Kwanini Marekani imeamua kufunga Konseli Kuu ya China mjini Houston, Marekani?

Kwanini Marekani imeamua kufunga Konseli Kuu ya China mjini Houston, Marekani?

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
Wiki hii Serikali ya Rais Donald Trump imeishangaza ulimwengu kwa kuendelea na sera yake ya kuiandama China kwa kutoa muda wa saa 72 kufungua konseli kuu ya China mjini Houston, kwa kisingizio cha “kulinda taarifa binafsi za wamarekani na kulinda haki za ubinufu za wamarekani”. Wanaofuatilia kwa karibu habari za mvutano kati ya China na Marekani, wanajua kuwa hii sio sababu, bali ni kisingizio kingine cha serikali ya Rais Trump kuendelea na uhasama wake.

Tukiangalia matukio ya hivi karibuni, tunaweza kuona kuwa Marekani ilianza kuleta mvutano wa kibiashara na China kwa kuongeza ushuru kwa upande mmoja. Wakati ule ilionekana kuwa tatizo kati ya Marekani na China ni biashara isiyo na uwiano. Lakini wakati Marekani ikiendelea kutoonyesha udhati kwenye suala hilo, likaibuka suala la kampuni ya Huawei na Marekani ikaanza kuiwekea vikwazo kampuni hiyo na kuzishawishi nchi nyingine kuizuia kampuni hiyo.

Wakati suala hilo likiendelea, likatokea suala la virusi vya Corona na kisingizio cha kukosekana kwa uwiano wa biashara kikapoatea, na Marekani ikaanza kujaribu kulitumia suala la virusi vya Corona kuipaka matope China na kuichonganisha na nchi nyingine. Marekani imekwenda mbali zaidi kwa kufanya vitendo vya uchokozi waziwazi kwa kutuma manowari yake kwenye bahari ya China kusini, kitendo ambacho bila shaka ni uchokozi dhidi ya China.

Marekani na China ni nchi mbili zenye nguvu zaidi kiuchumi duniani. Marekani ndio nchi ambayo kwa muda mrefu imekuwa na nguvu kubwa ya ushawishi duniani, na hasa kuwa na uhuru wa kufanya jambo lolote duniani baada ya kusambaratika kwa Urusi. Lakini sasa hali ya dunia imebadilika, China imekuwa ni nchi inayokua kiuchumi na kuwa mshindani wa Marekani, na kuifanya Marekani iwe na hofu kuwa China inataka kuchukua nafasi yake duniani.

Lakini tukiangalia kwa undani katika hali ya kawaida, nchi yoyote ikifanya juhudi za kujiletea maendeleo na kuboresha maisha ya wananchi wake, matokeo yake yatakuwa ni nchi hiyo itakuwa na maendeleo. Juhudi za China kujiendeleza ndio zimeiletea maendeleo China, na maendeleo ya China sio kama tu yamekuwa na manufaa kwa wachina peke yao, bali pia yamekuwa na manufaa kwa Marekani na kwa nchi nyingine duniani. Kama maendeleo ya nchi nyingine yakichukuliwa kuwa ni hatari kwa nchi nyingine, basi ina maana dunia itakuwa katika hali ya vurugu.

Kwa wanaoangalia suala hili kwa mtazamo wa karibu, tunaweza kusema kuwa vitendo vya uhasama vinavyoonyesha hasa na Rais Trump na waziri wa mambo ya nje wa Marekani Bw. Mike Pompeo, ni janja ya kisasa kutaka kupata uungaji mkono kwa chama cha Republican kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Novemba, lakini huu ni mchezo hatari ambao madhara yake ni makubwa.

Kuna wanaoweza kufikiri kuwa mvutano kati ya China na Marekani, ni suala la mafahari wawili na halina uhusiano na nchi za Afrika, lakini tukumbuke kuwa “Mafahari wawili wanapogombana zinazoumia ni nyasi”. China imesema ina uwezo wa kuhimili na kujibu uchokozi wa Marekani. Kwa nchi za Afrika bila shaka kama hali ikiwa mbaya, nchi zetu hazitakuwa kwenye hali nzuri.

China na Marekani ni nchi zenye ushawishi mkubwa kiuchumi duniani. Umuhimu wa uchumi wa China hasa kwa watu wa kawaida barani Afrika iwe ni wafanyabiashara au wateja, umeonekana wazi. Kama mvutano wa China na Marekani ukiongezeka na kutatiza biashara, basi madhara yatakuwa makubwa.
 
Hawa wawili hivi karibuni wataminyana mananiliii
Waminyane tuone nani mbabe wanatuvuruga tu
 
Hawa wawili hivi karibuni wataminyana mananiliii
Waminyane tuone nani mbabe wanatuvuruga tu
Kwani inamaana hapo we ujui mbabe ni nani? Mpaka mtu anafunha councel yako ujajua tu?
 
