Kwanini mashine za EFD zijae? Si ni unyonyaji mwingine

Kwanini mashine za EFD zijae? Si ni unyonyaji mwingine

Kiukweli mashine EFD ni moja ya miradi ya kinyonyaji tulionao nchini spare zake ghali mno
Msambazaji wangu wa hizo mashine ameweka sheria kwamba tatizo lolote likitokea na ukaipeleka kwake bei ni 59,000 hata kama ni kupuliza kutoa vumbi na eti ina seal hairuhusiwi kuifungua ni kosa kubwa unaloweza kutoleshwa faini mamilioni mengine.Kwanini isiwe kama vifaa vyengine vya kielektronic mtu akiwa mtundu anafanya mwenyewe.Wao walinde mfumo wao tu usiingiliwe lakini habari za kufungua mashine na kuondoa vumbi au kubadili kitu kilichoharibika isiwe kazi ya TRA wala msambazaji.Kama hizo mashine ni kitu cha maana sana kwanini wasibadili tu bila pesa na wao wakachukua mashine yao,
 
Kiukweli mauzo yangu si makubwa kwa hivyo risiti pia zitoi nyingi pamoja na hivyo imejaa miaka 3 haijaisha.Nashangaa wale wauzaji wakubwa wa jumla huwa wananunua mashine ngapi kwa mwaka.Lakini wao sio mimi haiwaumi sana kwa vile fehda zinaingia za kutosha
Ndio maana nimeuliza. Mimi ninayo tangu 2015 na natoa risiti kila ninachouza sijawahi kuona hio issue ya mashine kujaa.
 
Msambazaji wangu wa hizo mashine ameweka sheria kwamba tatizo lolote likitokea na ukaipeleka kwake bei ni 59,000 hata kama ni kupuliza kutoa vumbi na eti ina seal hairuhusiwi kuifungua ni kosa kubwa unaloweza kutoleshwa faini mamilioni mengine.Kwanini isiwe kama vifaa vyengine vya kielektronic mtu akiwa mtundu anafanya mwenyewe.Wao walinde mfumo wao tu usiingiliwe lakini habari za kufungua mashine na kuondoa vumbi au kubadili kitu kilichoharibika isiwe kazi ya TRA wala msambazaji.Kama hizo mashine ni kitu cha maana sana kwanini wasibadili tu bila pesa na wao wakachukua mashine yao,
Msambazaji wangu ndio muhuni zaidi. Yeye kila mwaka analazimisha ukaifanyie service kwa 150,000/- mimi nikawa siendi sasa hivi wameiwekea code ikifika mwaka inadai service usipoenda haifanyi kazi. Hio service ni wizi tu maana hamna jipya.
 
Ndio maana nimeuliza. Mimi ninayo tangu 2015 na natoa risiti kila ninachouza sijawahi kuona hio issue ya mashine kujaa.
Hebu tuwekee wazi mashine yako ni kampuni gani huenda tukafaidika kujua nani ni bomu zaidi. Lakini pia hii ni miaka mitano tu, je kama ikiharibika leo umeridhia kulipa tena takriban laki 7 mpaka 8 kununua nyengine au ungependa idumu zaidi na hizo pesa ukala na wanao.
 
Msambazaji wangu wa hizo mashine ameweka sheria kwamba tatizo lolote likitokea na ukaipeleka kwake bei ni 59,000 hata kama ni kupuliza kutoa vumbi na eti ina seal hairuhusiwi kuifungua ni kosa kubwa unaloweza kutoleshwa faini mamilioni mengine.Kwanini isiwe kama vifaa vyengine vya kielektronic mtut akiwa mtu anafanya mwenyewe.Wao walinde mfumo wao tu usiingiliwe lakini habari za kufungua mashine na kuondoa vumbi au kubadili kitu kilichoharibika isiwe kazi ya TRA wala msambazaji.Kama hizo mashine ni kitu cha maana sana kwanini wasibadili tu bila pesa na wao wakachukua mashine yao,
Kwa kweli kwenye hizi mashine ni majanga matupu ni utapeli wa hali ya juu
Jana nilipeleka mashine kwa wakala ili kubadilisha battery akanichaji shilingi 40 elf ki battery chenyewe kidogo kama cha saa
Baadae nikaingia mtandaoni kuona bei zake hizo battery zinauzwa kwa pakiti moja yenye battery 12 USD 1.5 ambayo ni sawa na shilling 3500
Ambayo ukichukua 3500÷12= 291.66 kwa pc moja lakini tunaiziwa elfu 40

Hata kama bei hii ni imported inje China bado Bei ni kubwa mno
Waruhusu tuagize wenyewe wao walinde mfumo wao
 
Msambazaji wangu ndio muhuni zaidi. Yeye kila mwaka analazimisha ukaifanyie service kwa 150,000/- mimi nikawa siendi sasa hivi wameiwekea code ikifika mwaka inadai service usipoenda haifanyi kazi. Hio service ni wizi tu maana hamna jipya.
Kwanini tapeli kama huyo ameachwa afanye unyonyaji kwa raia na aikoseshe serikali mapato kwa kuzuia mauzo.Si akamatwe yeye kwanini waniadhibu mimi maskini ya Mungu.
 
