Kwanini mashine za EFD zijae? Si ni unyonyaji mwingine

Hii kitu hata ofisini kwa jirani yangu imetokea miezi miwili iliyopita, ilianza kugoma kupeleka akaambiwa imejaa so amenunua nyingine, hii iliyojaa amekaa nayo miaka 5,ni hizi incotex.
 
Hujui mambo ya TRA wewe sio mlipa kodi period. Maana unachobisha Ni kitu kipo.
 
Ushawahi kwenda TRA kulipa kodi ukawaambia nalipa pungufu kwasababu nimenunua EFD ? Mfano unadaiwa 2m ukawaambia nalipa 1.3m kwasababu 700,000 nimenunua EFD?
Huwa wanafanya hivo rrondo .Kama hukukatwa hela yako ya mashine basi ukadai.nenda na risiti andika barua
 
Hapo kuna uhuni mkubwa. Lakini huu ndiyo wakati wa wafanyabiashara na chama chao kusikika.
 
Nimejikuta nacheka tu
Yaani hako kabetri 40k ?
 
Msambazaji wangu ndio muhuni zaidi. Yeye kila mwaka analazimisha ukaifanyie service kwa 150,000/- mimi nikawa siendi sasa hivi wameiwekea code ikifika mwaka inadai service usipoenda haifanyi kazi. Hio service ni wizi tu maana hamna jipya.
Kama kweli hizi mashine zinasaidia kuongeza mapato ya serikali itakuwa ni uzembe mkubwa wa TRA kuruhusu maslahi ya kampuni binafsi kuwa mbele kuliko maslahi ya taifa.Inakuwaje mashine ijae na iache kufanya kazi kwa kuwa tu kampuni inataka tsh.150,000 na hawajapewa na wao wanafungia mashine.
 
Ndiyo maana Tundu Lissu kasema atapeleka Muswaada wa Taxpayers bill of right.
 
Kama mliyoyaandika humu ni ya kweli basi tunaweza kusema serikali yenu iko enzi za zama za mawe za mwanzo

Sijui kwa nini serikali ya maccm wamekuwa wazito sana kuimalisha mifumo ya TEHAMA ya nchi hii

Nafuatilia huko Rwanda serikali iko inahamasisha watu kutumia cashless payment system ili waweze kupunguza gharama za kuchapisha pesa ila huku kwetu ndio kwanza wanazuia hata kupokea hela kwa PayPal nk.
 
Mimi TRA wanachonikera tu kila wakija kwako hawakosi kosa Mara mashine imefyokofyoko sijui nini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dah we jamaa hadi nimetamani nikujue.... [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali inaendeshwa na watu primitive ndio tatizo....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imebidi niandike tuu kwa nn TRA wasiruhusu kama ukishindwa kufanya biashara ile mashine uweze kuuza kwa wenye uwezo wa kufanya biashara wapo wengi wenye nazo ndani zimekuwa ni toy's kwa ajili ya kuchezea watoto
Ilhali wamezinunua zaidi ya laki saba kwao
 
Inajaa vipi? Kwamba unalipa sana kodi ndio inajaa(bilioni ngapi inajaa)?

Hiyo mashine Ina memory chip kama ya computer au simu.
Ikijaa data ndiyo inabidi ununue mashine nyingine.
 
We have good comments from contributors here, I hope TRA is listening to these comments or they tried these gadgets before in the market before coming to finalize the design. If not they are not very late they can still modify and waive these problems to taxpayers.
 
Hiyo mashine Ina memory chip kama ya computer au simu.
Ikijaa data ndiyo inabidi ununue mashine nyingine.
Sio kweli.Sasa niemeelewa vizuri. Hizi mashine zimewekewa kiwango cha siku za matumizi ndio maana kila siku inakulazimisha utoe z-repot.Zikifika 2000 sawa na miaka 5 na miezi 4 lazima isite kufanya kazi na ununue nyengine hata kama kila kitu kiko sawa.
Zipo sababu kadhaa hapo katikati zitakazokufanya uipeleke kwa kampuni iliyokuuzia ili kurekebisha baadhi ya vitu kama kuganda kwa vifungo na kadhalika na tena kwa gharama kubwa.Anaweza akatoa zreport kadhaa katika majaribio na zote zinahesabiwa.Hata kazini kwako unaweza kulazimika kutoa zreport kimakosa na zote ziko kwenye hesabu.Hatimae umri wa mashine unazidi kushuka ndio maana ya kwangu imisha muda wake mapema na hata sijajipanga kununua nyengine.
 
Hivi vile vitambulisho vya 20000 bado vipo ? ,,je kama vipo nikihitaji naenda TRA au halimashauri.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…