Hii ni pay back ya mchina alichokifanya hong Kong. Mara nyingi hizo consulate diplomacy ni kivuli tu. Ila mara nyingi ni kifuniko cha ujasusi
 
Usiseme kwamba hiyo ya kufunga console ya uchina ujue wamefanya utafiti yakinifu wamegundua Ni kweli.Lakini yote kwa yote mwenye nchi ana mamlaka juu ya nchi yake,hata wachina wakifungia sawa tu ili mradi istokee vita
 
Kwani inamaana hapo we ujui mbabe ni nani? Mpaka mtu anafunha councel yako ujajua tu?
[emoji23][emoji23][emoji23] hio konsel ilikua wap ?!

Muche kelele zisomaana vijana ohooo
 
Wiki hii Serikali ya Rais Donald Trump imeishangaza ulimwengu kwa kuendelea na sera yake ya kuiandama China kwa kutoa muda wa saa 72 kufungua konseli kuu ya China mjini Houston, kwa kisingizio cha “kulinda taarifa binafsi za wamarekani na kulinda haki za ubinufu za wamarekani”. Wanaofuatilia kwa karibu habari za mvutano kati ya China na Marekani, wanajua kuwa hii sio sababu, bali ni kisingizio kingine cha serikali ya Rais Trump kuendelea na uhasama wake.

Tukiangalia matukio ya hivi karibuni, tunaweza kuona kuwa Marekani ilianza kuleta mvutano wa kibiashara na China kwa kuongeza ushuru kwa upande mmoja. Wakati ule ilionekana kuwa tatizo kati ya Marekani na China ni biashara isiyo na uwiano. Lakini wakati Marekani ikiendelea kutoonyesha udhati kwenye suala hilo, likaibuka suala la kampuni ya Huawei na Marekani ikaanza kuiwekea vikwazo kampuni hiyo na kuzishawishi nchi nyingine kuizuia kampuni hiyo.

Wakati suala hilo likiendelea, likatokea suala la virusi vya Corona na kisingizio cha kukosekana kwa uwiano wa biashara kikapoatea, na Marekani ikaanza kujaribu kulitumia suala la virusi vya Corona kuipaka matope China na kuichonganisha na nchi nyingine. Marekani imekwenda mbali zaidi kwa kufanya vitendo vya uchokozi waziwazi kwa kutuma manowari yake kwenye bahari ya China kusini, kitendo ambacho bila shaka ni uchokozi dhidi ya China.

Marekani na China ni nchi mbili zenye nguvu zaidi kiuchumi duniani. Marekani ndio nchi ambayo kwa muda mrefu imekuwa na nguvu kubwa ya ushawishi duniani, na hasa kuwa na uhuru wa kufanya jambo lolote duniani baada ya kusambaratika kwa Urusi. Lakini sasa hali ya dunia imebadilika, China imekuwa ni nchi inayokua kiuchumi na kuwa mshindani wa Marekani, na kuifanya Marekani iwe na hofu kuwa China inataka kuchukua nafasi yake duniani.

Lakini tukiangalia kwa undani katika hali ya kawaida, nchi yoyote ikifanya juhudi za kujiletea maendeleo na kuboresha maisha ya wananchi wake, matokeo yake yatakuwa ni nchi hiyo itakuwa na maendeleo. Juhudi za China kujiendeleza ndio zimeiletea maendeleo China, na maendeleo ya China sio kama tu yamekuwa na manufaa kwa wachina peke yao, bali pia yamekuwa na manufaa kwa Marekani na kwa nchi nyingine duniani. Kama maendeleo ya nchi nyingine yakichukuliwa kuwa ni hatari kwa nchi nyingine, basi ina maana dunia itakuwa katika hali ya vurugu.

Kwa wanaoangalia suala hili kwa mtazamo wa karibu, tunaweza kusema kuwa vitendo vya uhasama vinavyoonyesha hasa na Rais Trump na waziri wa mambo ya nje wa Marekani Bw. Mike Pompeo, ni janja ya kisasa kutaka kupata uungaji mkono kwa chama cha Republican kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Novemba, lakini huu ni mchezo hatari ambao madhara yake ni makubwa.

Kuna wanaoweza kufikiri kuwa mvutano kati ya China na Marekani, ni suala la mafahari wawili na halina uhusiano na nchi za Afrika, lakini tukumbuke kuwa “Mafahari wawili wanapogombana zinazoumia ni nyasi”. China imesema ina uwezo wa kuhimili na kujibu uchokozi wa Marekani. Kwa nchi za Afrika bila shaka kama hali ikiwa mbaya, nchi zetu hazitakuwa kwenye hali nzuri.

China na Marekani ni nchi zenye ushawishi mkubwa kiuchumi duniani. Umuhimu wa uchumi wa China hasa kwa watu wa kawaida barani Afrika iwe ni wafanyabiashara au wateja, umeonekana wazi. Kama mvutano wa China na Marekani ukiongezeka na kutatiza biashara, basi madhara yatakuwa makubwa.

Marekani inaamini kwamba jengo la ubalozi huo hapo Houston ndo kilipo kitengo cha ujasusi ulotukuka wa China na operations zote zinatokea hapo.

Kiufundi hio huitwa kufunga na kupurukusha yaani "close and flush them out".

Hivyo hao majasusi wakitoka hapo (kama kweli wapo) wanakuwa hawana kinga na wanaweza kukamatwa kwa makosa ya "espionage".

Ndio maana hivi karibuni Marekani wamebadilisha sheria kuwataka majasusi wote wa nchi za kigeni kujisajili na kutoa taarifa zao za kifedha na shughuli zao, baada ya sakata la Russia.

Marekani bado inataka kuibinya China hadi itokee vita na kiukweli hii ni vita ya maneno katika hatua hii ilofikia.

Hatua hio imekuwa ni muendelezo pia wa kampeni za Marekani dhidi ya Uchina baada ya kuwakamata wanafunzi wawili wa zamani raia wa China na kuwafungulia mashtaka ya kudukua mifumo ya kompyuta na kuiba taarifa za utafiti wa chanjo za ugonjwa wa COVID-19.

Udukuzi huo unadaiwa na Marekani kwamba umefanywa kwa maelekezo ya kitengo hicho cha ujasusi cha China kutokea hapo kwenye jengo lao Houston.

Ila kiukweli ni kwamba Marekani ipo hoi na ugonjwa wa COVID-19 na wanachofanya ni kujaribu kuwasahaulisha wananchi yaani kwa kiingereza "diverting attention".

Watu zaidi ya 150,000 wamekufa na jamii nzima ya wamarekani mpaka sasa haijielewi wafuate njia ipi kwani uchumi unazidi kudorora kwa kasi.
 
Wiki hii Serikali ya Rais Donald Trump imeishangaza ulimwengu kwa kuendelea na sera yake ya kuiandama China kwa kutoa muda wa saa 72 kufungua konseli kuu ya China mjini Houston, kwa kisingizio cha “kulinda taarifa binafsi za wamarekani na kulinda haki za ubinufu za wamarekani”. Wanaofuatilia kwa karibu habari za mvutano kati ya China na Marekani, wanajua kuwa hii sio sababu, bali ni kisingizio kingine cha serikali ya Rais Trump kuendelea na uhasama wake.

Tukiangalia matukio ya hivi karibuni, tunaweza kuona kuwa Marekani ilianza kuleta mvutano wa kibiashara na China kwa kuongeza ushuru kwa upande mmoja. Wakati ule ilionekana kuwa tatizo kati ya Marekani na China ni biashara isiyo na uwiano. Lakini wakati Marekani ikiendelea kutoonyesha udhati kwenye suala hilo, likaibuka suala la kampuni ya Huawei na Marekani ikaanza kuiwekea vikwazo kampuni hiyo na kuzishawishi nchi nyingine kuizuia kampuni hiyo.

Wakati suala hilo likiendelea, likatokea suala la virusi vya Corona na kisingizio cha kukosekana kwa uwiano wa biashara kikapoatea, na Marekani ikaanza kujaribu kulitumia suala la virusi vya Corona kuipaka matope China na kuichonganisha na nchi nyingine. Marekani imekwenda mbali zaidi kwa kufanya vitendo vya uchokozi waziwazi kwa kutuma manowari yake kwenye bahari ya China kusini, kitendo ambacho bila shaka ni uchokozi dhidi ya China.

Marekani na China ni nchi mbili zenye nguvu zaidi kiuchumi duniani. Marekani ndio nchi ambayo kwa muda mrefu imekuwa na nguvu kubwa ya ushawishi duniani, na hasa kuwa na uhuru wa kufanya jambo lolote duniani baada ya kusambaratika kwa Urusi. Lakini sasa hali ya dunia imebadilika, China imekuwa ni nchi inayokua kiuchumi na kuwa mshindani wa Marekani, na kuifanya Marekani iwe na hofu kuwa China inataka kuchukua nafasi yake duniani.

Lakini tukiangalia kwa undani katika hali ya kawaida, nchi yoyote ikifanya juhudi za kujiletea maendeleo na kuboresha maisha ya wananchi wake, matokeo yake yatakuwa ni nchi hiyo itakuwa na maendeleo. Juhudi za China kujiendeleza ndio zimeiletea maendeleo China, na maendeleo ya China sio kama tu yamekuwa na manufaa kwa wachina peke yao, bali pia yamekuwa na manufaa kwa Marekani na kwa nchi nyingine duniani. Kama maendeleo ya nchi nyingine yakichukuliwa kuwa ni hatari kwa nchi nyingine, basi ina maana dunia itakuwa katika hali ya vurugu.

