battawi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 2,712
- 2,577
Nashangazwa sana na Dunia Hii ya leo,Haki imekuwa batili,Dhulma inaonekana kuwa haki
Damu za waislamu zimekuwa rahisi kumwagwa,kila mwenye kuuwa leo hujifunzia kwa waislamu.
Tumepandikiziwa makundi na misimamo ya ajabu halafu tumehalalishiwa kuuwawa.
Hapa kwetu tanzania,Ukiunga mkono Muamsho ambao walikuwa wana madai halali ya Muungano kuwa hauna maslahi na Zanzibar wame wekwa kizuizini na kuitwa Magaidi
Ukisema kuwa Waislamu hawapewi haki sawa na Wakrisrto Nchini katika ajira Unaitwa Mchochezi.
Huyu Abubakri al Baghdadi kule iraq Alianzisha Utawala wa Kigkalifa ambao uliungwa mkono na 2/3 ya wairaqi baada ya kuchoshwa na vita vya kisiasa nchini mwao.Hatimae DINIA NZIMA IMEWAELEMEA NA KUANZA KUWASAKA MMOJA MMOJA NA KUWAUA.
Ndani ya nchi yao,Marekani na Mashoga zake waitakianini mambo ya ndani ya nchi?
hapa ndipo ninaposhindwa kuelewa.
Duniani leo kulikoni?
Mbona Damu za Waislamu zime fanywa kuwa Rahisi kumwagwa na halali?
Damu za waislamu zimekuwa rahisi kumwagwa,kila mwenye kuuwa leo hujifunzia kwa waislamu.
Tumepandikiziwa makundi na misimamo ya ajabu halafu tumehalalishiwa kuuwawa.
Hapa kwetu tanzania,Ukiunga mkono Muamsho ambao walikuwa wana madai halali ya Muungano kuwa hauna maslahi na Zanzibar wame wekwa kizuizini na kuitwa Magaidi
Ukisema kuwa Waislamu hawapewi haki sawa na Wakrisrto Nchini katika ajira Unaitwa Mchochezi.
Huyu Abubakri al Baghdadi kule iraq Alianzisha Utawala wa Kigkalifa ambao uliungwa mkono na 2/3 ya wairaqi baada ya kuchoshwa na vita vya kisiasa nchini mwao.Hatimae DINIA NZIMA IMEWAELEMEA NA KUANZA KUWASAKA MMOJA MMOJA NA KUWAUA.
Ndani ya nchi yao,Marekani na Mashoga zake waitakianini mambo ya ndani ya nchi?
hapa ndipo ninaposhindwa kuelewa.
Duniani leo kulikoni?
Mbona Damu za Waislamu zime fanywa kuwa Rahisi kumwagwa na halali?