Msambazaji wangu ndio muhuni zaidi. Yeye kila mwaka analazimisha ukaifanyie service kwa 150,000/- mimi nikawa siendi sasa hivi wameiwekea code ikifika mwaka inadai service usipoenda haifanyi kazi. Hio service ni wizi tu maana hamna jipya.
Kwanini tapeli kama huyo ameachwa afanye unyonyaji kwa raia na aikoseshe serikali mapato kwa kuzuia mauzo.Si akamatwe yeye kwanini waniadhibu mimi maskini ya Mungu.
 
Hebu tuwekee wazi mashine yako ni kampuni gani huenda tukafaidika kujua nani ni bomu zaidi,.Lakini pia hii ni miaka mitano tu,Jee kama ikiharibika leo umeridhia kulipa tena takriban laki 7 mpaka 8 kununua nyengine au ungependa idumu zaidi na hizo pesa ukala na wanao.
Siwezi kutaja kampuni. Miaka mitano tu kwani kujaa huko ni matumizi au umri wa mashine? Yako iliojaa ya lini? Ishawahi kuharibika wakanitengenezea.
 
Kwanini tapeli kama huyo ameacha afanye unyonyaji kwa raia na aikoseshe serikali mapato kwa kuzuia mauzo.Si akamatwe yeye kwanini waniadhibu mimi maskini ya Mungu.
Nina mpango wa kwenda kuwaripoti TRA. Niwaulize TRA kama wanajua kuwa huyu agent anazuia mashine isifanye kazi ili apate 150,000/-
 
Siwezi kutaja kampuni. Miaka mitano tu kwani kujaa huko ni matumizi au umri wa mashine? Yako iliojaa ya lini? Ishawahi kuharibika wakanitengenezea.
Bure au kwa pesa.
 
Bure au kwa pesa.
Walinitengenezea bure, hio service charge(150,000) kwa mwaka ndio ina-cover hii. Lakini tangu niichukue imeharibika mara moja tu.
 
Bure au kwa pesa.
Mimi ya kwangu vituko vya kuharibika ni mara nyingi katika hiyo miaka 3 ama kujaa ndio safari ya mwanzo. Siku moja walipita TRA wakakuta siandiki risiti eti wakanifokea mimi. Funga biashara yako mpaka uwe na mashine!

Nilinunua ya mwanzo siku zile ndio kwanza zinaanza kwa kweli haikufika hata miezi 6 ikafa ndio nikanunua kwa hasira nikidhani kampuni ile ndiyo ovyo zaidi kumbe na huku nako hakuna tofauti kubwa. Tena wakiniudhi zaidi nitataja ile mbovu ya miezi 6 na hii ya miaka 3.
 
Ukinunua si wanakukata kwenye Kodi? Shida iko wapi? Au hulipi Kodi?
 
Ukinunua si wanakukata kwrnye Kodi? Shida iko wapi? Au hulipi Kodi?
Ushawahi kwenda TRA kulipa kodi ukawaambia nalipa pungufu kwasababu nimenunua EFD ? Mfano unadaiwa 2m ukawaambia nalipa 1.3m kwasababu 700,000 nimenunua EFD?
 
Wananchi wale nyasi lkn raisi anunue ndege ya kutembelea, chanzo kikubwa ni selikali kutaka kodi haijalishi mlipa kodi anamtaji gani anapataje faida nk,mfano hiki Kitambulisho cha machinga wapo wenye maduka ambayo kwa kuyatazama tu unakuta mtaji wake haufiki million 2 wakaamua kukata Kitambulisho kwa sababu ndio mkuu WA nchi alivyosema wakija hata tra wanasema hiyo hawaitambui

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
 
Ndio Kaka.huwa nakatwa
Yawezekana wewe uko huko huko ndio maana unajua njia za kupitia kwa sisi wengine urasimu unakufanya usamehe tu. Na ukikazia kudai ndio unawakaribisha wakufanyie visa vya kukudai zaidi na kufukua mahesabu ya zamani.

Tujaalie unarudishiwa kweli. Sasa hizi unazorudishiwa si ni pesa vile vile zimetoka serikalini umerudishiwa wewe. Faida iko wapi. Afadhali kuwe na mfumo bora wa kupata kodi bila kumnyonya mfanyabiashara na serikali inachopata kibaki na kutumika vizuri. Isiwe kuna kugawana baina ya TRA, watengenezaji na wasambazaji kwa jasho la mfanyabiashara.
 
ukifunga biashara EFD mashine haiuziki

unabaki nayo tu kama kumbukumbu ukitaraji kuna siku tra watarudisha gharama na hasara zako

ingefaa efd machine iwe na mfumo wa redio FM na simu na kalkuleta kupunguzia gharama
Nilinunua mashine sikumaliza mwaka nikabadili biashara nikaambiwa imekula kwangu lazima kununua nyingine. Nikapata majibu kwanini wengi hukwepa kulipa kodi.
 
Back
Top Bottom