Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Baada ya kujikuta kabolonga Somalia mwaka 1993 kuingilia vita za wenyewe kwa wenyewe basi ilitungwa sheria ambayo inatumika mpaka leo ambayo hata ukiwa swahiba wake hata weza kuingilia ila kukupa msaada tu.
hata kipindi cha Rwanda iliweza kumaliza ila kutokana sheria iliyopitishwa iliacha ilo swala.
Watu wengi hapa JF utashangaa wakisema Marekani ni muoga ila warudi kusoma sheria iliyowafanya hivyo.
hata kipindi cha Rwanda iliweza kumaliza ila kutokana sheria iliyopitishwa iliacha ilo swala.
Watu wengi hapa JF utashangaa wakisema Marekani ni muoga ila warudi kusoma sheria iliyowafanya hivyo.