Kwanini matumizi ya Condom hubaki kwa mwanaume ndiye mwenye uamuzi?

Kuna kitoto kimoja wakati najiandaa kuvaa kondomu kilinipokonya na kuitupa mbali huko
Hahahaaa
Mmoja tupo room akanambia me sikuelewi unanionaje naona unanichubua na macondom yako. Ikabidi niweke pemben

Mwingne mwanachuo juz tunapangana.. akanambia this week hawez nipa mbususu sababu yuko danger days. Nkasema kwan hakuna kinga? Akajibu kinga pekee anayoikubali ni withdraw. Nyingine hazikubali.
 
Hahaha
 
Duh....mtihani shekhe πŸ˜ƒ
 
Ni ngumu sana mwanamke ukimvua nguo alafu ukimwambia hauna condom akatae msiendelee next episodes
 
Mwanamke nyege zikishapanda anakuwa aelewi chochote unaweza ukafanya chochote bila kuleta usumbufu wowote
 
Wanawake wengi kwenye maamuzi ya kondomu hawako sensitive kabisa na isitoshe wengi hawazipendi.
 
Wapo wanawake kibao wanaojielewa bila kuona kinga au kupima hata hizo genye hapati hata ufanyaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…