Kwanini marais wetu wanalindwa na JWTZ badala ya Polisi?

Kwanini marais wetu wanalindwa na JWTZ badala ya Polisi?

Neno mpambe lipo wazi kabisa sidhani kama linahitaji maelezo mengi,nilitaka aelewe kwamba yule hayuko kwa ajiri ya ulinzi pale bali alama.

Sasa mtataka mjue kwanini hayupo private pale Ila afisa tena canal na si juu wala chini ya hapo.


Mkuu maadc huwa ni huwa wanarank kuanzia meja hadi kanali.

Ila jeshi ndio wameweka utaratibu wa kuwaweka maadc wa marais wanaingia wakiwa na rank ya luteni kanali. Na hii nadhani ni kwa sababu "mtu" mwenye vigezo vya kuwa adc huko jeshini akishafikia cheo cha luteni kanali ni tayari kamaliza kozi zote za uongozi na kivita.

Sasa ile kozi maalumu ya National defence college a.k.a kozi ya kuingia katika ""u" system" ambayo huwa inahudhuriwa na Maafisa waandamizi kutoka majeshi yote(hapa namaanisha maACP's wa polisi,magereza,uhamiaji,zimamoto n.k pamoja na maafisa wenye cheo cha kanali JWTZ) hii kozi hao ma"ADC" hawaihitaji kwa sababu wao tayari wapo tangia zamani hukoooooooooo kwenye "system"

Kwa hiyo ni kama sheria sasa maADC wanaanza jukumu la uADC wakiwa na cheo cha luteni kanali.

REFERENCES
Huyu ADC wa sasa wa Magufuli ambae ni kanali Mkeremy na yule aliekuwa ADC wa JK ambae sasa ni Brigedia Kimario.
 
mimi bwana likanda kwa upeo wangu huu wa memkwa ni kwamba bara la africa tuna nchi 54 nchi ambazo uchaguzi unafanyika kwa haki hazifiki hata 2 sasa kwa mtindo huo wanaweka ulinzi wa hatari ili kuwalinda hawa wafalme yaani wizi ni tabia iliyokubuhu africa
Memkwa at works kweli umeiva
 
Kuna action moja niliona kwa wenzetu jamaa walikuwa wanaweka ulinzi kwa ajiri ya raisi gafla mlinzi mmoja akaona panzia ktk chumba kimoja cha hotel ya ghorofa limecheza,ikabidi amwambie jamaa wa kwenye computer room kuw anamashaka na kile chumba yule jamaa aka scan kile chumba akaona watu wanafany tu mapenzi ikabidi amwambie jamaa kupo fresh wala asiwe na wasiwasi.technologia kama izo sisi huku hatuna
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wana du sio
 
Kutokana na usalama kuwa mdogo san tofauti na nchi za ulaya zilizoendelea.unakuta wana technologia ya hali ya juu katika ulinzi wa viongozi ndo maana ukuti wanabeba siraha ovyo,unakuta tu wamepiga suti zao


Naona unachekesha.
Hebu , Google aina za silaha wanazokuwazo wale wenye suti wa huko ulaya, USA na popote pale utapata majibu na kisha uje ufute hii comment yako..

Au tafuta documentary ya USA secret service preparation before and during a presidential travel utajiona. Ukiishaiangalia hiyo simulizi utajiona u bonge la kilaza sana.

Any way, miafrika mingi ndivyo mlivyo.
 
Swalama waheshimiwa!

Mara kadhaa nimekuwa nikijiuliza kwanini marais wetu wanalindwa na jeshi la wananchi (JWTZ), Kwa sababu mimi nijuavyo kazi ya jeshi la wananchi ni kulinda usalama wa mipaka yetu!
Jukumu la usalama wa raia na mali zao limewekwa kwa jeshi la polisi!

Sasa, kwanini Marais wetu wanalindwa na JWTZ? Au hawauamini ulinzi wa polisi? Kwanin bodguard wa Rais asiwe polisi?

Dhumuni la hoja yangu ni kujua ukweli na kujifunza pia, kwa hiyo kukosoa ni ruksa.
KARIBUNI.


KWANZA NIKUULIZE AMRI JESHI MKUU NI NANI ???
 
Swalama waheshimiwa!

Mara kadhaa nimekuwa nikijiuliza kwanini marais wetu wanalindwa na jeshi la wananchi (JWTZ), Kwa sababu mimi nijuavyo kazi ya jeshi la wananchi ni kulinda usalama wa mipaka yetu!
Jukumu la usalama wa raia na mali zao limewekwa kwa jeshi la polisi!

Sasa, kwanini Marais wetu wanalindwa na JWTZ? Au hawauamini ulinzi wa polisi? Kwanin bodguard wa Rais asiwe polisi?

Dhumuni la hoja yangu ni kujua ukweli na kujifunza pia, kwa hiyo kukosoa ni ruksa.
KARIBUNI.


HALAFU UKISHAJIBU KUWA AMRI JESHI MKUU NI NANI....NIKUULIZE KAMA WEWE NI MKUU WA NGOME KWANINI WALIO CHINI YAKO WASIKUTUMIKIE KUKULINDA...KAZI YAO NINI WAKISHINDWA KUKULINDA WEWE BOSI WAO.....Upendo huanzia nyumbani
 
Swalama waheshimiwa!

