Kwanini maumbo na majina ya kijinsi yalikuwa hivi?

Kwanini maumbo na majina ya kijinsi yalikuwa hivi?

Loading failed

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2023
Posts
2,603
Reaction score
7,501
Ndugu zangu,

Tukiweka imani za dini pembeni na ukikaa ukichunguza sana huku unajiuliza maswali mengi utakuja kugundua kwamba kuna utata wa majina ya kijinsia , maumbo ya kijinsia na mavazi yake? .

Swali.

1: Ni kwanini basi jinsia ya kike ikaumbwa kwa umbo lile na imekuaje kuaje mpaka ikawa vile nini chanzo chake mpaka ikaitwa jinsia ya kike ?

2: Ni kwanini jinsia ya kiume ipo vile na umbo lake na imekuaje kuaje mpaka ikawa vile nini chanzo chake mpaka ikaitwa jinsia ya kiume?

3: Ni nani aliyegundua hii ni jinsia ya kike kwa umbo hili na hii ni jinsia ya kiume kwa umbo hili , alitumia vigezo gani kutoa majina ya kijinsia na kugundu maumbo ya kijinsia?

4: Aliye anzisha kwamba jinsia ya kike iitwe majina haya na ivae mavazi kama gauni , sketi, nguo za ndani za namna ile ni nani na ilikuaje kuaje , na wanaume wavae kama wanavyo vaa sasa hivi?

5: Je, umbo la kike lilitokanaje na wapi na umbo la kiume lilitoka wapi na lilitokanaje mpaka ikawa hivyo na kwanini ilikua huyu ni mwanamke na huyu ni mwanaume chanzo chake ni nini na walitoka wapi?
 
Ungezaliwa ukakuta mbuzi anaitwa mchicha na mchicha huu unaitwa simba, nyama inaitwa matembele ingekuwa hivyo tu.

Ungezaliwa ukakuta hii jinsia ya kike ndio wanaitwa wanaume na na yetubsisi inaitwa wanawake ungeibeba hivyo hivyo. K inakitwa mb, na mb ikaitwa K ingekuwa hivyo tu.

Usiumize sana kichwa mkuu
 
Ungezaliwa ukakuta mbuzi anaitwa mchicha na mchicha huu unaitwa simba, nyama inaitwa matembele ingekuwa hivyo tu.

Ungezaliwa ukakuta hii jinsia ya kike ndio wanaitwa wanaume na na yetubsisi inaitwa wanawake ungeibeba hivyo hivyo. K inakitwa mb, na mb ikaitwa K ingekuwa hivyo tu.

Usiumize sana kichwa mkuu
Asikuelewa na hapa ndo basi tena
 
Ungezaliwa ukakuta mbuzi anaitwa mchicha na mchicha huu unaitwa simba, nyama inaitwa matembele ingekuwa hivyo tu.

Ungezaliwa ukakuta hii jinsia ya kike ndio wanaitwa wanaume na na yetubsisi inaitwa wanawake ungeibeba hivyo hivyo. K inakitwa mb, na mb ikaitwa K ingekuwa hivyo tu.

Usiumize sana kichwa mkuu
Ni kwanini waliamua kuita hivyo, huyo aliyevipa majina alifikiria nini na alitumia vigezo gani. Na ninani basi mwanzilishi wa majina ya kijinsia na haya maungo ya kijinsia?
 
huo ni mwanzo wa kuchanganyikiwa
No, ni mwanzo wa udadisi na kufikiria nje ya kawaida. Otherwise watu tungekuwa mapangoni mpaka leo.

Do not ever discourage curiosity, no matter how stupid or naive it may sound.
 
Ungezaliwa ukakuta mbuzi anaitwa mchicha na mchicha huu unaitwa simba, nyama inaitwa matembele ingekuwa hivyo tu.

Ungezaliwa ukakuta hii jinsia ya kike ndio wanaitwa wanaume na na yetubsisi inaitwa wanawake ungeibeba hivyo hivyo. K inakitwa mb, na mb ikaitwa K ingekuwa hivyo tu.

Usiumize sana kichwa mkuu
Jibu sahihi sana hili, ila nahisi mleta mada sio mfikiriaji mzuri, anasumbuliwa na ishu ndogo sana.
 
huo ni mwanzo wa kuchanganyikiwa
Mimi na waza nje ya kawaida mkuu.. ila Kuchanganyikiwa kunatokana na nini na ili kujua huyu kachanganyikiwa unamlinganisha na nini, je, na utajuaje kama huyo unae ona kachanganyikiwa ndiyo sahihi ila wewe ndo umechanganyikiwa. Na ninani aligundua kuchanganyikiwa mpaka akakuita neno kuchanganyikiwa?
 
Kasome genetics, anatomy, evolution na classification hasa nomenclature... Vitu vidogovidogo km hv haipaswi vikubabaishe, labda tu km shule haipo kichwani mwako
Utajuaje kama hivi ulivyoandika hapa mapokeo ya mafundisho ya kweli na vinatupa hali halisi ya swali ni lilo uliza?
 
Hivi ni kwanini ikaitwa malaria, ilikuaje kuaje mpaka wakaamua kuita malaria.. ?
Hivi kwanini umeandika hii comment, ilikuwaje mpaka ukaunganisha maneno kwa mpangilio huo? Kwanini hukuanza hv "malaria wakaamua mpaka kuita ilikuwaje kwanini..."
 
Ndugu zangu,

Tukiweka imani za dini pembeni na ukikaa ukichunguza sana huku unajiuliza maswali mengi utakuja kugundua kwamba kuna utata wa majina ya kijinsia , maumbo ya kijinsia na mavazi yake? .

Swali.

1: Ni kwanini basi jinsia ya kike ikaumbwa kwa umbo lile na imekuaje kuaje mpaka ikawa vile nini chanzo chake mpaka ikaitwa jinsia ya kike ?

2: Ni kwanini jinsia ya kiume ipo vile na umbo lake na imekuaje kuaje mpaka ikawa vile nini chanzo chake mpaka ikaitwa jinsia ya kiume?

3: Ni nani aliyegundua hii ni jinsia ya kike kwa umbo hili na hii ni jinsia ya kiume kwa umbo hili , alitumia vigezo gani kutoa majina ya kijinsia na kugundu maumbo ya kijinsia?

4: Aliye anzisha kwamba jinsia ya kike iitwe majina haya na ivae mavazi kama gauni , sketi, nguo za ndani za namna ile ni nani na ilikuaje kuaje , na wanaume wavae kama wanavyo vaa sasa hivi?

5: Je, umbo la kike lilitokanaje na wapi na umbo la kiume lilitoka wapi na lilitokanaje mpaka ikawa hivyo na kwanini ilikua huyu ni mwanamke na huyu ni mwanaume chanzo chake ni nini na walitoka wapi?
Kama ulisoma lugha nafikri ulifundishwa hakuna uhusiano wa moja kwa noja kati ya jina la kitu na kitu chenyewe.
Lugha ni mfumo wa sauti za nasibu....
 
Back
Top Bottom