Kwanini marais wetu wanalindwa na JWTZ badala ya Polisi?

Kwanini marais wetu wanalindwa na JWTZ badala ya Polisi?

JESHI WANA WELEDI KULIKO POLISI ,MBINU NYINGI NA UWEZO KIULINZI.
NA KAZI YA POLISI KUWA KANDAMIZA WAPINZNI TU KW AMRI WATAKAYOPEWA NDIYO KAZI KUU
 
Kazi kuu ya jeshi la wananchi duniani kote ni kulinda Rais, nchi na mipaka yake. Bilashaka mwenye kuuliza utakua umenielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wrong approach ingawa nimependa deduction! National Defence College ni ulinzi wa usimamizi wa uchumi na maadili mahusiano ya kitaifa kwa taasisi, watu binafsi na sekta zote chini ya nchi na kimataifa kwa upana na malengo ya kila kinachofanyika kama ni siasa n.k.

Haina uhusiano na u aide de camp na elimu yake ni ya juu sana yenye uhusiano na ya kiraia. Ndo maana waalimu wengi wa pale ni akina Lipumba, bilal, Mengi na wahadhiri wa mlimani na wageni wenye elimu hizo.

Wateja wa hiyo kozi ni wabunge, watu binafsi wenye marengo fulani katika jamii, viongozi wa serikali na vyombo vyote vya dola kwa watu wenye kutekeleza majukumu yanayotoka nje ya utendaji wa kawaida wa vyombo hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app

hii ni mpya kwangu na ningependa kujifunza zaidi kuhusiana na NDC
 
Nimepata kitu hapa "kozi ya kuwaingiza kwenye system" System gani?


Na washawasha!

Mkuu maadc huwa ni huwa wanarank kuanzia meja hadi kanali.

Ila jeshi ndio wameweka utaratibu wa kuwaweka maadc wa marais wanaingia wakiwa na rank ya luteni kanali. Na hii nadhani ni kwa sababu "mtu" mwenye vigezo vya kuwa adc huko jeshini akishafikia cheo cha luteni kanali ni tayari kamaliza kozi zote za uongozi na kivita.

Sasa ile kozi maalumu ya National defence college a.k.a kozi ya kuingia katika ""u" system" ambayo huwa inahudhuriwa na Maafisa waandamizi kutoka majeshi yote(hapa namaanisha maACP's wa polisi,magereza,uhamiaji,zimamoto n.k pamoja na maafisa wenye cheo cha kanali JWTZ) hii kozi hao ma"ADC" hawaihitaji kwa sababu wao tayari wapo tangia zamani hukoooooooooo kwenye "system"

Kwa hiyo ni kama sheria sasa maADC wanaanza jukumu la uADC wakiwa na cheo cha luteni kanali.

REFERENCES
Huyu ADC wa sasa wa Magufuli ambae ni kanali Mkeremy na yule aliekuwa ADC wa JK ambae sasa ni Brigedia Kimario.
 
Kumbe na wewe umeliona hili, kuwa mwanajeshi ni kuvaa uniform za jeshi? Hajui kuwa kwa wenzetu zinavaliwa hata mtu akienda kutongoza na kupunga upepo ufukweni. Wale wanaolinda viongozi wa ulaya kwa vile hawakuvaa mabakamabaka si wajeshi.


Na washawasha!


Naona unachekesha.
Hebu , Google aina za silaha wanazokuwazo wale wenye suti wa huko ulaya, USA na popote pale utapata majibu na kisha uje ufute hii comment yako..

Au tafuta documentary ya USA secret service preparation before and during a presidential travel utajiona. Ukiishaiangalia hiyo simulizi utajiona u bonge la kilaza sana.

Any way, miafrika mingi ndivyo mlivyo.
 
Kumbe na wewe umeliona hili, kuwa mwanajeshi ni kuvaa uniform za jeshi? Hsjui kuwa kwa wenzetu zinavaliwa hata mtu akienda kutongoza na kupunga upepo ufukweni. Walio wanaolinda viongozi wa ulaya kwa vile hawakuva mabakamabaka si wajeshi.

Miafrika mingi ndivyo ilivyo.
Kujifanya kujua pasipo kujua kuwa hawajui.

