Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole na changamoto mkuu, tafadhali tuma screenshot ya huo ujumbe kwa msaada zaidi.
Asante
#RudiNyumbaniKumenoga
Asante sana mzee, ngoja nizishughulikie fasta.
Ndani ya dakika 10 nitakuwa nimeshaifutia usajili.
#RudiNyumbaniKumenoga
Pole na changamoto mkuu, tafadhali tuma screenshot ya huo ujumbe kwa msaada zaidi.
Asante
#RudiNyumbaniKumenoga
Mtego huoNijuzwe Mimi upata Sana ujumbe huu private wasap wa kuombwa urafiki. Sasa sielewi
Wengi ni wadada sasa sielewi lengo lao
😁👋 HELLOW 🇹🇿
🔥 Mambo vipi
Naitwa GOLDEN
NAISHI DAR
🇹🇿🇹🇿
Naomba usave namba yangu na Mimi nisave yako kwa ajili ya
📌 Status viewing
📌 Friendship
📌 Money connection
We share common group Viwanja Pwanu&Dar bei poa
🔖 JE WW UNAITWA NAN NIKUSAVE RAFIKI✊🇹🇿
Ungerudishaga ile avatar picha yako ya awali ya ngweaYes, sir!
Ungerudishaga ile avatar picha yako ya awali ya ngwea
Kivipi nijulisheMtego huo
Safi sana kurudisha avatar picha ya ngwea homeboy wako huko moro[emoji16][emoji16][emoji16]poa
Pamoja na Hallotel , inadaiwa ni mitandao isiyo na udhibitiWale matapeli wengi siku za hivi karibuni wanatumia sana line za TTCL kuhadaa wananchi kama kujiunga na Freemason au ile fedha tuma kwenye namba hii.
Kama ujumbe hapa chini unavyo jieleza.
666)POLE NA KAZI JIUNGE NA MTANDAO MKUBWA WA FREE~MASON UMILIKI UTAJILI WA PESA NYUMBA MAGALI BIASHARA KUJIUNGA NASI NO 0733252435
Safi sana kurudisha avatar picha ya ngwea homeboy wako huko moro