Kwanini matapeli wengi wanatumia line za TTCL?

libeva

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
4,465
Reaction score
3,615
Wale matapeli wengi siku za hivi karibuni wanatumia sana line za TTCL kuhadaa wananchi kama kujiunga na Freemason au ile fedha tuma kwenye namba hii.

Kama ujumbe hapa chini unavyo jieleza.

666)POLE NA KAZI JIUNGE NA MTANDAO MKUBWA WA FREE~MASON UMILIKI UTAJILI WA PESA NYUMBA MAGALI BIASHARA KUJIUNGA NASI NO 0733252435
 
Tunawasubiri waje watujibu. Usajili wa TTCL ni magumashi sana
 

Pole na changamoto mkuu, tafadhali tuma screenshot ya huo ujumbe kwa msaada zaidi.
Asante



#RudiNyumbaniKumenoga
 
Hata voda wana icho kisms cha freemson si ttcl tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…