Pana field ni ngumu sana ukiwa nje ya hiyo field ila ukiwa ndani ya mfumo huwezi kuandika na kusema kama mleta thread.

Any way, Asante kwa kuelewa
 
Wrong approach ingawa nimependa deduction! National Defence College ni ulinzi wa usimamizi wa uchumi na maadili mahusiano ya kitaifa kwa taasisi, watu binafsi na sekta zote chini ya nchi na kimataifa kwa upana na malengo ya kila kinachofanyika kama ni siasa n.k.

Haina uhusiano na u aide de camp na elimu yake ni ya juu sana yenye uhusiano na ya kiraia. Ndo maana waalimu wengi wa pale ni akina Lipumba, bilal, Mengi na wahadhiri wa mlimani na wageni wenye elimu hizo.

Wateja wa hiyo kozi ni wabunge, watu binafsi wenye marengo fulani katika jamii, viongozi wa serikali na vyombo vyote vya dola kwa watu wenye kutekeleza majukumu yanayotoka nje ya utendaji wa kawaida wa vyombo hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app


Mkuu ni hivi,



Kozi/mafunzo ya ""u"system" huwa yapo camouflaged. Nadhani umenielewa!
 
Neno mpambe lipo wazi kabisa sidhani kama linahitaji maelezo mengi,nilitaka aelewe kwamba yule hayuko kwa ajiri ya ulinzi pale bali alama.

Sasa mtataka mjue kwanini hayupo private pale Ila afisa tena canal na si juu wala chini ya hapo.
Afisa mwenye cheo chochote anaweza kuwa mpambe wa Rais , Afisa kutoka jeshi lolote anaweza kuwa mpambe wa Raisi. Mpambe wa Raisi ni alama na sio mlinzi.

CHEO
Kipindi cha JK ,alikuwa na mpambe mwenye cheo cha kanali na badae alipandishwa cheo kuwa bregadia jenerali, protocol inatakiwa bregadia gali yake iwe na nyota moja lakini kwakuwa yupo kwenye uwakilishi wa Amiri jeshi mkuu it doesn't matter.

JESHI Lolote anaweza toka.
Kipindi cha marehemu Nyerere ,alikuwa na mpambe kutoka jeshi la polisi.

WALINZI
Walinzi wa Raisi wanatoka kitengo cha usalama wa taifa, ikumbukwe kuwa idara ya usalama wa taifa hapo mwanzoni ilikuwa ni moja ya vitengo vya jeshi la polisi kabla badae hii hidara kuhamishiwa ofisi ya Raisi, na pia ikumbukwe kuwa kumeshawai kuwa na mkuu wa hidara hii kutoka jeshi la wananchi (meja jenerali Kombe, rip). Ikulu kunalindwa na polisi Pamoja na wazee wa kitengo.
 
Yeye ni amiri jeshi na bodguard kuwa mjeda ni ishara ya jeshi kuwa tiifi kwa rais
 
mimi bwana likanda kwa upeo wangu huu wa memkwa ni kwamba bara la africa tuna nchi 54 nchi ambazo uchaguzi unafanyika kwa haki hazifiki hata 2 sasa kwa mtindo huo wanaweka ulinzi wa hatari ili kuwalinda hawa wafalme yaani wizi ni tabia iliyokubuhu africa

Umemaliza
 
Ivi wale walinzi wengine wanaovaa safari suit Sijui, ,,wanaweza kweli wakambeba Rais wetu pindi itokeapo dharula ili kumnusuru, maana wengine nawaona wana sura soft na wengine wana vitambi ambavyo kwa mimi mtu wa mazoezi kitambi ni dalili kuwa haupo fit bado,

mmoja tu yule ambae anakuwaga karibu na Rais ndio namuona yupo fit mno na kauzu kweli,,,ila simuoni sikuizi pia,,, au wale wazee wa suti huwa wanakuwa nao ni wapambe tu,, Ila now Naona ndio ana ulinzi aswa baada yakuwepo wale jamaa wa gwanda za makirikiri na wale FFU wa kikosi maalum, jamaa wapo fit mno ,,na wana sura za kazi aswa na milii ya gym au dojo
Kajaribishe utapata majibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom