Kwanini Marekani imewazidi Mexico kwa mbali sana tofauti na Ujerumani inavyotaka kulingana na Ufaransa ilhali hizo zote sio nchi za ndani ya Afrika?

Kwanini Marekani imewazidi Mexico kwa mbali sana tofauti na Ujerumani inavyotaka kulingana na Ufaransa ilhali hizo zote sio nchi za ndani ya Afrika?

Tatizo hamsomi historia,na ndo tatizo hamjui vzr kwa nn United State of amerika inaongoza kwa kila kitu katika karne hii

Kumbukeni hawa watu ni watu wenye akili sana kabla cjaenda huko mbele

Katika vita vya pili vya dunia mmarekani hukujihusisha kwenye vita hii,akitumia tu akili nyingi kwa kuuza silaa kwa nchi ziluzokuwa zinapigana vita katika hiyo vita

Na aliweza kukamata ela nyingi sana kwa kuwa silaa zake zilikuwa bora sana na mpaka leo

Alitumia mwanya huo kupiga Ela nyingi Sana

Na kumbuka ofisi zote kubwa za hapa duniani na kampuni kubwa zote zipo u.s.a

Na ni mwizi wa mafuta duniani nzima japo yy si mchimbaji wa mafuta na yy ndo anaongoza kuwa na visima vya kutengenezwa kwa ajili ya uhifadhi wa mafuta

Kumbuka hakuna taifa ndani ya dunia hii ambaye haishi u.s.a

Wanawatumia kwa akili sana kwa faida yao ni lini hii nchi itapitwa na kwa nini asiwe wa kwanza kwa kila kitu

Katiba yao iko imara na ni nzuri kwa raia wake kwa nini wasiwe wakwanza
 
Tatizo hamsomi historia,na ndo tatizo hamjui vzr kwa nn United State of amerika inaongoza kwa kila kitu katika karne hii
Ina maana wewe na huko kusoma kwako unajua historia zoooote za kila jambo hapa duniani?...
 
Mkuu, mimi sizungumzii ethnicity mbona unakuwa mgumu sana kuelewa?

Hata kama Mexico ingekuwa imejaa wahaya watupu kwanini imepigwa gape kuwa sana na USA wakati watu wanaamini kukaa karibu na mzungu ndio maendeleo yanakuja kwa haraka kama Ufaransa alivyokaa na Ujerumani?
We nawe unajichanganya tu kwani wafaransa sio wazungu?
 
Wakati wa vita vya dunia kama sijasahau kama sio WW1 basi ni WW2 Mexico wali compromise na Germany ya Adolf Hitler itumike kama njia ya kuishambulia USA.

Sasa bahati mbaya mawasiliano yao yakawa intercepted na majasusi wa USA tangu wkt huo USA wapo macho wazi na Mexico labda tatizo lilianzia hapo, hawaaminiki tens.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania;

Kwanini Marekani imewazidi Mexico kwa mbali sana tofauti na Ujerumani inavyotaka kulingana na Ufaransa ilhali hizo zote sio nchi za ndani ya bara la Afrika?

View attachment 1605845

Je, ushahidi huu ni udhibitisho mwingine tena wa ule msemo/dhana maarufu ya kwamba kuishi karibu na mahakama sio kujua sheria kwa maana nchi ya Mexico ipo karibia kabisa na mahakama (Marekani) lakini bado sio wabobezi wa sheria (Global Influence) tofauti na Wafaransa wanavyojitahidi kutaka kulingana na Wajerumani.

Kwanini utofauti ni mkubwa hivi na hawa wote ni rangi nyeupe?

Kwa kipindi cha muda mrefu sana kumekuwapo na dhana sijui niseme ni kasumba ya kuamini kwamba ukikaa karibu na mzungu basi wewe ndio umefanikiwa. Tazama maendeleo ya nchi kama South Afrika ukilinganisha na jirani zao wa Msumbiji waliojawa na umasikini wa kutupwa.