Mara kadhaa nimekuwa nikijiuliza kwanini marais wetu wanalindwa na jeshi la wananchi (JWTZ), Kwa sababu mimi nijuavyo kazi ya jeshi la wananchi ni kulinda usalama wa mipaka yetu!
Jukumu la usalama wa raia na mali zao limewekwa kwa jeshi la polisi!

Sasa, kwanini Marais wetu wanalindwa na JWTZ? Au hawauamini ulinzi wa polisi? Kwanin bodguard wa Rais asiwe polisi?

Dhumuni la hoja yangu ni kujua ukweli na kujifunza pia, kwa hiyo kukosoa ni ruksa.
KARIBUNI.
Mbowe ameweka mgambo na yeye !
 
Nafikiri uliyaka kuuliza kwa nini Aide De Camp ni mjeda??

Ps: Rais analindwa na usalama wa taifa, yeye kama rais ila vyombo vingine vya ulinzi na usalama pia lazima vimlinde yeye kama amiri jeshi mkuu!
 
Swalama waheshimiwa!

Mara kadhaa nimekuwa nikijiuliza kwanini marais wetu wanalindwa na jeshi la wananchi (JWTZ), Kwa sababu mimi nijuavyo kazi ya jeshi la wananchi ni kulinda usalama wa mipaka yetu!
Jukumu la usalama wa raia na mali zao limewekwa kwa jeshi la polisi!

Sasa, kwanini Marais wetu wanalindwa na JWTZ? Au hawauamini ulinzi wa polisi? Kwanin bodguard wa Rais asiwe polisi?

Dhumuni la hoja yangu ni kujua ukweli na kujifunza pia, kwa hiyo kukosoa ni ruksa.
KARIBUNI.
Kila nchi ina utaratibu wake wa ulinzi wa rais, kina nchi wana kikosi maalum cha wanajeshi wa kulinda rais na ikulu kuu na ndogo, kuna nchi wanakikosi maalum cha polisi ulinzi wa rais, kuna nchi rais analindwa na makundi matatu ya askari jeshi,polisi, usalama wa taifa kama TZ.
Zamani kipindi cha Nyerere mpambe wa rais alikuwa polisi halafu walinzi walikuwa wanajeshi, akaamua kubadili, mpambe akawa wa JWTZ halafu walinzi wakawa polisi wakisaidiana na usalama wa taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WAKUU, NAWASHUKURU KWA KUNIELIMISHA, MBARIKIWE, KUNA WENGNE WALIDHANI NINAPONDA, LAKINI KWA ALIYESOMA VIZURI THREAD YANGU NI KWAMBA NIA YANGU ILIKUWA KUJIFUNZA. ASANTE PIA KWA WALIOELEWA VIBAYA, MANA VNATOFAUTIANA UWEZO WA KUELEWA.
 
Kila nchi ina utaratibu wake wa ulinzi wa rais, kina nchi wana kikosi maalum cha wanajeshi wa kulinda rais na ikulu kuu na ndogo, kuna nchi wanakikosi maalum cha polisi ulinzi wa rais, kuna nchi rais analindwa na makundi matatu ya askari jeshi,polisi, usalama wa taifa kama TZ.
Zamani kipindi cha Nyerere mpambe wa rais alikuwa polisi halafu walinzi walikuwa wanajeshi, akaamua kubadili, mpambe akawa wa JWTZ halafu walinzi wakawa polisi wakisaidiana na usalama wa taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app


Well said mkuu,
Mwalimu Nyerere ADC wake wa kwanza alikuwa ni afisa wa polisi mwenye cheo cha ASP(ana nyota tatu).
 
Kutokana na usalama kuwa mdogo san tofauti na nchi za ulaya zilizoendelea.unakuta wana technologia ya hali ya juu katika ulinzi wa viongozi ndo maana ukuti wanabeba siraha ovyo,unakuta tu wamepiga suti zao
Nchi gani hiyo unayoongelea
 
Mambo ya Ulinzi wa raisi yamekuwa yakijadiliwa sana umu sikuhzi Je hii mijadala haitaongeza threaten level kwa Raisi, Nitoe angalizo tu kuwa ni muhimu kujadili mambo ambayo ni non classified na yale Classified basi tuyaache behind the curtain ili Kumuweka mkulu salama,,

Protection Detail ya Raisi inatokea ndani ya Usalama wa Taifa (TISS) Kupitia kitengo kinaitwa Presidential Security unit( PSU) Timu hii ndani Uko nayo ina vi sub part Kama Emergency Response Unit ERU wale ulio waona na Gandwa na mitutu pale Sababa au wanaolinda ikulu magogoni, Raisi ni amiri jeshi mkuu Yani Commander in Chief kutokana Hadhi hio ni Vyema Pawe na muwakilishi wa Jeshi kama alama tu kila ambapo Yupo Raisi apo ndio anatokea ADC yule mpambe anaekaa nyuma ya raisi muda mwingi, Raisi huwa karibu kabisa na watu wawili ADC na Detail leader yani Muongozaji wa Protection detail ya Siku hio
f9dc6e9facd56cd9479574ce6036edd4.jpg
BOT
 
Back
Top Bottom