wa Waziri Mkuu wa Uingereza, hauna gari zaidi ya 3, lakini ukiona msafari wa Maraisi wetu utaona kuna magari yasiyopungua 20. Hayo yote ni matumizi ya mtu mmoja, na ukiangalia kwa mwaka ni pesa nyingi sana. Wenzetu tayari wanavipaumbele vyao vya maendeleo, na si ujio wa Rais watu mpaka washone sare au uniform nk. Angalia mfano wakati wa kukimbiza Mwenge, ukiangalia Mwenge unapita eneo fulani si zaidi ya dk 30, lakini utaona watu wameshona vitenge au wamenunua T-shirt, hizo zote ni pesa za Umma.

Mifano ipo mingi, nadhani hy michache inatupa kujifanyia tathmini juu ya UJUHA wetu. Kiongozi analindwa utadhani tunaishi na Magaidi? Kiongozi anakuwa kama si binadamu sijui kiumbe gani? Tubadilike, hao viongozi ni watu kama sisi tu, tunahitahi mpango kazi wa maendeleo sio kuwashangilia watu barabani.

Hayo ya US na Nchi nyingine yasitushangaze, watu wako busy na kazi zao, wengine wanafanya kazi hata 3 kwa siku, huo muda wa kushangilia Viongozi haupo.
Brother I must SALUTE this One. Well said for sure.
 
Nakumbuka miaka ile Bendera ya Taifa ikipandishwa au kushushwa ni lazima msimame mguu sawa huku umetulia kama maji ya kisimani vile, Waafrika tuko na mbwembwe nyingi ambazo hazitusaidii kupata maendeleo
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Kwanza tofautisha Ulaya na US au Amerika. Samia kaenda US, siyo Ulaya.
Pili baadhi yetu tunadhani kwenda nje ya nchi ni kitendo cha maendeleo. Ndo maana tunafuatilia kwa imani kwamba huyu kaendelea. JK aliwahi kutupumbaza kwa kusema kuna pesa nyingi huko, wakati alifikia hatua ya kupokelewa na wanamziki.

Huko yeye ni mtu wa mtaani tu! Ni kazi ya ubalozi wetu kuhangaika naye.
 
Ni kama wew tu kwenye familia ukiwa mlalahoi na wenzio wako vzur huwez thaminiwa
 
Kaangalie state visit ya nyerere hapo hapo Kwa Trump na Kwa malkia. Nadhani inategemea heshima ya Rais binafsi kwao .mapokezi ya wakati wa Vita ya ubaguzi.
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Mzungu athamini cheo anathamini IQ sasa wewe unaenda marekani na iq ya mafii ya bata
 
Kwanini Biden hakujitokeza kumpokea?
Biden speaking at the United Nations General Assembly: “The future belongs to those who give their people the ability to breathe free, not those who seek to suffocate their people with an iron hand authority.
 
Kuna mtu mmoja aliniambia moja kati ya faida ya exposure ni kukunyenyekeza, it humbles you.

Ndio maana ni muhimu kwa viongozi kufanya kazi na kuishi kidogo nje ya nchi huko;

Unaweza ukawa mfalme kwenu, lakini mbele za watu wewe ni punda tu.
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Wanajidharau wenyewe. Wanakurupuka wakipata sababu dhaifu za kwenda huko. Nasikia SSH amemuona Biden kwenye runinga tu.
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Eti embassy na foreign affairs wanahaha Ili samia apate picha na biden. Ili waje kuwaringishia chadema. Huu ni ujinga na upumbavu
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Mnafikri wamarekani wanaulimbukeni kama mlionao huku tanzania mkikutana na maccm wenzenu
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Kwanza marais wenu wanaonekana wanaongoza a bunch of vilaza, sasa hiyo heshima watapewa na nani ?

Fikiria Rais anatumia gari la Milion 400 wakati kwenye taifa hilo hilo kuna raia hajui atakunywa maji safi na salama. Sasa hapo heshimu itoke wapi
 
Back
Top Bottom