Asilimia kubwa ya watu wanaamini ya kwamba maendeleo yale ya vitu yametokana na wao kukumbatia wazungu waliokuwapo nchi ile enzi na enzi pamoja na uamuzi wa mzee Madiba wa kutotaka kuwafukuza punde baada ya kumalizika kwa utawala wa kikaburu (Apatheid Regime)

Tukirudi hapa nyumbani kwetu Tanzania, moja kati ya sera za baba wa taifa Mwalimu Julius Nyarere ambazo baadhi ya wanazuoni wamekuwa wakizikosoa kwa nguvu zote na kudai ya kwamba ndio chanzo kikuu cha Tanzania kutokuwa na uchumi kama wa South Afrika ni ile ya kuwafukuza wazungu nikiwa na maana kwamba aliwafukuza kwa kufuta lugha ya kiingereza kama medium of instruction katika taasisi zetu za elimu ya msingi pamoja na utaifishwaji wa mali zao.

Achilia mbali sera za Mwalimu Nyerere pamoja na Makaburu wa South Afrika, bali turudi huku uswahilini kwetu tunapokaa. Just imagine leo hii umepita ukiongozana na mzungu barabarani huku uswahilini tunapokaa, unafikiri watu watasemaje. Lazima viji maneno vitambae utasikia daaaah yule jamaa si ndio Infantry Soldier.

Yule si ndio hapa juzi alikuwa analialia eti ameangusha pesa yake 300,000/= ya rambirambi ila leo anaongozana na wazungu hakika ametoboa kimaisha. Kwanini hii dhana ya mafanikio huletwa ukaapo na mzungu imekuwa si halisi kwa Mexico?

SWALI LA KIZUSHI: Je, ni mara ngapi uliwahi kukataa kupiga picha na mzungu? (Kuwa Mkweli)



USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.

Kenya na Tanzania zinatofautishwa na mpaka wa kuvuka na mguu, nini kinaangusha thaman ya hela ya Tanzania?
 
Kenya na Tanzania zinatofautishwa na mpaka wa kuvuka na mguu, nini kinaangusha thaman ya hela ya Tanzania?
Utofauti wa kiuchumi baina ya Tanzania na Kenya hauwezi ukaufananisha na ule wa Mexico na USA.

Sisi watanzania tuna roho ya upendo sana ndio maana tukaamua kuweka uchumi wetu rehani ili kuwakomboa ndugu zetu wa Uganda kutoka katika mikono ya gaidi Idd Amin.
 
Sasa wewe chukua hao Latino kisha nenda nao Mbagala alafu kawaambie watu kuwa hawa sio watu weupe kama haujapigwa mawe...
Kama wana akili kama zako kwa nini wasinipige mawe? Ila wamasaki, osterbay,mwenge hawawez kunipiga mawe kwa sababu wana akili za kutafakari.
Maeneo niliokulia watu wako hao unaowaota weupe tunaishi nao uswahilini na wala hatuwashangai.Inawezekana ulikulia kijijini sana.Kama ungekulia kariakoo wala huwezi shangaa na kutukyza warabu,wahindi nk. Kwanza warabu na wahindi waliomo humu JF wanakuona punguwani.
 
Kama wana akili kama zako kwa nini wasinipige mawe? Ila wamasaki, osterbay,mwenge hawawez kunipiga mawe kwa sababu wana akili za kutafakari.
Maeneo niliokulia watu wako hao unaowaota weupe tunaishi nao uswahilini na wala hatuwashangai.Inawezekana ulikulia kijijini sana.Kama ungekulia kariakoo wala huwezi shangaa na kutukyza warabu,wahindi nk. Kwanza warabu na wahindi waliomo humu JF wanakuona punguwani.
Sina muda wa kubishana na watoto wadogo kama nyie.

Welcome to my IGNORE LIST
 
Mexico Sio Nchi ya Wazungu, wala Raia wake sio Wazungu...
Na hawapendi kabisa kuchanganywa na kuitwa Wazungu!
Na wala hawawapendi Wazungu coz wao sio Wazungu!
The first wave of French immigration to Mexico occurred in the 1830s, following the country's recognition by France, with the foundation of a French colony on the Coatzacoalcos River, in the state of Veracruz. In total, 668 settlers were brought from France to populate the colony.
 
Back
Top Bottom