Kwa wanaoangalia suala hili kwa mtazamo wa karibu, tunaweza kusema kuwa vitendo vya uhasama vinavyoonyesha hasa na Rais Trump na waziri wa mambo ya nje wa Marekani Bw. Mike Pompeo, ni janja ya kisasa kutaka kupata uungaji mkono kwa chama cha Republican kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Novemba, lakini huu ni mchezo hatari ambao madhara yake ni makubwa.

Kuna wanaoweza kufikiri kuwa mvutano kati ya China na Marekani, ni suala la mafahari wawili na halina uhusiano na nchi za Afrika, lakini tukumbuke kuwa “Mafahari wawili wanapogombana zinazoumia ni nyasi”. China imesema ina uwezo wa kuhimili na kujibu uchokozi wa Marekani. Kwa nchi za Afrika bila shaka kama hali ikiwa mbaya, nchi zetu hazitakuwa kwenye hali nzuri.

China na Marekani ni nchi zenye ushawishi mkubwa kiuchumi duniani. Umuhimu wa uchumi wa China hasa kwa watu wa kawaida barani Afrika iwe ni wafanyabiashara au wateja, umeonekana wazi. Kama mvutano wa China na Marekani ukiongezeka na kutatiza biashara, basi madhara yatakuwa makubwa.
kwanini Serikali ya Magufuli "imeamua kufunga vyombo vya habari" ?

jibu nikujibu
 
kwanini Serikali ya Magufuli "imeamua kufunga vyombo vya habari" ?

jibu nikujibu
Serikali ya magufuli ni moja kati ya serikali DHAIFU sn kuwahi kutokea tz pengine na EA na huu udhaifu wameliambukiza na bunge kimekua chombo cha kuchota posho bila kufanya kazi ya msingi ya kibunge.....
 
Usiseme kwamba hiyo ya kufunga console ya uchina ujue wamefanya utafiti yakinifu wamegundua Ni kweli.Lakini yote kwa yote mwenye nchi ana mamlaka juu ya nchi yake,hata wachina wakifungia sawa tu ili mradi istokee vita

Na china nao wamefunga Konsel ya Marekani huko Chendu

Wanajuana hawa.

Na mara nyingi baada ya base ya kwanza ambayo inayokuq iko kwenye Embassy kuu(Kunakua na ofisi ya majasusi) ila operation zinapokua nyingi wakishaanza kufungua hivi vi Consulate vidogo vidogo vinakua mara nyingi ni front za Mashirika ya kijasusi ila kwa cover ya kidiplomasia

Nasubiri sana nione hii move ya Dodoma najua lazima Watakua na Embassy kule na hii ya Dar itakua Consulate

DRC Walikua na Ubalozi Dsm na Consulate Kigoma kwa shughuli kama hizo hizo last time I checked
 
Na china nao wamefunga Konsel ya Marekani huko Chendu

Wanajuana hawa.

Na mara nyingi baada ya base ya kwanza ambayo inayokuq iko kwenye Embassy kuu(Kunakua na ofisi ya majasusi) ila operation zinapokua nyingi wakishaanza kufungua hivi vi Consulate vidogo vidogo vinakua mara nyingi ni front za Mashirika ya kijasusi ila kwa cover ya kidiplomasia

Nasubiri sana nione hii move ya Dodoma najua lazima Watakua na Embassy kule na hii ya Dar itakua Consulate

DRC Walikua na Ubalozi Dsm na Consulate Kigoma kwa shughuli kama hizo hizo last time I checked
Kgm mpaka leo jioni bado Burundi na DRC consulate wapo
 
Na china nao wamefunga Konsel ya Marekani huko Chendu

Wanajuana hawa.

Na mara nyingi baada ya base ya kwanza ambayo inayokuq iko kwenye Embassy kuu(Kunakua na ofisi ya majasusi) ila operation zinapokua nyingi wakishaanza kufungua hivi vi Consulate vidogo vidogo vinakua mara nyingi ni front za Mashirika ya kijasusi ila kwa cover ya kidiplomasia

Nasubiri sana nione hii move ya Dodoma najua lazima Watakua na Embassy kule na hii ya Dar itakua Consulate

DRC Walikua na Ubalozi Dsm na Consulate Kigoma kwa shughuli kama hizo hizo last time I checked
kigoma Congo na burundi wanayo shule kabisa inaendeshwa kwa mitaala yao na wanafunzi ni wengi saana

pia drc na Burundi wana wanadiplomasia wengu tu kigoma huwa wanazunguka na magari yao
 
Back
Top Bottom