Kwanini matapeli wengi wanatumia line za TTCL?

Nijuzwe Mimi upata Sana ujumbe huu private wasap wa kuombwa urafiki. Sasa sielewi
Wengi ni wadada sasa sielewi lengo lao
πŸ˜πŸ‘‹ HELLOW πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
πŸ”₯ Mambo vipi
Naitwa GOLDEN

NAISHI DAR
πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Naomba usave namba yangu na Mimi nisave yako kwa ajili ya
πŸ“Œ Status viewing
πŸ“Œ Friendship
πŸ“Œ Money connection

We share common group Viwanja Pwanu&Dar bei poa

πŸ”– JE WW UNAITWA NAN NIKUSAVE RAFIKIβœŠπŸ‡ΉπŸ‡Ώ
 
Mtego huo
 
Pamoja na Hallotel , inadaiwa ni mitandao isiyo na udhibiti
 
Pamoja na Hallotel , inadaiwa ni mitandao isiyo na udhibiti
Inabidi wajipange, huwezi pata SMS ya wazee wa tuma huku au mganga kabambe toka Tanga au kujiunga na Freemason kutoka Voda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…