Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuvaa condom ni kupiga nyeto tuu mwanawane.Wengi ya wanawake hawapendi kondom. Wanadai zinawaumizwa na pia wanaenjoy kumwagiwa uji wa moto.
Ila hata mimi sipendi kuvaa kondom. Nyama kwa nyama ina raha yake.
Ila pia malaya ukiongeza dau hakatai kavuKwakua wanawake wanawaamini sana wanaume walionao, malaya hawezi kukubali
NaamWatu 163,131 walikutwa na Maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI mwaka 2023 Tanzania
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu @ummymwalimu leo January 10,2024 ametoa taarifa ya hali ya utoaji huduma za afya nchini kwa mwaka 2023 katika mkutano wake na Waandishi wa Habari Jijini Dar es salaam ambapo amesema katika mwaka 2023 jumla ya Watu 8,145,576 walipima Virusi vya UKIMWI (VVU) na Watu...www.jamiiforums.com
hiyo ndiyo kiboko yenuNaam
Usitutishe mkuuhiyo ndiyo kiboko yenu
LA75 lamivudineUsitutishe mkuu
Ndio nin mkuuLA75 lamivudine
Mbaazi za mzunguNdio nin mkuu
HatutishikiMbaazi za mzungu
😂Kuna kitoto kimoja wakati najiandaa kuvaa kondomu kilinipokonya na kuitupa mbali huko
Mmmh!Mambo ni durexxx [emoji23][emoji23][emoji23]
Imenikuta mara kibao ambao nimewapima ila wao hata hawaniuliz kwann mimi sijapima...Wapo ambao wako very strict kwenye hilo na wapo wale hawajielewi.
Hata ngoma unaweza mpima yeye tu maghettoni ukapiga kavu halafu akifika nyumbani anakutext,"Hivi mbona wewe hukujipima?".
Naliona kama tope la hanang vile 🤣Wewe jua tu uamuzi ni wako.View attachment 2870852
Sababu ndie anaekojoa unataka kugundua nini kingine?Wenyewe hubaki kusikiliza mwanaume kaamua nini ...
😁😁😁 wewe fala sanaNaliona kama tope la hanang vile 🤣