Kwanini mashabiki wa Yanga wana roho mbaya?

Kwanini mashabiki wa Yanga wana roho mbaya?

Mimi ni shabiki lia lia wa SIMBA ila napenda kuangalia izi mechi za yanga kutokana na ili PIRA GAMOND wanalocheza kiukwel WANANCHI wanapiga mpira mpaka kuna muda nahisi kuwa wametudanganya hii sio YANGA labda n BAYERN MUNICH

Ila kilichoniuma ni baada ya YANGA kushinda goli 5 bila zidi ya JKT ilipo fika dakika ya 89 niliona Wachezaji wa yanga kama wamelidhika na ushindi wakawa wanapiga pasi mithir ya barcelona ile ya wakina iniesta xav bosquet mess zilipigwa pasi nyingi sana ad roho ikaniuma , lakini cha ajabu mashabiki wa YANGA walikuwa wanakasirika kwamba wanataka team yao ikashambulie ipate magol zaid

Ndugu zangu wananchi huu ni mpira sio vita jamn mbona mnaleta mambo serious sana inabid muwe na uruma ata kidogo

Mshamfunga mtu goli 5 mnatake tena waendelee kushambuliwa yule ni mTanzania mwenzenu tena ni Jeshi lina walinda muwe na uruma ata kidogo

Alafu mmwambie yule mchezaji wenu namba 7 sijui mnamuita MAX mmwambie tushamjua yeye ni MBAPE avue kinyago

Cha mwisho :- Ndugu zangu MAKOLO tutengeneze timu awa jamaa wapo serious sana wamejipanga kuaibisha watu View attachment 2732807
Simba hakuna juha,wewe ni Utokolo tu
 
Pira GAMONDI ni hatari zaidi kuliko hata Pira Nabi! Yanga Wana sifa eti Kila mchezaji ni Mayele, Kila mchezaji anafunga!

Hapa Sioni Tena Makolo Papatu papatu fc wakibeba kombe lolote bongo kwa miaka miwili mingine , angalau mbumbumbu fc wameambulia Ile mbao kutokana na uhuni wa kipa wao Ally Salim kuruka kabla penati za Yanga hazijapigwa ( Ngao).
 
Mimi ni shabiki lia lia wa SIMBA ila napenda kuangalia izi mechi za yanga kutokana na ili PIRA GAMOND wanalocheza kiukwel WANANCHI wanapiga mpira mpaka kuna muda nahisi kuwa wametudanganya hii sio YANGA labda n BAYERN MUNICH

Ila kilichoniuma ni baada ya YANGA kushinda goli 5 bila zidi ya JKT ilipo fika dakika ya 89 niliona Wachezaji wa yanga kama wamelidhika na ushindi wakawa wanapiga pasi mithir ya barcelona ile ya wakina iniesta xav bosquet mess zilipigwa pasi nyingi sana ad roho ikaniuma , lakini cha ajabu mashabiki wa YANGA walikuwa wanakasirika kwamba wanataka team yao ikashambulie ipate magol zaid

Ndugu zangu wananchi huu ni mpira sio vita jamn mbona mnaleta mambo serious sana inabid muwe na uruma ata kidogo

Mshamfunga mtu goli 5 mnatake tena waendelee kushambuliwa yule ni mTanzania mwenzenu tena ni Jeshi lina walinda muwe na uruma ata kidogo

Alafu mmwambie yule mchezaji wenu namba 7 sijui mnamuita MAX mmwambie tushamjua yeye ni MBAPE avue kinyago

Cha mwisho :- Ndugu zangu MAKOLO tutengeneze timu awa jamaa wapo serious sana wamejipanga kuaibisha watu View attachment 2732807
Kwani huwezi kuisifia yanga ukiwa mwanayanga hadi ujiite nawe kolo.
Wewe ni utopolo mshamba simba haijabahatika kuwa na wajinga sampuli yako.
Huwezi kujua uwezo halisi wa timu inapokutana na timu zenye uwezo mdogo.
Simba ni namba 7 ina African ranking ipo port 2 walio chini yake wote ni vibonde sasa endeleeni kukariri.
 
Back
Top Bottom